Mkuu unaishi sayari gani hiyo ambayo hujawahi kuona wala kusikia kuwa kuna wanaume hawataki wanawake magolikipa na tegemezi wanataka wanawake ambao watawasaidia kutafuta pesa na kuhudumia familia, okay sasa kama wanaume mnataka wamama wa nyumbani mbona hamtaki kuoa na sababu kubwa mnayotoa ni kwamba hamtaki kuhudumia wanawake na hamtaki mgawane nao mali zenu mnataka wajitafutie zao, sasa mwanamke akishakuwa mama wa nyumbani anajitafutiaje pesa zake na anaachaje kuwa tegemezi kwa mume wake
Ofcourse wanawake wananyanyaswa sana ila sijui kwanini wanaume huwa hamlioni hili ninyi kila siku mnajifanya innocent na mnaplay victims wa wanawake wakati hakuna jinsia inayoongoza kunyanyasa jinsia nyingine kama wanaume, yani imagine mume anamnyanyasa mkewe eti kisa tu anamhudumia wakati hilo ni jukumu lake so hii inaonesha kwamba hilo jukumu la kuhudumia wanawake wanaume mnalifanya kishingo upande, na mnafanya kama hisani tu ndio maana mnalitumia kama fimbo ya kuwachapia wake zenu ninyi mkikosea ni sawa ila wao wakikosea ni either mnawapiga au kuwaacha
Halafu ujinga ni pale mwanaume anapojifanya real man (kwa mujibu wako) halafu anatukana wanawake yani wewe ukishajijua ni bad boy au fvck boy basi you do not have the right to go around insulting women, lazima mkubali kwamba huo umalaya mnaofanya mnaufanya kwa sababu ya wanawake ambao nao wamekubali kuwa malaya maana laiti wanawake wote wangeamua kujitunza msingepata pa kufanyia huo umalaya wenu unaowafanya mjiite playboys, sasa shida ya wanaume wengi mnataka kuwa playboys halafu hapo hapo mnalalamika kwamba jamii inaharibika kisa wanawake sasa mnataka decent women watoke wapi kwenye jamii iliyojaa wanaume wahuni
Umekosea!
Mara nyingi bad boys and fu*k boys huwa wanadeal na good women.
Ma nice guy ndio huwa wanadeal na malaya.
Kwasababu hawawezi kutofautisha.
Zingatia
1. real recognize real.
2. Laws of attraction
3.newtons 3rd law
Nakuthibitishia hili
Hii ni battle kati ya strong and weak
Who are the strongest?
Namaanisha anaweza akawa nice guy ila strong / under cover bad boy.
Technically nina interact na real men always
Mara nyingi stupid nice guys hawanielewagi na mimi siyo mnafiki kujifanya nina bond na watu nisiyowakubali never.
kwaiyo hao majamaa wanaotaka kuoa wanawake wapambanaji sijawahi kuwasikia sela zao!!.
Na ndio hawa wanajaza nyuzi humu kuomba ushauri mambo hayaendi!.
Decades zote hizi nilizoishi sijawahi kushuhudia matukio hayo ya unyanyasaji wa wanawake.
Hivi naanze kumyanyasa mwanamke.
Thus why mambo yakichange kwakuwa hakuna ndoa ana move on namimi ninafanya mambo mengi yanin kutesana.
Namimi naomba unisaidie jambo
Sijawahi kuielewa concept ya ndoa
Hebu tafadhar tuijadili maana kwangu haimake sense hataaa!
a
Note.
Usijifanye huelewi ndoa zipi ninazozizungumzia. Acha na zile za kwenye bible hizi kama za kina abdala makabila