Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Ukweli mchungu ni kwamba smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni

Ukiwa na akili kubwa kupata mke Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe ukubali kuoa kilaza

Sababu ukiwa na akili kubwa unakuwa una akili ya kumsoma mtu.

Pia Kama una pesa umetafuta mwenyewe kwa jasho lako. Maana yake wewe una akili nyingi. Pesa hazipatikani kijinga..

Ukiwa na akili na una vipesa utapata shida sana kupata mtu wa kuoa.. maana wenye akili wapo wachache.

High value men ngumu sana kumpata high value woman hapa Tanzania. Sio kwamba hawapo ila wapo wachache sana sokoni.

Kwa ufupi smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni. Wanaopatikana kiurahisi ni wale akili ndogo, Wazembe, wavivu, wapenda kulelewa.

NOTE : AKILI KUBWA HAIMAANISHI ELIMU KUBWA

You can have a PhD and still be an idiot! Education and intelligence are two different things.
You’ve nailed it.
 
Ukweli mchungu ni kwamba smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni

Ukiwa na akili kubwa kupata mke Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe ukubali kuoa kilaza

Sababu ukiwa na akili kubwa unakuwa una akili ya kumsoma mtu.

Pia Kama una pesa umetafuta mwenyewe kwa jasho lako. Maana yake wewe una akili nyingi. Pesa hazipatikani kijinga..

Ukiwa na akili na una vipesa utapata shida sana kupata mtu wa kuoa.. maana wenye akili wapo wachache.

High value men ngumu sana kumpata high value woman hapa Tanzania. Sio kwamba hawapo ila wapo wachache sana sokoni.

Kwa ufupi smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni. Wanaopatikana kiurahisi ni wale akili ndogo, Wazembe, wavivu, wapenda kulelewa.

NOTE : AKILI KUBWA HAIMAANISHI ELIMU KUBWA

You can have a PhD and still be an idiot! Education and intelligence are two different things.
Hili andiko umeandika sababu ambazo hazisemwi zinazochochea kuvunjika ndoa (divorce!).

Mwanaume anapojipata kwenye penzi la awali, kwa Imani yake na kulewa mapenzi anajikuta amefunga ndoa na haraka haraka mtoto/watoto wamekuja.

Mwanaume akianza kupandisha game ili kupeleka maisha level za juu, hapo ndipo anagundua mke aliyenaye ni wa kiwango kipi. Hapo ndoa inakuwa matatani.

Ukiwa mtembezi humu Duniani, ama ukiwa mfuatiliaji wa mambo humu Duniani, utaona asilimia 60-70 ya men billionaires, ndoa zao za zilikufa punde tu walipoamua kuwa serious kusaka noti.

Hivyo, hoja yako ina mashiko ndani na ya bongo
 
Sasa kama mnajua kuwa wanaishi kwao mbona huwa mnataka wakija kwenu wawapikie, wawafulie, wawaoshee vyombo, wawafanyie usafi, nk, kama unajijua na wewe ni mwanaume unayetaka kufanyiwa hayo kwenye uchumba we hudumia tu, mnaishi na girlfriends zenu kama wake zenu ila ninyi hamtaki kuwa waume kwao
Mi huwa sijaribu kabisa km unataka kula limbwata mapema mruhusu mchepuko akupikie
 
Ukiona mwanamke mwenye akili kubwa kapata mume ujue huyo mume ni akili kubwa nyenzie, mwanamke mwenye akili kubwa ni ngumu kuishi na mwanaume mwenye akili ndogo hasa mwenye mfumo dume, sababu mfumo dume hauna logic bali wenyewe unalazimisha tu mwanamke ajishushe bila sababu za msingi

Kuna mtu mmoja makini sana sikumbuki ni nani!? Alitaka apewe tafsiri ya akili kubwa kwanza ili mambo yaende sawa maana tunachanganyana sana.

Hivi unajua!
Unajua kuwa mwanamke kwenye suala la ndoa hana nguvu yoyote kuchagua wakuolewa nae?

Lkn mwanaume hata akiwa mwendawazimu ananguvu yakuchagua.

Ndoa ipo mikononi mwa mwanaume?

Nasikitika kisema kitu ambacho hupendi kukisikia "wanawake wote ni sawa" .

Akili kubwa sio sababu ya mwanamke kustrugle kupata mume bali ni kinyume chake.


Kwan tukizungumzia akili kubwa unaelewaje???(relationship wise)???
 
Ukiona mwanamke mwenye akili kubwa kapata mume ujue huyo mume ni akili kubwa nyenzie, mwanamke mwenye akili kubwa ni ngumu kuishi na mwanaume mwenye akili ndogo hasa mwenye mfumo dume, sababu mfumo dume hauna logic bali wenyewe unalazimisha tu mwanamke ajishushe bila sababu za msingi
Jadda nataka nikuoe halafu nikufanye uwe raisi wa Tanzania akiondoka mama samia uko tayari? Say YES!
 
Kuna mtu mmoja makini sana sikumbuki ni nani!? Alitaka apewe tafsiri ya akili kubwa kwanza ili mambo yaende sawa maana tunachanganyana sana.

Hivi unajua!
Unajua kuwa mwanamke kwenye suala la ndoa hana nguvu yoyote kuchagua wakuolewa nae?

Lkn mwanaume hata akiwa mwendawazimu ananguvu yakuchagua.

Ndoa ipo mikononi mwa mwanaume?

Nasikitika kisema kitu ambacho hupendi kukisikia "wanawake wote ni sawa" .

Akili kubwa sio sababu ya mwanamke kustrugle kupata mume bali ni kinyume chake.


Kwan tukizungumzia akili kubwa unaelewaje???(relationship wise)???
Huyu dawa yake ni kumroga tu hivyo vyeti vyake feki atakuja kufungia maandazi na kachori akija nyumbani kwangu, atasahau kila kitu na akifika tu unampa kibendi, hajakaa sawa unampa chengine, mpaka siku akili zikimrudia ana miaka 45 hata sura ishaanza kukunjana kashakuwa kibibi hawezi tena kutoka kwenye ndoa anabakia kupiga kelele tu nilikuwa hivi nilikuwa vile
 
Back
Top Bottom