Ukiwa huna hela usipende chatting ndefu na mwanamke

Mimi sipendi chatting kiujumla huwa navuta bangi kwa utulivu 🚬🚬🚬 😃😃😃😃😃 sipendi usumbufu.....
 
Sio lazma wote wakuelewe
Manigga umetusanua
 
Duh! Ila mwanamke wa pombe hapana kwa Kweli 😂
Ukute mpo bar yy anapiga ulabu ww unaangalia mpira 🤣huo usumbufu wake sasa, mara akae pembeni yako akulalie lalie kuwaonesha marafiki zake unampenda sana .....kama unachat anaangalia screen ya simu yako
 
Ukute mpo bar yy anapiga ulabu ww unaangalia mpira 🤣huo usumbufu wake sasa, mara akae pembeni yako akulalie lalie kuwaonesha marafiki zake unampenda sana .....kama unachat anaangalia screen ya simu yako
Aisee Mimi mwanamke anayependa pombe anipite kushoto.Siwezani nao kbsa
 
The only thing unaweza kuenjoy kutoka kwa hio mijimama Ni ufundi kitandani 😂
Limama linakukatikia viuno Kama feni bovu likichanganya na miguno ya kimahaba
Mbn hzo raha zote unaweza pata kwa single mama wa age Yako tu....we focus na mwanae tu magift utakula kila aina ya raha utapewa na mtoto wa pili
 
Mimi mbona nachat sana na mpz wangu na simuombi pesa!! Au nitakuwa na matatizo ila sijijui??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…