Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Sawa, healthy marriage inakuaje??..njia ipi ya kufuata kufikia a radiant marriage??..

Umeolewa???
Kipimo changu kinaweza kisifae kuwa kipimo cha mwingine, but again…. Kuna vitu ambavyo binadamu yeyote “sane” atajisikia vizuri kufanyiwa. Kuheshimiwa, kujaliwa na kueleweka.

Otherwise nimejibu kwenye comment uliyoqoute chini.
 
Unapoteza mda wako, kichwa kigumu hiko hakielewi na kinapenda ligi huku hoja zake hazina reality.
 
Ngoja niwe mpole,labda lolote linaweza kutokea between you and I...lol so tell me what kind of husband do you want in future
 
Haha huwa siamini hili, huwa naamini hakuna mwanaume humu jf anayependa comments zangu zinazokosoa maovu yao, wengi huwa wananichukia sana hadi wengine wanaonesha wazi kabisa
kuna vitu sikubaliani na wewe ila ni vichache tu

na nina uhakika humaanishi ni vile unakuwa tongue-tied ukizidishiwa mashambulizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…