Ukiwa Dar es Salaam unaweza kudhani maisha umeyapatia, kumbe umechelewa sana bila kujua

Anamaanisha badilisha mtazamo wako. Yafukiri maisha kwa ubongo mpana zaidi. Badilisha namna unavyowawazia wengine.

Kuna watu wanadhani kuishi kijijini au mkoani basi wwni mtu uliyefeli maisha au huna vha kufanya na huna ujualo.
Umeelewa vizuri sana Uzi wangu.👏👏
 
Sahihi
 
Hahaa.....Na kubet wanaongoza

Milo yao sasa Mihogo kila asubuhi
 
Mi naishi Jijini Mwanza, ila watu wa mikoani tunapenda sana kuijiliwaza. Tutafute pesa tule maisha. Mambo ya kuwasemasema vibaya watu wa Dar tuache! Mwisho wa siku, Dar ndio kila kitu Tanzania hii!!
 
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…