Ni vizuri usile.
Aibu ya kusumbuliwa tumbo njiani ni mbaya sana....
Usile kabisa, au kunywa chai asubuhi tu...
actually ndio chimbuko la bandiko langu, nimesafiri hivi leo akatokea abiria moja kwa utambulisho wa mavazi na lafudhi alikua mmasai,
Na alipandia basi letu njian na basi halikua na choo cha ndani na abiria huyo hakua amepata siti alisimama...
Ndugu yangu ,
kwa bahati nadhani tumbo likamvuruga na kufurukuta, akatoa sauti kubwa simamisha gariiiiiii, abiria wakawa wanamshangaa......
Akashauti tena mara ya pili simamisha gariiiiiii nichimbe dawa tumbo imefurugaaaaa tumbo yangu maskini abiria yule mpaka akakaa chini.......
Abiria wakashtuka na kuona kwamba sasa huyu anaporomosha muharo sasaivi...
Ndipo kelele za abiria zikasaidia dereva wa basi akasimamisha, abiria yule hakua amevaa chochotete ndani zaidi ya shuka alizokua amejifnga, na aliposhusha mguu njee ya mlango wa basi tu, palepale akafanye yake pwraaaaaaaaaaa akashusha muharo wa nguvu sana....
alipomaliza akakusanya kitita cha majani makavu akajichamba nayo mara mbili akawa anaingia kwenye basi, abiria wakashauti wakagoma hadi ajichambe na maji....
wakamrushia chupa za maji akajichamba vizur ndipo akaingia kwenye basi tukaendelea na safari....
So,
milo ni muhimu izingatiwe kabla, wakati na baada ya safari...