Ukiwa na chini ya milioni 100 ni heri uiweke fixed account, Kujenga nyumba ya kukodisha ni ngumu kupiga hatua

Ukiwa na chini ya milioni 100 ni heri uiweke fixed account, Kujenga nyumba ya kukodisha ni ngumu kupiga hatua

Ukiweka pesa yako benki, walau kwa riba ya 7% una uhakika mwisho wa mwaka una milioni 7 waweza kufanyia kitu cha maana, (hizo benki wanaotoa 14% ni danganya toto tu, kihasibu ni 6% hadi 8%)
Ingekuwa kila mtu aliyejenga alipata hiyo pesa lets say Mil 100 Kila mtu angefanya unalolifikiria, unfortunately wengi huwa ni pesa ya kuunga unga sana baadae tukianza kupitia risiti na kumbukumbu nyingine ndo tunabaini tumejenga nyumba ya Tsh Mil 100! Jenga yetu ni ya kuungaunga sana Boss....
 
Back
Top Bottom