Ukiwa na mapesa unaweza kununua kila kitu, isipokuwa mambo haya

Ukiwa na mapesa unaweza kununua kila kitu, isipokuwa mambo haya

Hata ukiwa masikini pia huwezi kuvinunua hivyo vitu.

Ila vipo vitu Tajiri anaweza kuvinunua akaipata furaha yeye na watu wanaomzunguka na vipo vitu masikini hawezi kuvinunua akaipata furaha yeye na watu wanaomzunguka.

InshaAllah tumuombe mwenyezi Mungu atuepushe na ufukara na atupe hekima na busara tukipa mali na atufanye wenye kumuabudu.
 
Kuongeza Muda wa Maisha Yako – Kama Mungu amekusudia uishi muda wa sekunde 1,576,800,000, hata ukiwa billionaire kama Musk, huwezi kununua hata sekunde moja zaidi ya muda huo. (Luka 12:25). As of Feb 2025, Elon Musk's net worth is estimated at approximately $397.4 billion
Ila hiki kitu ndio huwa sikielewi.

Yaani Mungu anakupangia ufe namna gani na siku gani??
Thibitisha hilo, how comes mtu afe kwa kuuawa na ni dhambi kuua mtu, kwanini apange kifo cha namna hiyo??
 
Acha upumbafu zitafute kwanza afu Ndo uongee hii statement
 
Hiyo #8 wapumbaf wengi wanadhani baraka za Mungu zinanunuliwa kwa mlungula.

Jenga makanisa kwa fedha za ufisadi ama rushwa, toa matoleo na sadaka kubwa za kujionesha, chanzo cha mapato ni fedha chafu.

Mungu wanamuumba kwa kumfinyanga kwa utashi wao kuwa Mungu kama binadamu, anahongeka kwa chochote.
Pesa ni muhimu tu lakini pesa sio kila kitu. I'm speaking from experience.
 
Ongea yote hayo ukiwa tayari pesa unayo
 
Ukiwa na Mapesa HUWEZI...

1️⃣ Kununua Wokovu – Wokovu wa Mungu haupatikani kwa fedha bali kwa imani katika Kristo Yesu. (Waefeso 2:8-9)

2️⃣ Kununua Amani ya Moyoni – Amani ya kweli inatoka kwa Mungu. (Yohana 14:27)

3️⃣ Kununua Upendo wa Kweli – Upendo wa dhati haupatikani kwa pesa. (1 Wakorintho 13:4-7)

4️⃣ Kununua Furaha ya Kudumu – Furaha ya kweli inatoka kwa Bwana. (Zaburi 16:11)

5️⃣ Kuongeza Muda wa Maisha Yako – Kama Mungu amekusudia uishi muda wa sekunde 1,576,800,000, hata ukiwa billionaire kama Musk, huwezi kununua hata sekunde moja zaidi ya muda huo. (Luka 12:25). As of Feb 2025, Elon Musk's net worth is estimated at approximately $397.4 billion

6️⃣ Kununua Heshima ya Kweli – Heshima ya kweli hupatikana kwa kuwa na tabia njema, si kwa kuwa na mapesa. (Methali 22:1)

7️⃣ Kurudisha Uhai wa Mpendwa Wako – Pesa haziwezi kurudisha maisha ya wapendwa waliotangulia mbele za haki. (Mhubiri 3:1-2)

8️⃣ Kununua Baraka za Mungu – Baraka za kweli haziwezi kununuliwa kwa mapesa, bali hutolewa na Mungu kwa neema. (Mithali 10:22)

💡 Tafuta Pesa kwa Bidii: Pesa ni muhimu, lakini tusidanganyike, mambo yenye thamani ya milele hayawezi kununuliwa kwa mapesa. Nope!

Ubarikiwe! 🙏

1 Timothy 6:7-11
[7]For we brought nothing into the world, and obviously we cannot take anything out of the world;
[8]But if we have food and clothing, with these we shall be content (satisfied).
[9]But those who crave to be rich fall into temptation and a snare and into many foolish (useless, godless) and hurtful desires that plunge men into ruin and destruction and miserable perishing.
[10]For the love of money is a root of all evils; it is through this craving that some have been led astray and have wandered from the faith and pierced themselves through with many acute [mental] pangs.
[11]But as for you, O man of God, flee from all these things; aim at and pursue righteousness (right standing with God and true goodness), godliness (which is the loving fear of God and being Christlike), faith, love, steadfastness (patience), and gentleness of heart.
 
Money is a valuable tool, but it is not everything, as demonstrated by the eight points in the post. Whoever loves money never has enough; whoever loves wealth is never satisfied(Ecclesiastes 5:10)

1 Timothy 6:7-11
[7]For we brought nothing into the world, and obviously we cannot take anything out of the world;
[8]But if we have food and clothing, with these we shall be content (satisfied).
[9]But those who crave to be rich fall into temptation and a snare and into many foolish (useless, godless) and hurtful desires that plunge men into ruin and destruction and miserable perishing.
[10]For the love of money is a root of all evils; it is through this craving that some have been led astray and have wandered from the faith and pierced themselves through with many acute [mental] pangs.
[11]But as for you, O man of God, flee from all these things; aim at and pursue righteousness (right standing with God and true goodness), godliness (which is the loving fear of God and being Christlike), faith, love, steadfastness (patience), and gentleness of heart.
 
Mhu 10:19 SUV
Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote.

Mhubiri 10:19 NEN
Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, nao mvinyo hufurahisha maisha, lakini fedha ni jawabu la mambo yote.

Ecclesiastes 10:19 NIV
A feast is made for laughter, wine makes life merry, and money is the answer for everything.

Ecclesiastes 10:19 NKJV
A feast is made for laughter, And wine makes merry; But money answers everything.

Ecclesiastes 10:19 KJV
A feast is made for laughter, and wine maketh merry: but money answereth all things.

Ecclesiastes 10:19 NLT
A party gives laughter, wine gives happiness, and money gives everything!
 
Imani ni nzuri ila ya Kaizari ina nguvu sana watu wanakosa matibabu sahihi kwa sababu ya pesa wengine wapo majumbani hawajaenda vyuoni kwa sababu ya pesa tusiibeze pesa.
 
1 Timothy 6:7-11
[7]For we brought nothing into the world, and obviously we cannot take anything out of the world;
[8]But if we have food and clothing, with these we shall be content (satisfied).
[9]But those who crave to be rich fall into temptation and a snare and into many foolish (useless, godless) and hurtful desires that plunge men into ruin and destruction and miserable perishing.
[10]For the love of money is a root of all evils; it is through this craving that some have been led astray and have wandered from the faith and pierced themselves through with many acute [mental] pangs.
[11]But as for you, O man of God, flee from all these things; aim at and pursue righteousness (right standing with God and true goodness), godliness (which is the loving fear of God and being Christlike), faith, love, steadfastness (patience), and gentleness of heart.
Great
 
Hiyo #8 wapumbaf wengi wanadhani baraka za Mungu zinanunuliwa kwa mlungula.

Jenga makanisa kwa fedha za ufisadi ama rushwa, toa matoleo na sadaka kubwa za kujionesha, chanzo cha mapato ni fedha chafu.

Mungu wanamuumba kwa kumfinyanga kwa utashi wao kuwa Mungu kama binadamu, anahongeka kwa chochote.
Dah, umetumia lugha kali
 
Back
Top Bottom