Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

pimp for real??!!
 
Kwa hiyo Tanzania tunaizidi Nigeria?
Hao manabii wafanya miujiza wanapokwenda Nigeria huwa wanaenda kufuata hela au kupata nguvu zaidi za kuendesha miujiza yao?

Naona una uelewa mdogo sana kuhusu uchawi bwashee.
Huyu ni mtoto tena mdogo,kwani uchawi haupo? Asitafute matatizo, hata biblia inatambua wachawi na uchawi tena anyamaze.
 
Mwanaume asiye oa anakosa nin ambacho aliyeoa anafaidika?

Mm niliyepo monduli kwenye msiba wa Lowasa nakosa nini ambacho wewe uliyepo hapo dar kwenye shuguli zako unakipata?

Watu tofauti, mahitaji tofauti. Huwezi futa umuhimu wa ndoa kwa anayeihitaji kwa kutumia mahitaji ya asiyeitaka ndoa vile vile huwezi lazimisha umuhimu wa ndoa kwa asiyeihitaji kwa kutumia umuhimu wa anayeihitaji. Mbona mambo mepesi kabisa haya? Mahubiri ya nini?

Why shoul i get married?
Can you tell me brother!
Kwanini uoe, kwanini usioe si mambo yako hayo? Kwanini upewe sababu. Ww unajua unataka nini.
Mim nitakwambia why usioe.
Kwanini uniambie nisioe ilihali hitaji langu ni ndoa na nina sababu zangu kama ambavyo wewe una sababu zako za kutokuoa?
 
Men Going Their Own Way... Naunga mkono hoja..
 
 
Huyu ni mtoto tena mdogo,kwani uchawi haupo? Asitafute matatizo, hata biblia inatambua wachawi na uchawi tena anyamaze.


Sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni cha kweli.. mfano biblia imeandika nyoka anaongea.. je ni ukweli kwamba nyoka huwa anaongea ?

biblia imeandikwa na wajanja : watu tu kama mimi na wewe.
 
I don't need to listen to you, I listen to God more.

I don't need to listen to you, I listen to God more.
Sawa.
Mkuu.
Mimi sijali ni God yupi.
Ila ningependa kujua alikueleza nin kuhusu ndoa.
Anyway sir nitaenda kusoma kitabu chake nitarudi

Japo kama ni yule mwenye wivu namjua vema
Anawivu sana kiasi cha kuinsist bikira iwe green flag when lookin for a life partener.
 
pimp for real??!!

Are you challenging me or what?
Sasa mkuu
Mbona kama comment yako haina maana kwangu.

Challenge me bro!
 
Ni kweli ila kufikia hio level Kwa wengi ni mgumu!
 
Ni sawa ila rekebisha hapo kwenye kupata pesa, kuna wajinga wengi tu wako na pesa.....! Kupata pesa ni kitu kisichohitaji akili nyingi ni imani tu..

Hakuna mtu mjinga aliepata pesa kwa jasho lake.

Wajinga huwa wanapata pesa kwa kurithi tu. Ama kuziokota sehemu. Na huwa hazikai zinaisha fasta

Nje ya hapo mjinga hapati pesa.

Labda kama huelewi maana ya mjinga ni nini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…