How do I check my status huko Credit bureau ni DatabaseMikopo yote inayopitia kwenye simu kama Songesha nyuma yake kuna bank. Kwa mfano. Songeshahutolewa na TCB. Na hii mikopo yote husajiliwa kwenye credit bureau.
Credit bureau ni Database ya wakopoja. Kadri unavyokopa na kulipa hii database ina kupa rates ambazo wakopeshaji wanaweza kuzitumia kufanya assesment kama unakopesheka au la.
Cha msingi siyo kuacha kukopa, ila ni kukopa na kulipa kwa wakati.
Mikopo ya Tanzania imekaa kiuni huni ndio maana watu wanashindwa kulipa mikopo,riba z mikopo Tz zipo juu sana haziendani na hali ya uchumi wa Nchi.Ujanja ujanja kama huu ndio unasababisha watanzania wengi ngozi nyeusi kubwa wagumu kupewa mikopo wahindi,waarabu na wapemba hukopeshana Bila maandishi na hulipana Bila shida yeyote
Mhindi akienda kukopa benki ndani ya Siku moja tu mkopo anapewa sababu walipaji wazuri mswahili ngozi nyeusi unampa mkopo Mfano Bila maandishi anaanza ujuaji Lete ushahidi kama ulinikopesha shahidi Yako nani Nenda mahakamani huko Mimi haujawahi nikopesha
Ukipewa mkopo Bila longolongo na unapolipa lipa Bila longolongo usilete longolongo kwenye kulipa
Ndio maana mabenki uuweka Hata riba juu sana na usumbufu mwingi Kwa mkopaji mswahili ngozi nyeusi kutaka madhamana kibao na yenyewe Hadi benki ihangaike kuhakiki sababu aweza leta fake documents ni shida.
Wao wamekukopesha Bila kelele Bila longolongo kulipa hulipi unaleta longolongo ndio maana Sasa hivi wanalink na credit reference bureau wakopaji ambayo huleta longolongo kulipa wanazobwa kote kwenye benki yeyote asipate mkopo abakie na ujuaji wake huko mtaani au aende akakope kule Kwa watoa mikopo kausha damu Sio kwenye mabenki
Wewe weka unavyoona. Watu tume deal na credit scores zaidi ya miaka 25, tunajua how it works. Tz ndio imeanza hivi karibuni baada ya bank kuumizwa sana. Kazi yake basically ndio hii tunayosema kuiweka bank aware na status ya mkopaji.Mnajaribu kutumia nguvu nyingi kuelezea kitu ambacho hakipo. Ukiwa blacklisted kwasababu ya mkopo haĺafu ukalipa na umewekewa hiyo status mnayosema, sio kwamba unakosa mkopo. Unachotaiwa kufanya ni kuchukua kitu kinaitwa "loan clearance statement" taasisi iliyokuwa inakudai ikitoa hiyo statement status ya high risk inaondolewa.
Mfumo huo umeanzishwa maalumu kuweza ku track madeni ya mtu kabla hajaingia kwenye mkopo mwingine, sio ku block mtu asiweze kukopa.
Ndiomaana nasema humu kuna wachangiaji wa mada hii ambao ni wafanyakazi wa hizi songesha and the like maana hamsemi uhalisia
Sent from my SM-E045F using JamiiForums mobile app
Miaka sita? Hii ngumu kutekelezeka labda ipo kwenye maandishi tu. Kumbuka benki bila wakopaji faida yake ni ngogoNaweza kubaliana na wewe kwenye hiyo document ya so called loan clearance statement lakini kufutika hizo alama za kupitiliza siku ya ulipaji wa mkopo kufutika kwake baada ya miaka sita na limeshakuwekea doa kwenye taasisi nyingine kukopa na kama watakukopesha basi kwa riba kubwa sana.
CRDB ni miaka karibu 2 sasa wana shida katika kutoa mikopo sio tu wa wafanyabishara hata ya Watumishi.watu wanakwenda wanakaa mwezi ndii wanapewa mikopo,ni kama CRDB imeanza kufulia.CRDB ndo wameanza kuwanyima watu mikopo mkuu.
Wewe mtumishi wa umma bank haiwezi kukuacha. A cash cow, kwako wana uhakika utalipa kwasababu mdhamini wako ni serikali hata usipolipa wanasubiria pension yako. Wanakupa 15m unalipa 45m nani ataacha deal kama hio na serikali imekuwekea dhamana.Umenichekesha sana, kwamba hiyo computer imefanyaiwa programming na robot au binadamu? Kwamba 1000 unayodaiwa ndiyo izuie mtumishi wa umma mwenye uhakika wa dhamana ya serikali ndo benki ikose 15,000,000 ya faida.
Lain ikishakuwa na deni hatapewa mtu mpaka ijulikane mmiliki aliyesajili mwanzo akakopa bila kulipa alikoenda.Laini akipewa mtu mwingine huwezi kudaiwa?
Wewe nawe mwehu unapopata hivyo vishiringi vya mchongo unafikiri wote wa hovyo kama wewe, mkopo Kwa Mtumishi ndio unafanya aendeleWatumishi wa umma nanyi akili zenu ni kibaba haswa, unaendaje kukopa upuuzi kama huo?
Hakuna hela unayosongesha zaidi ni hiyo hiyo hela yako unajikopesha.nothing new.ila mkuu tunatia aibu yaani mtu anakimbia na afarobaini pesa ndogo kabisa wakati akilipa anaweza kusongesha miamala zaidi tz tunatia aibu kinoma
Acheni ujinga jitumeni kwa kufanya ujasiriamali nje na kaziWewe nawe mwehu unapopata hivyo vishiringi vya mchongo unafikiri wote wa hovyo kama wewe, mkopo Kwa Mtumishi ndio unafanya aendele
Watumishi wa umma wengi akili zao ni za hovyo snHakuna hela unayosongesha zaidi ni hiyo hiyo hela yako unajikopesha.nothing new.
Kaka hii business na hili ni soko hulia,hakuna mtu au taasisi ikaona una uwezo wa kulipa wasikupe mkopo watakuuliza mkopo a.b.c kwa nini hujalipa na majibu utawapa wakiridhika nayo watakupa pesa.Naweza kubaliana na wewe kwenye hiyo document ya so called loan clearance statement lakini kufutika hizo alama za kupitiliza siku ya ulipaji wa mkopo kufutika kwake baada ya miaka sita na limeshakuwekea doa kwenye taasisi nyingine kukopa na kama watakukopesha basi kwa riba kubwa sana.
Songesha ni huduma ya FINCA. Ukikopa songesha ni kama umekopa FINCA. Voda ni wakala tu wa FINCAUnataka kusema Mteja wa Vodacom Songesha anaweza kuwa na Deni linaloweza kuathiri kukopeshwa na Benki?
Kivipi jambo hilo likahusiana?
Bank gani kubwa hapa Tz iliwahi kuumizwa na mikopo ikapelekewa kufungwa?? usije ukasema M-bank hii ilifungwa kwa sababu za kisiasa.Wewe weka unavyoona. Watu tume deal na credit scores zaidi ya miaka 25, tunajua how it works. Tz ndio imeanza hivi karibuni baada ya bank kuumizwa sana. Kazi yake basically ndio hii tunayosema kuiweka bank aware na status ya mkopaji.
fafanua na je umeelewa nilichoandika?Hakuna hela unayosongesha zaidi ni hiyo hiyo hela yako unajikopesha.nothing new.
mkopo unamkandamiza mtumishi angalia wote wanaopewa mikopo mara ya magari mara ya nyumba za kusihi ni ujinga mtupu na cha ajabu watumishi hawastuki..... kopa fanya biashara ikibuma pambana uanze tena sio unakopa unanunua gari na huna kitega uchumi cha ziada gari ikizingua inapaki na mkop bado unahitaju rejeshoWewe nawe mwehu unapopata hivyo vishiringi vya mchongo unafikiri wote wa hovyo kama wewe, mkopo Kwa Mtumishi ndio unafanya aendele
How do I check my status huko Credit bureau ni Database
Hata Mimi nimenyimwa na Crdb Kwa sababu ya SONGESHACRDB ndo wameanza kuwanyima watu mikopo mkuu.