Hawakusema sasa.Sisi wengine songesha ni kama hela ya ya rafiki, naanzaje kumlipa mshikaji 20,000.Songesha Iko Chini ya Tanzania Commercial Bank ni kitengo Cha Cha benki ukikopa ni sawa na umekopa benki record zako linaonyesha ulikopa benki ya Tanzania Commercial bank na hulipi
Sasa waweke hiyo bureau iwe wazi sio kutuvizia. Shida ya watanzania vitu bayana wataficha, vya kuficha watatangaza. Upuuzi over upuuzi.Mikopo yote inayopitia kwenye simu kama Songesha nyuma yake kuna bank. Kwa mfano. Songeshahutolewa na TCB. Na hii mikopo yote husajiliwa kwenye credit bureau.
Credit bureau ni Database ya wakopoja. Kadri unavyokopa na kulipa hii database ina kupa rates ambazo wakopeshaji wanaweza kuzitumia kufanya assesment kama unakopesheka au la.
Cha msingi siyo kuacha kukopa, ila ni kukopa na kulipa kwa wakati.
Zama kwenye web yao hakikisha una kitambulisho cha NIDA na sio nambaNaomba mwongozo kidogo hapa.
Huwezi binafsi wanaoruhusiwa kuingia huko ni taasisi za fedha zinazokopesha tuHow do I check my status huko Credit bureau ni Database
Iko wazi Mbona siku nyingi tu wewe ndio unajua leo poleSasa waweke hiyo bureau iwe wazi sio kutuvizia. Shida ya watanzania vitu bayana wataficha, vya kuficha watatangaza. Upuuzi over upuuzi.
Ni FINCASongesha Iko Chini ya Tanzania Commercial Bank ni kitengo Cha Cha benki ukikopa ni sawa na umekopa benki record zako linaonyesha ulikopa benki ya Tanzania Commercial bank na hulipi
Unachosema kama ujawahi kukutana nacho utasema uongo ila nakuambia ukweli mtupu.Kaka hii business na hili ni soko hulia,hakuna mtu au taasisi ikaona una uwezo wa kulipa wasikupe mkopo watakuuliza mkopo a.b.c kwa nini hujalipa na majibu utawapa wakiridhika nayo watakupa pesa.
Bank zote biashara yao kuu ni mikopo,wasipo uza hiyo mikopo watajiendeshaje?? Achana na story za vijiwe.
Yes miaka sita, kweli bila wakopaji ni faida ndogo ila kwa sasa kama wameambiana vile labda uende kwenye vitaasisi vya mtaani ila haya mabenki awakupi pesa mkuu.Miaka sita? Hii ngumu kutekelezeka labda ipo kwenye maandishi tu. Kumbuka benki bila wakopaji faida yake ni ngogo
Anaweza kupata taarifa zake sio zaidi ya 1000Huwezi binafsi wanaoruhusiwa kuingia huko ni taasisi za fedha zinazokopesha tu
Wewe kujua status Yako jiangalie tu mikopo uliyokopa je huwa unalipa na kwa wakati mliokubaliana kwenye mkataba?
ZinazoSongesha na mikopo mingine ya simu imepelekea watumishi kunyimwa mikopo wanapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk, risk na low risk katika kadiri mteja anaposongesha.
Hilo limetokea leo mimi mwenyewe nilipoenda bank na kuingia kwenye mfumo wa ESS Utumishi, bank walivyoingia na kutumia mkopo ukawa rejected, nikaenda Voda nikawalipa Songesha yote lakini bado mfumo ulisoma high risk.
Nawashauri wale ambao hamjaingia kwenye hili jini songesha msijaribu, mbeleni litawaleta shida.
Mamlaka zinasimamia Mikopo hili la simu hasa mikopo ya Nivushe, Songesha, Gold, Bustisha ziwe na term of condition, yaani taratibu za mwanachama kukubali.
Kampuni si ina mmiliki mkuu?Shida unaenda kuomba wewe kama wewe nenda kama kampuni uone kama watakubania. Yaani songesha ya elfu 20,000 ndio iwe kikwazo kwa mimi kupatiwa mkopo wa milioni 20+ na zaidi? Si nakopa nawapa kaela kao, hebu waache upumbavu.
ukilipa ukachukua clearance form kutoka credit bureau ukaenda nayo bank bado watakataa kukupa mkopoUnachosema kama ujawahi kukutana nacho utasema uongo ila nakuambia ukweli mtupu.
Nilibisha kama wewe ila ukienda pale Victoria pale Credit info utajua. Nilikosa mkopo wa biashara zangu wa mamilioni ya pesa kisa laini nilimsajilia mdogo wangu kakopa elfu 20 SONGESHA akulipa miaka mitatu nikaelekezwa niende pale FINCA HQ karibu na hao Credit info, nililipa ila niliambiwa taarifa zangu zitafutika automatically baada ya miaka 6.
Mkopo wa SONGESHA umeandikwa WRITTEN OFF
Mkuu shida siyo clearance form, shida inakuwa umeshachafua rekodi yako kama mkopaji maana inarekodi siku ulizopitiliza na kuweka marks kama vile WRITTEN OFF, HIGH RISK na kadhalika.ukilipa ukachukua clearance form ukaenda nayo bank bado watakataa kukupa mkopo
ndio maana hata nmb mshiko fasta wameniblock wakat sijawai kiwacheleweshea inawezekana wameangalia iyo songesha maana nina miaka 3 sijawalipa 40000Mkuu shida siyo clearance form, shida inakuwa umeshachafua rekodi yako kama mkopaji maana inarekodi siku ulizopitiliza na kuweka marks kama vile WRITTEN OFF, HIGH RISK na kadhalika.
SONGESHA inamilikiwa na FINCA
MPAWA inamilikiwa na BOA Bank
Hizi kampuni za simu kama watu wa kati tu
Ngoja kiwakute kituOoh..... hongera sana Mkuu
Nilidhani wanaishia kwenye laki laki tu, kumbe wanatoa hadi milioni 4🙌
AhaaaaUmekuja kijanja sana ila nikwambie tu, HATULIPI.
Kwako wewe kuumizwa bank ni mpaka bank ifungwe? Financial statements zipi wakati bank kubwa ni mabingwa wa kupika vitabu? Inawezekana wanapata faida ila faida ingekuwa kubwa zaidi kama sio hizo NPLBank gani kubwa hapa Tz iliwahi kuumizwa na mikopo ikapelekewa kufungwa?? usije ukasema M-bank hii ilifungwa kwa sababu za kisiasa.
Kwa miaka karibu 10-15 hakuna bank imewahi fungwa sababu ya kufirisika kutokana na madeni,na hii inatokana na kuwa kwa Tanzania banks nyingi zinaoata supernormal profit kwa kuwa riba za mikopo zipo juu sana.
Kapitie financial statements za bank hata 4 kwa miaka 3 mfululuzo uangalie zinavyopata faida kubwa.achana na story za vijiweni.
Yes inawezekana mkuundio maana hata nmb mshiko fasta wameniblock wakat sijawai kiwacheleweshea inawezekana wameangalia iyo songesha maana nina miaka 3 sijawalipa 40000
Huenda watakaokuwa wanakopeshwa hizo 4M lazima wawe wanaofanya miamala mikubwa 😅Ngoja kiwakute kitu