Ukiwa kama abiria unasafiri safari ya mbali ni vizuri ule nini njiani na uepuke kula nini

Ukiwa kama abiria unasafiri safari ya mbali ni vizuri ule nini njiani na uepuke kula nini

Kula mahindi ya kuchemsha, mayai ya kuchemsha, mtindi uliochachuka sana na karanga. Hakika safari yako itakuwa nzuri na tulivu.
Kama utapata na juisi ya maembe ile ya kutengeneza au juisi ya miwa pia ni nzuri upande wa kinywaji yaani safari itakuwa taaam!
mmh huu mkorogo sijui.....
 
Kuna vile Viepe hua unakuta wameweka kwenye kimfuko tayari, chukua hiyo na zile Juisi za Avocado (Wanatengenezeaga nyumbani) hua kwenye chupa za soda za take away, kula kabisa

Ukiwa ndani ya gari, utanishukuru baadae.
Hivyo kila stendi lazima upate mkuu.
hilo korogo na mvurugo wake utakua wa Karne
 
actually ndio chimbuko la bandiko langu, nimesafiri hivi leo akatokea abiria moja kwa utambulisho wa mavazi na lafudhi alikua mmasai,
Na alipandia basi letu njian na basi halikua na choo cha ndani na abiria huyo hakua amepata siti alisimama...

Ndugu yangu ,
kwa bahati nadhani tumbo likamvuruga na kufurukuta, akatoa sauti kubwa simamisha gariiiiiii, abiria wakawa wanamshangaa......

Akashauti tena mara ya pili simamisha gariiiiiii nichimbe dawa tumbo imefurugaaaaa tumbo yangu maskini abiria yule mpaka akakaa chini.......

Abiria wakashtuka na kuona kwamba sasa huyu anaporomosha muharo sasaivi...

Ndipo kelele za abiria zikasaidia dereva wa basi akasimamisha, abiria yule hakua amevaa chochotete ndani zaidi ya shuka alizokua amejifnga, na aliposhusha mguu njee ya mlango wa basi tu, palepale akafanye yake pwraaaaaaaaaaa akashusha muharo wa nguvu sana....

alipomaliza akakusanya kitita cha majani makavu akajichamba nayo mara mbili akawa anaingia kwenye basi, abiria wakashauti wakagoma hadi ajichambe na maji....

wakamrushia chupa za maji akajichamba vizur ndipo akaingia kwenye basi tukaendelea na safari....

So,
milo ni muhimu izingatiwe kabla, wakati na baada ya safari...
mbaya sana hii...
 
Kuna vile Viepe hua unakuta wameweka kwenye kimfuko tayari, chukua hiyo na zile Juisi za Avocado (Wanatengenezeaga nyumbani) hua kwenye chupa za soda za take away, kula kabisa

Ukiwa ndani ya gari, utanishukuru baadae.
Hivyo kila stendi lazima upate mkuu.
Dah aiseee imebidi nicheke kwanza
 
Siku tumetoka home baada ya sikukuu ya December bi mkubwa akanipa maziwa fresh nikapiga kama lita nzima ya moto, kuanza safari haikuchukua ata nusu saa balaa likaanza niliteseka mpaka nafika uzuri tulikuwa na private ila ingekuwa bus safari ingekufa
 
Katika stadi za Kazi tulifundishwa Kula vyakula vikavu....mfano ndizi /viazi Choma au vya kukaanga.
Nyama Choma au za kukaanga.....usipendelee vyakula vilivyotengenezwa Kwa kutumia mayai au nyama za mchuzi hasa zilizolala utajuta.
Zamani kabla chips hazijawa common wakuja wengi walikuwa wanakula mtindi na mkate au chai na mkate. Basi kulikuwa na jamaa yetu mmoja alikuwa anawatania wahehe anasema eti bus linaposimama wakiingia hotelini mwanamke wa kihehe anamuuliza muwewe ''be, nianzege na chai au mkate'' (akiogopa bus lisimuache) Mumewe anajibu ''anzaga na chai mkate utamalizia kwenye gari''. On a serious note: niliwahi kusafiri na jamaa yangu akajinyea kwenye bus. Tulikuwa tumekaa siti moja jamaa akaanza kulalamika tumbo, tumbo. Halafu ilikuwa kijijini karibu tunakaribia kituo cha kushuka. Ile namwambie tuite kondakta asimamishe gari nikasikia ananinong'oneza nimeshajinyea tayari. Bahati nzuri bus likasimama vituo kadhaa kabla ya kufika chetu kuteremsha abiria, na yeye akateremka na kuniachia mzigo wake. Alikuja kuniambia kuwa aliingia kwenye kichaka akajipangusa na majani halafu akatembea kwa miguu mpaka nyumbani.
 
Kwa safari, pata zaidi vinavyokaangwa
kuliko vinavyochemshwa

Mfano kula zako
Chips
Kuku
Yale mapande ya mbuzi na ng'ombe
Biskuti
Yai la kuchemsha lafaa maana lipo sealed
Pata maji kiasi tu
Eeh, wataongezea
Nikionaga abiria ananunua yai la kuchemsha hua naanza kusikitika mapemaaa,najua nuclear bomb on the make.
 
Kuna vile Viepe hua unakuta wameweka kwenye kimfuko tayari, chukua hiyo na zile Juisi za Avocado (Wanatengenezeaga nyumbani) hua kwenye chupa za soda za take away, kula kabisa

Ukiwa ndani ya gari, utanishukuru baadae.
Hivyo kila stendi lazima upate mkuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani kujima kula siku Moja utakufa Kaka si unasafiri fanya kufunga kuto kula chochote na Ni sadaka na ninnjia ya kujinyenyekeza mbele za mungu
 
Back
Top Bottom