Ukiwa Dar es Salaam unaweza kudhani maisha umeyapatia, kumbe umechelewa sana bila kujua

Dar siyo mji wa kuishi watu wajinga kama wewe.

Hapa nachart na mjinga kama wewe nipo home tena sina hata mpango wa kutoka mihamara inadondoka tu kwenye M-pesa.
 
i have put a list quality of life around the world by country ,i will not embarrass you check by yourself the name of the country check number 4
 
Dar siyo mji wa kuishi watu wajinga kama wewe.

Hapa nachart na mjinga kama wewe nipo home tena sina hata mpango wa kutoka mihamara inadondoka tu kwenye M-pesa.
Mihamara 😱ni miamala 😆. ..Hii ni kwa nn mjinga hajijui 😆naona unalia sasa wakati hata kuandika hujui .

Kwa umri wako ni tatizo maana akili hauna bora hata usingezaa wajinga wenzio ni kuongeza idadi ya wapumbavu na wezi.

Kiufupi haunizidi chochote ,kajifunze kuandika kwanza hanithi mkubwa wewe!
 
Umeambiwa Quality au hujui swali ,nimekuambia watu wanaopenda kwao 😅😅.

Wengine mnafeli kwa vile hamjui swali ,Dar watu wanakula miguu ya kuku na utumbo hiyo ndio quality😰...Basi arabuni kuna maisha mazuri huliko huko unapozania.
 
Umeambiwa Quality au hujui swali ,nimekuambia watu wanaopenda kwao 😅😅.

Wengine mnafeli kwa vile hamjui swali ,Dar watu wanakula miguu ya kuku na utumbo hiyo ndio quality😰...Basi arabuni kuna maisha mazuri huliko huko unapozania.
Sorry i am glad but tell your friends every often they insult us
Matusi yao yamezidi
 
Kijana anakimbia kwao huku eti anakuja Dar anakuwa mbeba viroba vya bidhaa sokoni, mara sijui bodaboda mwengine winga kule kuna muuza kahawa. Halafu kwa ajira hizo uje utoboe? Utazeekea mjini huna hata shimo la choo
Numbers don't lie buddy. Kama mkoani kungekuwa na fursa na maisha hivyo flow ya watu ingekuwa kubwa kutoka Dar kwenda huko mikoani lakini facts ni kinyume chake.
 
Sorry i am glad but tell your friends every often they insult us
Matusi yao yamezidi
Sijawahi kutukana wala kupakataa hapo Dar na sehemu yoyote...Better kuangalia point iko wapi.


Hakuna mmiliki wa Dar wala mkoa wowote ila popote unaweza kukaa ,hizo assumptions zenu za kikimbizi ndio tunawaona kama hamjielewi.

Quality life begins at your home ,siwezi kuacha mambo yangu hapa nikaishi Dar ,I get anything I want from anywhere ...The world has undergone several strides but importantly accessibility imekuwa rahisi sana ..Hapo Dar kama nikitoa chungwa mMuheza nalileta hapo bila ya kash kash nauza then nakuja home ...Nikitaka chochote napata ,hauwezi kuwa bora kuliko mimi kwa vile naona wengi ni wasindizaji kwa maendeleo ni kutafuta sana.​
 
I told you iam sorry
I am not in tanzania ,and i am not tanzanian
 
Numbers don't lie buddy. Kama mkoani kungekuwa na fursa na maisha hivyo flow ya watu ingekuwa kubwa kutoka Dar kwenda huko mikoani lakini facts ni kinyume chake.
Sasa hayo maisha mbona hawayapati..wanaishi kama wanyama. Mtu anakimbizana na magari kwenye jua kali kwenye barabara anauza maji au karanga ni mateso tu.
 
At first nilikuwa naona unapoint ila kuanzia katikati ya mada yako mpaka mwisho😬😬😬.

Bwanamdogo chuki yako kwa watu wa Daslam ni kubwa sana na sijui kwanini unahangaika na maskini jeuri wa Dar badala ya kutulia huko na matajiri wenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…