Mkuu concept ya wanawake kuchezewa inakuja pale ambapo wanaume wakishatembea na wanawake wanaanza kuwatukana kuwa hawajitunzi na wanajirahisisha, actually wanaoongoza kusema kuwa wanawake wanachezewa ni wanaume kuliko wanawake wenyewe utasikia kauli kama "hawa wanawake ni wa kuwachezea na kuwaacha tu", kwahiyo si kwamba wanawake wanajivictimize bali wanaume ndio huwa mnachukulia kitendo cha kulala na wanawake wengi kama kuwachezea na mnaona ni sifa
Halafu wanawake kuwa na wanaume wengi haimaanishi kuwa wanashindana na wanaume bali ni matokeo ya ninyi wenyewe kuwachezea nao kujikuta wameangukia kwa wanaume wengi kabla ya kupata wa kuwaoa, kumbuka wanaume mnajua shida ya wanawake wengi ni kuolewa hivyo wengi huwa mnawatongoza kwa gia ya kwamba mtawaoa, halafu mkishawachezea mnawaacha then nao inabidi waendelee kutafuta hadi watakapopata yule mmoja wa kuolewa naye na hapo ndipo shida inapoanzia
Na kingine concept ya wanawake kuchezewa inatokana na imani kwamba mwanaume hata akiwa na miaka 50 anaoa bila tatizo ila mwanamke akifika miaka 30 tu ndoa anaanza kuitafuta kwa mbinde, hivyo mnapodate na wanawake na kuwaacha inaonekana kama mmewachezea sababu mnakuwa mmewapotezea muda na nafasi ya kuolewa mapema, sasa kama mnapodate na wanawake hamyaweki hayo yote into consideration kwanini mkishawaacha mnawatukana tena kwamba ni malaya
Mkuu unaposema nature ya wanaume ni kufvck around ila ya wanawake siyo una uhakika kwamba population inaruhusu wanaume kufvck around bila wanawake nao kufanya hivyo, hivi mnaotoa hii kauli huwa mnajua hata population ratio ya me na ke duniani na hata kwa nchi moja moja hiyo nature mnayoisingizia mbona imewasaliti kwenye upande wa population, maana ukipiga hesabu kila mwanaume akisema awe na wanawake zaidi ya mmoja basi ni either wanawake nao watajikuta wanakuwa na mwanaume zaidi ya mmoja au kuna wanaume watakosa wanawake kitu ambacho hakiwezekani
By the way tendo linalohusisha jinsia mbili haliwezi kuwa zuri kwa jinsia moja halafu hapo hapo liwe baya kwa jinsia nyingine hii concept logically haiwezekani ni either liwe zuri kwa wote au baya kwa wote kulingana na mazingira, yani wanaume wakizini ni sawa ila wanawake wakizini ni kosa kwani wanaume wanafanya hilo tendo na kina nani na wanawake wanafanya hilo tendo na kina nani na je kama wanawake wote wakisema wajitunze wanaume watafanya na kina nani, mwanaume na mwanamke wako tofauti ila wanategemeana kwenye mambo mengi kuanzia kujamiiana hadi kuzaliana yani ni sawa na pande mbili za shilingi ziko tofauti ila zinategemeana sasa kusema kwamba mwanaume akizini ni sawa ila mwanamke akizini ni kosa ni sawa na kusema upande mmoja wa shilingi uko sawa kuwepo pale ila upande mwingine hauko sawa kuwepo pale is that possible
Kila nikiku introduce new concept badala ya kuiprocess nakuichuja
Your defence mechanism kick in every time when i try to put women accountable for their messy.
Hujaona logic ya mimi kusema it's ok for a boy to fvck around and not a girl???
Simple!
Mwanaume hana bikira
Sio vizur kwa msichana akiipoteza bikira kabla ya kuolewa.
Kiroho pia sio kitu kizuri maana athari za machafuko na muingiliano wa roho za wanaume tofauti tofauti.
Am not sexist i dont promote sex or
cheating.
But
It's kinda feel great when a brother fvck around not a sister.
It hit different when your son fvck around vs when ya daughter do!
Logic gani unayotaka upewe?
Anhaa!
Kibaiolojia uke unatanuka kadili unavyotumika na watu wengi na tofauti tofauti.
Kwaiyo usitake kuleta usawa wa mwanamke na mwanaume kimaumbile.
Ukimsogelea mwanamke aliyetafunwa na wanaume wengi kwa sisi wenye upeo wakuona ni kichefuchefu na nikinyaa bcoz i see other brothers sperms all over her a*s
It's disgusting to talk about it
Naomba niishie hapa.
Miaka 30 mbali sana.
Ndoa huwa zinatafutwa kwa torch na kwa shida pindi mwanamkke anaaproach 27.
Akishavuka hapo ni kuoelewa na wastaafu.
Hivi unajua kuna wanawake wengi hawahitaji ndoa?
1. Wanachuo!(18yrs - 24)
Hawa mara nyingi ndio wanakuwa kwenye kile kipindi sahihi kuolewa
Lkn huwa hawataki ndoa kwa kisingizio cha kusaka future.
Hawa ni kimbilio la kataa ndoa wengi .
Why?
Kwasababu tunakuwa tunafanana kimtazamo wa kutohitaji ndoa
We just having fun and sh*t.
Nobody can stop reggae sis!
Sex is a gift
Both men and women need sex.
Sex is free
Nashindwa kuelewa baadhi ya watu mmei monetize na kuiofficialize
sex imekuwa overrated .
2. Feminist
Hawa wako possesed na jezebel spirit
Hawa hawahitaji ndoa ila wako sooooo weak wakikutana na bad boy.
Kila uchwao wanapandikiza jezebel spirit kwa innocent girls outa here kwa kupitia mgongo wa haki za wanawake
Fursa za ajira na kujitegemea.
Bla bla nyingii
Ikifika ucku wakataa ndoa tunawatafuna vizurii kabisa.
Chakusikitisha kundi hili huwa linakuwa funded na ma nice guys.
Haya makundi mengine mimi siyatumiagi naishia hapa.