Mansakankani mussa
Senior Member
- Feb 13, 2021
- 156
- 196
Hata akisoma starudi tu nyumbani miaka hii, ww sema tofauti ni mda wa kurudi home utapungua akinguana na wenye elimu Yao.Yaani unachanganya siasa na taaluma Tanzania, soma mdogo wangu utadisco na urudi nyimbani
Wewe kwani hutaki Lissu mwingine au Mbowe 😂😂😂😂🤣?Dogo soma kwanza achana na harakati zitakuponza, huku mtaani ni kugumu shauri yako.
Kwahiyo ushauri wako wanafunzi wawe ndiyo mzee kwa kila jambo?Chuoni ikileta siasa utaambulia zero na sup za kutosha.
Kwani Mnyika na Huyo Nondo wana hasara gani pamoja na kutomaliza chuo? Waliomaliza chuo hao wana nin ambacho Nondo na Mnyika hawana? Hatima ya maisha ya mtu ipo mikononi mwa Mungu tu.1. mnyika hakimaliza chuo kupambania
haki za wenzie
3.Nondo Abdul alijikuta njombe mwituni akinukia uturi wa girl friend wake na chuo sidhani kama walimpokeaga
3.ni wewe je uko tayar kupoteza ? hio vita ulioingia hakuna war prisoners only casualties
Title ina hasty generalization. Ni tuhuma kubwa kwa chuo kizima kama taasisi. UlitakiwaHabari,
Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016
Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.
Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),
Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,
Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.
Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,
Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;
Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,
Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,
Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),
VITISHO;
Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,
Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),
Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),
Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.
USHAHIDI:
Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,
Wanafunzi ni mashahidi.
MTAZAMO WANGU;
Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,
Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.
Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,
Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.
WITO;
Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,
Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.
Ahsante.
Title yako ina hasty generalization. Ni tuhuma kubwa kwa chuo kizima kama taasisi. Ulitakiwa kusema mtu fulani anakiuka haki za wateja wake chuoni. Na siyo kuhusisha chuo kizima.Habari,
Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016
Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.
Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),
Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,
Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.
Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,
Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;
Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,
Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,
Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),
VITISHO;
Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,
Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),
Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),
Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.
USHAHIDI:
Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,
Wanafunzi ni mashahidi.
MTAZAMO WANGU;
Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,
Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.
Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,
Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.
WITO;
Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,
Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.
Ahsante.
uamuzi na uchaguzi ni wako.....Habari,
Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016
Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.
Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),
Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,
Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.
Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,
Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;
Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,
Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,
Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),
VITISHO;
Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,
Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),
Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),
Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.
USHAHIDI:
Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,
Wanafunzi ni mashahidi.
MTAZAMO WANGU;
Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,
Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.
Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,
Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.
WITO;
Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,
Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.
Ahsante.
Umejielezea vzr sana.Habari,
Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016
Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.
Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),
Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,
Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.
Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,
Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;
Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,
Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,
Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),
VITISHO;
Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,
Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),
Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),
Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.
USHAHIDI:
Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,
Wanafunzi ni mashahidi.
MTAZAMO WANGU;
Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,
Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.
Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,
Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.
WITO;
Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,
Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.
Ahsante.
Haya yalianza kipindi cha Mzee magu,anakaribia kufa, wawato wengi Sana wa chuo walifukuzwa chuo, kisa Ada .Kwanini sasa!!?
Mbona kipindi kile hakuna mwanafunzi aliezuiwa kufanya mtihani!!?
Ni kwasababu chuo Haina uhakika wa kupata ada kutoka HSLB coz HSLB nayo inaingia hasara kwa wanafunzi kukosa Ajira kwahiyo kukosa uhakika wa kulipa deni lao!!
Huo ni mwanzo wa mengi yajayo!
Baadhi ya vyuo hizo commitment form bado zipo na zinasaidia mno wale wanaotegemea boom kulipa ada.Nililiona hili enzi nasoma all in all niku epuka kua radical ukiwa masomoni labda Kama Zama zimebadilika tukiwa tunasoma semester ya mwisho Kuna mwanafunzi mmoja wa kozi za ualimu kutoka familia ya kimaskini alijinyonga baada ya kuzuiwa kufanya mitiani kisa kukosa ada ikaleta mgomo Ila uongozi ukali tatua ikawa MTU mwenye boom anali commit boom lake..
Sidhani Kama Kuna wanafunzi wanazuiliwa kufanya mitiani kisa Ada inatakiwa Ni ku commit boom lako then done au MTU asome mpaka amalize mwaka kwenye ku access matokeo ndio wambane
NB.
Miaka ya recently vitu vipo online yaan usipo lipa hupati access ya kupata kitambulisho Cha mtiani very painful kwa watoto wa kimaskini
Dogo soma kwanza achana na harakati zitakuponza, huku mtaani ni kugumu shauri yako.
Pole sana. Hiyo ni intellectual harassment and should be reported immediately. Wasilisha malalamiko rasmi kwa uongozi. Kuna watu nchi hii wamezaliwa kuhujumu maendeleo yakeHabari,
Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016
Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.
Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),
Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,
Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.
Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,
Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;
Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,
Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,
Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),
VITISHO;
Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,
Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),
Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),
Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.
USHAHIDI:
Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,
Wanafunzi ni mashahidi.
MTAZAMO WANGU;
Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,
Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.
Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,
Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.
WITO;
Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,
Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.
Ahsante.
Unaonekana wewe ndo seminar leader mwenyeweMbona kama unajipigia promo asee. Acha wenge soma we dogo. Acha kabisa ujinga wa kujiona tayari wewe ni Zito Kabwe au Lissu.
Upo University aisee, hakuna njia rahisi kumaliza degree. Pambana Acha kulia lia
Maelezo yako hayana uzito kwamba umeonewa. Soma, acha kutafuta huruma haupo sekondari hapo.
We bure kabisa, yaani unam challenge seminar leader Jamii Forums ili kupata attention? Acha ujinga dogo uta disco kweli!
Habari,
Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter, Mwanafunzi wa Mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) nasomea Historia na sayansi ya siasa, namba yangu ya usajili 2021-04-01016
Siku za karibuni nimekuwa active katika harakati za chuo hasa kupigania maslahi ya wanafunzi waliozuiliwa kuingia katika mitihani kwa kushindwa kulipia Ada na kucheleweshwa kwa malipo ya Boom.
Toka niwe active katika harakati hasa kipindi hiki, Maisha yangu yamekuwa magumu kitaaluma hasa katika Uwasilishaji (semina),
Katika semina ya leo, ya kozi ya "Public administration in Tanzania" yenye kozi code PS 341, Siku ya Jumanne Saa 8:00 mpaka 9:00 , inayofanyika Venue ya SR 5 na kusimamiwa na Kiongozi wa semina ( Seminar leader) aitwaye Moses Boaz,
Course instructor wa semina hii ni Prof E.Mallya, Ofisi yake ni namba 802 Jengo la COSS Tower.
Katika Uwasilishaji (presentation) ambapo kikundi cha watu watano (5) walifanya Uwasilishaji na Mimi nikiwemo,
Kiongozi wa semina ( Moses Boaz) alisema nimekosea kutoa maana ya msamiati uitwao " Politicization"
UTATA;
Kwanza, maana ya msamiati huo niliutoa kwenye vyanzo vya vinavyoaminika vilivyopo kwenye course outline iliyotolewa mwanzo wa semister,
Pili; Kiongozi wa semina ana wajibu wa kumrekebisha/ kumsahihisha mwanafunzi pale anapokosea katika semina kwa lengo la kumsaidia na kumjengea uwezo,
Tatu; Katika kikundi cha Uwasilishaji cha watu watano ( 5) ambacho kimekutana, Kikajadiliana na kukubaliana maudhui ya Uwasilishaji, ni mtu mmoja tu aliyekoselewa kwa vitisho ambaye ni Mimi ( Abdul-Aziz Ally Carter),
VITISHO;
Kwanza; Kiongozi wa semina alitaka Mimi pekee yangu kati ya watu watano (5) Kulihama grupu hilo na kuamia grupu lingine kwa lazima,
Pili, Kiongozi wa semina alisema atanipatia "zero" kwenye kazi ya alama kumi (10),
Tatu, Kiongozi wa semina amesema nisipojiangalia nita rudia kozi mwakani (carryover),
Kiongozi wa Semina ( Moses Boaz) alianza kuzitoa Kauli na lugha kali kama hizi juu yangu katika semina ya wiki iliyopita tukijianda kuhudhuria muadhara wa Uprofesa.
USHAHIDI:
Kauli hii kaitoa kwenye chumba cha semina kikiwa na wanafunzi wote wa semina hiyo,
Wanafunzi ni mashahidi.
MTAZAMO WANGU;
Kauli na Vitisho vya namna hii vimeanza baada ya harakati za kuwapigania wanafunzi waliozuiliwa kufanya mitihani kwa sababu ya kukosa Ada,
Kiongozi wa semina, Alihusisha maswali yangu ya kutaka kujua sababu za kauli alizotoa na harakati zangu kuanzia wiki mbili nyuma.
Kiongozi wa semina alizungumza kwa Hasira na Jazba, katika mazingira ambayo Jazba na Hasira haikupaswa kutumika,
Kwa mazingira hayo, nahitimisha kwamba sababu ya kilichotokea kati yangu na msimamizi wa semina (Moses Boaz) ni Harakati na siyo makosa ya Uwasilishaji.
WITO;
Wito wangu, Naomba mamlaka zinazohusika, Ukiwemo Uongozi wa chuo, Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi dhidi ya swala hili,
Ili niweze kusoma kwa Amani na Utulivu kwa kipindi chote nitakachokuwa chuoni.
Ahsante.