Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Kupata mke n ngumu, ila cc waume tupo wengi[emoji1690][emoji55]
 
Screenshot_20240220_132729_Biblia na Sauti.jpg
 
Huyu dawa yake ni kumroga tu hivyo vyeti vyake feki atakuja kufungia maandazi na kachori akija nyumbani kwangu, atasahau kila kitu na akifika tu unampa kibendi, hajakaa sawa unampa chengine, mpaka siku akili zikimrudia ana miaka 45 hata sura ishaanza kukunjana kashakuwa kibibi hawezi tena kutoka kwenye ndoa anabakia kupiga kelele tu nilikuwa hivi nilikuwa vile
Amka usije ukakojolea mashuka kijana
 
Haha ajabu sana mkuu yani wewe hutaki kuoa na unajaribu kuwashawishi wanaume wenzio wasioe ili ionekane kama vile wanaume hawawahitaji wanawake, ila hapo hapo unalazimisha wanawake waolewe na kufanya ionekane kama vile wanawake ndio wanawahitaji wanaume, sasa ili nikuoneshe kwamba wewe ni mmojawapo ya wanaume niliowaongelea kuwa hamna logic niambie hao wanawake mnaotaka waolewe wataolewa na kina nani ilihali hamtaki wanaume waoe

Upo tayr tuishi kama mke na mume bila yakuwashirikisha
serikali,kanisa,mahakama?
 
Haha ajabu sana mkuu yani wewe hutaki kuoa na unajaribu kuwashawishi wanaume wenzio wasioe ili ionekane kama vile wanaume hawawahitaji wanawake, ila hapo hapo unalazimisha wanawake waolewe na kufanya ionekane kama vile wanawake ndio wanawahitaji wanaume, sasa ili nikuoneshe kwamba wewe ni mmojawapo ya wanaume niliowaongelea kuwa hamna logic niambie hao wanawake mnaotaka waolewe wataolewa na kina nani ilihali hamtaki wanaume waoe

I've been preaching about love.
I've been preaching about ndoa.
Ndoa ni kitu kizuri mkuu.

Mimi nipo against na system mkuu.


Wakataa ndoa wote.wapo against system.
Namna gani system inawakandamiza wanaume kwenye ndoa.
 
Haha ajabu sana mkuu yani wewe hutaki kuoa na unajaribu kuwashawishi wanaume wenzio wasioe ili ionekane kama vile wanaume hawawahitaji wanawake, ila hapo hapo unalazimisha wanawake waolewe na kufanya ionekane kama vile wanawake ndio wanawahitaji wanaume, sasa ili nikuoneshe kwamba wewe ni mmojawapo ya wanaume niliowaongelea kuwa hamna logic niambie hao wanawake mnaotaka waolewe wataolewa na kina nani ilihali hamtaki wanaume waoe

Kama hutojali !
Unaweza ukaniambia
What are things that realy keep a woman happy!?

Kama utaweza pia kuniambia vitu vyenye vina mkeep man happy!

Ukatusaidia mkuu maana tupo ambao hatujui tunataka nin!!!
 
Upo tayr tuishi kama mke na mume bila yakuwashirikisha
serikali,kanisa,mahakama?
Hapo mnakuwa siyo mke na mume mkuu, by the way kwanini mnataka iwe hivyo, na mnahisi itakuwa na maslahi na kwa mwanamke pia au ni kwenu tu
 
I've been preaching about love.
I've been preaching about ndoa.
Ndoa ni kitu kizuri mkuu.

Mimi nipo against na system mkuu.


Wakataa ndoa wote.wapo against system.
Namna gani system inawakandamiza wanaume kwenye ndoa.
Mkuu ningependa kujua hiyo system inamkandamiza vipi mwanaume kwenye ndoa, maana hili ni swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaume wengi wanaokataa ndoa ila hawanipi majibu ya kueleweka, labda wewe unaweza ukanijibu vizuri ndoa ina shida gani kwa mwanaume
 
Hili hata mimi nimeliona kwa wanawake wenye akili kubwa kupata mume siyo Tanzania tu bali Africa ni mtihani kwa sababu wanaume wengi wa kiafrika hawana logic, yani karne hii bado kuna mwanaume anawaza mke amsaidie majukumu yake ya kutafuta pesa na bado anataka huyo huyo mke ampikie, amfulie, amtii na bado amlee kama mtoto mdogo, ni mwanamke aliye desperate na ndoa na mwenye low self esteem tu ndiye anayeweza kufanya huo upumbavu
Hahaha..
Hatimaye team Kataa ndoa wamepata mwanachama wa kike
 
Mkuu ningependa kujua hiyo system inamkandamiza vipi mwanaume kwenye ndoa, maana hili ni swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaume wengi wanaokataa ndoa ila hawanipi majibu ya kueleweka, labda wewe unaweza ukanijibu vizuri mkuu
Lets go slow
Napenda kujua maslahi unayoyazungumzia.
 
Mkuu ningependa kujua hiyo system inamkandamiza vipi mwanaume kwenye ndoa, maana hili ni swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaume wengi wanaokataa ndoa ila hawanipi majibu ya kueleweka, labda wewe unaweza ukanijibu vizuri ndoa ina shida gani kwa mwanaume

Jaribu siku moja ukipata nafasi zungumza na mwanaume aliyekuwa divorced au ambae yupo kwenye process na pilika za divorce utajifunza
 
Mkuu ningependa kujua hiyo system inamkandamiza vipi mwanaume kwenye ndoa, maana hili ni swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaume wengi wanaokataa ndoa ila hawanipi majibu ya kueleweka, labda wewe unaweza ukanijibu vizuri ndoa ina shida gani kwa mwanaume

World system's
 
Jaribu siku moja ukipata nafasi zungumza na mwanaume aliyekuwa divorced au ambae yupo kwenye process na pilika za divorce utajifunza
Hajawahi kukutana nae hata mmoja hawezi kujua kinachoendelea ni nini
 
Huyu kama ana ndoa njoo uniue niko nimekaa palee. Hawa ni wale wako mid - late 30s na wameshajikatia tamaa na ndoa. Wameangukia kwenye feminism lakini ndani kwa ndani wana uchungu sana! Ni watu wa kuonea huruma maana hata mayai yao yameshaanza kupoteza ubora. They may go childless hasa kama walishatoa mamimba huko sekondari/vyuoni au kama wamebugia sana ma P2. Ni watu wa kuchezea tu!
Huruma sana
 
Mwanamke Yuko chini ya mwanaume hata nguvu tu halingani,hata matajiri duaniani,hata wasomi ama wanasaysansi pia. Sema huwa anajitutumua Mana kiasili kila nafsi inapenda ijisikie Ni ya muhimu kuliko nyingine
😁
 
Now days
Ndoa ni kwa wanaume wapumbavu pekee!.

Hapo uliposema "mpaka ujishushe"

Mimi nimeelewa hivi
Kujishusha=submissiveness

A man should not be submissive to anything or anybody (INCLUDING FRAUDULENT WHITE BOY AND HIS FATHER DIPICTED IN A BLACK BOOK)

Thus why
MGTOW is the best possible way for smart people.

KATAA NDOA IS THE BEST AND SMARTEST WAY FOR A MAN.
Maana yake unakubali kuwa sh*ga
 
Back
Top Bottom