Vi apartment vya 250k vikoje? vyumba vingapi?Nyumba ya kodi ya 250k uijenge kwa 100M??
100M unajenga viapartment vya 250k hata vitatu.... 750k per month
Hana akili huyu nyumba ya million mia uikodishe kwa laki 5 huu si wehu?.Nyumba ya kodi ya 250k uijenge kwa 100M??
100M unajenga viapartment vya 250k hata vitatu.... 750k per month
Kila mtu ana namna yake ya ku-invest fedha yake. Njia inayotumika ku-invest fedha inategemea factors nyingi. Huwezi kusema mtu anayejenga nyumba ni mvivu au mwoga wa kuchukuwa risk kwa sababu hujui ni kwa nini amejenga nyumba na hakufanya biashara.Kuweka karibu milioni 100 kwenye fxed account na kuishia kupata milion 7 kwa mwaka ni uvivu ama uoga wa kuwekeza hiyo pesa. Kuna mizunguko ukiiweka hiyo milioni 100 kwa mwaka unakua umefunga mildoni 300+.
Kujenga nyumba ya kupangisha ni biashara za wastaafu na waoga wa kuchukua risk.
Kuweka karibu milioni 100 kwenye fxed account na kuishia kupata milion 7 kwa mwaka ni uvivu ama uoga wa kuwekeza hiyo pesa. Kuna mizunguko ukiiweka hiyo milioni 100 kwa mwaka unakua umefunga mildoni 300+.
Kujenga nyumba ya kupangisha ni biashara za wastaafu na waoga wa kuchukua risk.
Umenena Vyema sana!Kila mtu ana namna yake ya ku-invest fedha yake. Njia inayotumika ku-invest fedha inategemea factors nyingi. Huwezi kusema mtu anayejenga nyumba ni mvivu au mwoga wa kuchukuwa risk kwa sababu hujui ni kwa nini amejenga nyumba na hakufanya biashara.
Kuna mtu anaweza kuwa hana muda wa kusimamia biashara yake hivyo akaona njia sahihi ni kujenga nyumba ya kupangisha halafu baadae akija pata muda, achukuwe mkopo kwa kutumia ile nyumba afanye jambo jingine. Kuna wengine wanaamua kuwekeza kwenye nyumba kama future ya watoto wake. Sababu ziko nyingi na unachoona ni kizuri kwako, kinaweza kisiwe hivyo kwa mwingine.
Fixed ya Tanzania commercial bank ni 11%Fixed NBC ni 10% to 10.5%
Kuna zile za mbagala 😀 😀Bahati nzuri nafaham ujenzi, kwnye hizi wilaya zinazokua kwa kasi kama njombe, kahama, Katoro ambapo unaweza kupata hadi viwanja vya 2M, nyumba ya million 25 ni nyumba standard ya vyumba vitatu yenye master bedroom 1, jiko, stoo ndogo, dining & sitting room , kwa million 100 unaweza kujenga hizo nyumba 3 na chenji ikabaki itakayotosha kuzizungushia uzio hizo nyumba
Hapo nyumba moja ukiipangisha kwa bei ya kawaida ni kwanzia 250k kwa mwezi 750k safi unaweka mfukoni na bado thamani ya nyumba iko palepale
We kaweke hela bank watu wazifanyie biashara
Mkuu,Faida ya kujenga Nyumba ni kwamba ni Fixed Asset.Kasi ya Kushuka thamani ya Cash ni kubwa kuliko Kasi ya Kushuka thamani ya NYumba.Nyumba Unaweza Kufanya kitu kinaitwa Equity Release na Ukapata Casha Value ya Mpaka 75% Huku Nyumbu ikiendelea kukutengenezea Pesa.Pia Nyumba Unaweza Kupiga Picha Ukiwa nayo tofauti na Cash.Umenunua kiwanja ukaanza kujenga nyumba from scraatch kwa milioni 100 unakuja kukodisha kwa laki 2 na nusu, hicho kiasi ni ngumu kukupigisha hatua, ni pesa itayokuwa inaishia kwenye bills za mwezi, hapo kumbuka kuna muda nyumba inaweza isiwe na mpangaji ama mpangaji akawa msumbufu,
Ukiweka pesa yako benki, walau kwa riba ya 7% una uhakika mwisho wa mwaka una milioni 7 waweza kufanyia kitu cha maana, (hizo benki wanaotoa 14% ni danganya toto tu, kihasibu ni 6% hadi 8%)
Member since yesterdayUmenunua kiwanja ukaanza kujenga nyumba from scraatch kwa milioni 100 unakuja kukodisha kwa laki 2 na nusu, hicho kiasi ni ngumu kukupigisha hatua, ni pesa itayokuwa inaishia kwenye bills za mwezi, hapo kumbuka kuna muda nyumba inaweza isiwe na mpangaji ama mpangaji akawa msumbufu,
Ukiweka pesa yako benki, walau kwa riba ya 7% una uhakika mwisho wa mwaka una milioni 7 waweza kufanyia kitu cha maana, (hizo benki wanaotoa 14% ni danganya toto tu, kihasibu ni 6% hadi 8%)