KERO Ukiukwaji wa Haki za wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

KERO Ukiukwaji wa Haki za wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Weka namba ya huyo bwana Boaz hapa ili nimwambie aache Mara moja huo utoto .
Note :Serious fanya hivyo sipendi watoto waonewe kabisa na Mimi nipo
 
Aisee. Ukiamua kufanya SIASA chuoni maana yake umeamua kuweka rehani maendeleo yako ya kitaaluma, Tanzania ni vigumu Sana kwa mtetezi wa HAKI za wengine kuendelea kuwa salama, figisu lazima ziwepo.

Kwa hiyo hapo ni wewe mwenyewe kuamua kuendelea kupambana na masuala ya taaluma ambayo kimsingi ndiyo malengo ya wewe kuwepo hapo chuoni au kuendelea kuwatetea wenzio ambao baada ya kumaliza shule kila mtu anaendelea na maisha yake na hamtajuana tena.

Maamuzi yapo mikononi mwako.
Wewe ndio umemaliza kila kitu,mhusika aamue sasa kusuka au kunyoa
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Kijana, haya malalamiko yako ulitakiwa uyatoe kwanza kwa mwakilishi wa hiyo course, baadaye kwenye uongozi wa serikali ya wanafunzi (DARUSO). Na mwisho wa siku kwenye uongozi wa chuo.

Huku jukwaani naona kama umeruka hatua hivi!! Ila huu ni mtazamo wangu.
 
Ningekuwa mzazi wako na ada ningesitisha kukulipia..jiulize kwa nini mzazi wako kakulipia ada? Ni ili ukawe mtetez wa wengine? Acha utoto...hali ngumu huku ww unajifanya mtetez...tokea lini chuo kikaruhusu kusoma bila kulipa ada...ni chuo cha baba yako hicho
 
Aisee. Ukiamua kufanya SIASA chuoni maana yake umeamua kuweka rehani maendeleo yako ya kitaaluma, Tanzania ni vigumu Sana kwa mtetezi wa HAKI za wengine kuendelea kuwa salama, figisu lazima ziwepo.

Kwa hiyo hapo ni wewe mwenyewe kuamua kuendelea kupambana na masuala ya taaluma ambayo kimsingi ndiyo malengo ya wewe kuwepo hapo chuoni au kuendelea kuwatetea wenzio ambao baada ya kumaliza shule kila mtu anaendelea na maisha yake na hamtajuana tena.

Maamuzi yapo mikononi mwako.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Sasa watanzania mtaogopa hata ''kujikuna'' namna hii mpaka lini? Hivi mnadhani kukaa kimya na kuwa na utii wa ki-uoga ndiyo suluhisha la matatizo? Leo ni yeye lakini nina uhakika kesho litakupata wewe tena kubwa zaidi. Sema kwa ufahamu wako ulivyo utaona tu ni kazi ya Mungu!
 
Kuna jamaa Moja alisumbuaga sana mambo ya migomo DIT around 2012/2013 alikua anapinga utaratibu wa kumzuia mwanafunzi asifanye mtihani kisa ada alisota sana, alikuja kuhitimu 2020.
Kwani utaratibu unaojulikana na kukubalika kisheria na kisera ni upi? kuna vitu vingine havina hata haja ya kukugombana au kufanya migomo lakini kama policy zipo clear kwa kila mtu, na wanafunzi wajifunze kutumia mahakama badala ya migomo maana imekaa kisiasa zaidi
 
Tanzania maudhui ni mengi sana, chini ya CCM dogo unaenda kuumia japo uko sahihi.
 
Mbona kama unajipigia promo asee. Acha wenge soma we dogo. Acha kabisa ujinga wa kujiona tayari wewe ni Zito Kabwe au Lissu.

Upo University aisee, hakuna njia rahisi kumaliza degree. Pambana Acha kulia lia

Maelezo yako hayana uzito kwamba umeonewa. Soma, acha kutafuta huruma haupo sekondari hapo.

We bure kabisa, yaani unam challenge seminar leader Jamii Forums ili kupata attention? Acha ujinga dogo uta disco kweli!
Show nyingine ya konde gang lini
Vp amapiano singeli gani mpyq imetoka

Ova
 
Habari,

Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016

Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.

Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),

Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,

Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.

Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,

Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;

Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,

Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,

Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),

VITISHO;

Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,

Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),

Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),

Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.

USHAHIDI:

Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,

Wanafunzi ni mashahidi.

MTAZAMO WANGU;

Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,

Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.

Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,

Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.

WITO;

Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,

Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.

Ahsante.
Pole sana mdogo wangu. Lkn Kwa comments za humu naona watanzania tulipandikizwa uoga wa kipumbavu sana. Akipatika mtu wa kuwatetea wenzake utaskia ww utaishia pabaya, Sasa ww ambaye hujawahi kujitetea hata ww mwenyew umeishia wapi?
 
Back
Top Bottom