Sioni kosa haponatumai hamjambo wananzengo.
wakuu leo nilikua nimetoka na wife, after kushuka kwa gari mbele yetu alipita dada mwenye figure yake ukweli nilijikuta nimegeuka kumtizama, kumbe wife kile kitendo hakikumpendeza akaninunia hadi tumerudi home.
tulipofika home akaanza kunisomea "yaani upo na mkeo unamkosea heshima na kugeuka kutizama wanawake wengine, je ningefanya hivo kwa wanaume wapitao ungependezwa? sio siri umenikwaza sana"
ilinibidi nijishushe na kuomba samahani yaishe, nawaasa nanyi wakuu muwapo na wake zenu jizuieni kupepesa macho msije wakwaza bure.
Kumbe huwa mnaumia ehh,Bora umewakumbusha wenzio
kwa hiyo hata kwa mume unaweza fanya hivo mkuu?Nilikuwa na huyu babe nilimzoea sana, nakuwa huru sana nikiwa nae.., tukiwa misele nikaona mdada ana mshepu wake uwa namshtua namwambia aangalie uumbaji wa sir God.....basi anacheeeka mwenyewe, sometimes ananitania nikamuombee namba na mimi namtania kausha kuna UTI sugu pale
Saanaaa..hasa anaeangaliwa akiwa pisi Kali 😂😂Kumbe huwa mnaumia ehh,
Safi, nawatabiria kudumu kwenye ndoa yenu sana, maana nwanamke kutokasirika hovyo hovyo huleta furaha sana kwenye mahusianoHhahha wife ananiambiaga mwenyewe...hujaona au unajikausha kwakua uko na mimi?? Angalia tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tatizo la macho si lazima uangalie,unaweza kujikuta tu ushaona na akili ikatulia hapo, muhimu ni kujifunza jinsi yakujitetea.
natumai hamjambo wananzengo.
wakuu leo nilikua nimetoka na wife, after kushuka kwa gari mbele yetu alipita dada mwenye figure yake ukweli nilijikuta nimegeuka kumtizama, kumbe wife kile kitendo hakikumpendeza akaninunia hadi tumerudi home.
tulipofika home akaanza kunisomea "yaani upo na mkeo unamkosea heshima na kugeuka kutizama wanawake wengine, je ningefanya hivo kwa wanaume wapitao ungependezwa? sio siri umenikwaza sana"
ilinibidi nijishushe na kuomba samahani yaishe, nawaasa nanyi wakuu muwapo na wake zenu jizuieni kupepesa macho msije wakwaza bure.
Ni kweli mkuuSafi, nawatabiria kudumu kwenye ndoa yenu sana, maana nwanamke kutokasirika hovyo hovyo huleta furaha sana kwenye mahusiano
Ha ha wengine tunauliza mama, niangalie ama nikaze mwendo...anasema "pixel unahitaji maombi", namuambia hata hivyo siyo mambo yangu, fahari ya macho tuu zigo kama hilo na hiki kitambi hatuwezani, anacheka siku imeisha
kwa hapo tayari unakua umepiga ndege 2 kwa jiwe moja, yaani hujamkera na kuangalia umeangaliaHa ha wengine tunauliza mama, niangalie ama nikaze mwendo...anasema "pixel unahitaji maombi", namuambia hata hivyo siyo mambo yangu, fahari ya macho tuu zigo kama hilo na hiki kitambi hatuwezani, anacheka siku imeisha
Naam, huyo ndio mwenza bwana!!
Hhahha wife ananiambiaga mwenyewe...hujaona au unajikausha kwakua uko na mimi?? Angalia tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hana shida mzungu wa rohooo[emoji23][emoji23] Sasa huyu afaa Sana..
Pesa!?
Nikinuna we ninunue kwa hela, niwekee hela kwenye matiti na kitovu, ntakupa tabasamu na vingine. Ila ukirudia tena kunifanya ninune, bei ya kuninunua inaongezeka... kazi kwako.
mi pia sikuona kama nimekosea bt jambo linalomuudhi mwingine tayari ni kosa mkuuSioni kosa hapo
mkeo yupo vizuri mkuuHhahha wife ananiambiaga mwenyewe...hujaona au unajikausha kwakua uko na mimi?? Angalia tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hii pia si tabia rafiki ukiwa na mke or mpenziNaongezea
Ukiwa na wife/mpenzi wako epuka au kuwasifia wanawake wengine mbele yake.
Kuna jamaa yangu aliachwa kisa hii tabia, yupo na mpenz wake lakini akikutana na marafiki zake wa kike ni kuwasifia”umependeza” wakati alietoka nae nyumbani hata hajamsifia.
hongera sana mkuuHana shida mzungu wa rohooo
ukiwa pekee hakuna shida bt ukiwa na wife unajikaza mkuuHii kitu ni ngumu kama ilikuacha pombe
nilichojifunza katika hili mke anahitaji atesheni yako sana hasa mnapokua mmetoka, kinyume chake utamfanya ajisikie vibayaMweleze mkeo atulizane, wanaume hatununiwi atajitafutia matatizo zaidi.