Sio lazima atoke hapo amerika! Mbona hapa Tanzania watu wanaagiza magari china na hawajawahi hata kufika Dar es salaam na bidhaa inamfuata mpaka mlangoni!!? Huko huko alipo anatafuta pakununulia, anatafuta agents na malipo na mambo yanaenda! Kuna mitandao mizuri ya kupoint bidhaa Made in China kuna alibaba na wenzie! Ishu ni adress tu anazielekezea TzKama zipo ulaya na hela zote ni cash bado kutakua na mlio tu, labda zingekua amerika kusini
Hii njia inakuwaje mkuu tujuze kwa uelewa tu wa wengiHuko ulipo tafuta wasomali watakusaidia. Wataku introduce kwenye Hawala System na pesa yako itamfikia mtu hapa bongo salama bila kupitia benki yoyote ile. Ni simu moja tu
Sasa si awe anazileta yeye mwenyewee kwa trip kadhaaa.Zikipita tu kwenye mfumo wa benki zinapotea.
Zikipita kwenye mikono ya mtu mwingine na yeye ajiandae kupotea pamoja na hela zake.
Huko hata kudhulumiwa weka 50 kwa 50Peleka black market ukuabidili iyo within a week utamaliza kubadili
Sasa si atafute ndugu km 20, awe anawatumia hizo mil 10 kila mwezi hadi ziishe zote, afu aje huku atoe.na hata ukituma kwa western union, mwisho ni 10m. shida tupu.
Ndugu siku hizi imani haipoSasa si atafute ndugu km 20, awe anawatumia hizo mil 10 kila mwezi hadi ziishe zote, afu aje huku atoe.
ukifiria sana, kila kitu ni shida tupu, manake hata western union huko ulaya, sheria zimewekwa wakikutana na suspecious payment/transaction, wanatakiwa kutoa taarifa. wanaweza wasikuambie wewe, ila pesa watatuma ila wanatoa taarifa za siri kwenye vyombo husika. na unapoenda kutuma pesa, particulars zako zote unaziacha pale. sijajua yupo nchi gani, kama ni marekani, huko ni shida zaidi, na kama ulaya ni shida mara mbili manake hasa kwenye nchi za shengeni particulars zako zikiingizwa ujerumani unasomeka hadi spain na ureno na ufaransa etc, wakiweka x tu ukipita airport yao yeyote nchi zote 11 za umoja wao alarm itaonyesha na watakukabidhi tu kwa polisi wa airport ndio kianzio cha investigation au kukupeleka unapohitajika. kama anazo pesa chafu ulaya atapata shida sana.Sasa si atafute ndugu km 20, awe anawatumia hizo mil 10 kila mwezi hadi ziishe zote, afu aje huku atoe.
Online marketing mzee, usikaze fuvu! Kwani akiwa huko USA au ULAYA hana simu au computer ya kumulika bidhaa hata china!!? Huko china anapo agiza adress anatoa za Dar es salaam port, anacheck agent hata hao silent ocean wanamfanyia mambo yake vizuri tu na si lazima afanye manunuzi ya pesa zote hizo kwa mara moja! Mf hizo Howo na trailer zake anaweza kuchukua hata 5 na mpaka anazifikisha hapa Tz nusu ya hiyo pesa inakua imesha enda na maji yeye ni kufanya miamala tu mpaka zoezi linaisha, baada ya hapo anashughulikia vibali vyuma vinasubiri kuingia mzigoni, baada ya muda anafanya manunuzi menginemanunuzi ni ngumu, ulaya ukenda kufanya manunuzi ya cash pesa ndefu hivyo, watapiga simu polisi na itabidi ueleze umezipataje na umelipa kodi au vipi, kuna mengi utaulizwa na anaweza kupoteza zote. nashauri awe anatuma western union kwa ndugu anayemwamini huku bongo amwekee kwenye account yake ya kibongo account kadhaa (afungue account bank hata tano ili isionekana bank moja unaweka tu hapo watakushtukia), na zingine hizo milioni kumikumi awe anasafiri nazo akifika airport anadeclare basi. apige ruti zote hizo hadi hela iishe.
Atalia kilio cha mbwa. Maana watampiga tukio hataaminiNamba 4 aifanyie kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akubali kuliwa, km anataka kula.Ndugu siku hizi imani haipo
shida ni unaziwekaje pesa bank cash na ukatoa justification? usiwe na kichwa cha kama cha mbuzi. ili ufanye online purchase ulaya, pesa yako inatakiwa kuwa kwenye bank. sasa pesa zipo home cash, atalipaje online payment china au kokote? na atazipelekaje bank kama hana justification, itabidi abaki nazo tu home, wazungu wameweka pin kila kona ili kuondokana na money laundering? kwa wale waliofika ulaya, yapo baadhi ya maduka au niseme yaliyo mengi, ukienda kununua kitu kwa cash wanagoma, zinatumika credit cards, waswaipu tu kwenye card na pesa yako itajikata kwenye bank yako ziwe zipo au utadaiwa na hiyo bank n.k. hivyo ukiondoka na begi lako la pesa ukapeleka bank, cha kwanza itabidi ueleze zimefikaje mikononi mwako hizo cash wakati sio desturi mtu kukaa na cash ndefu hivyo, kama una justification hapana shida, ila kama hauna, hautatoka pale kwasababu utaitiwa polisi, tena ukiwa mweusi ndio wanafikiri unauza unga. sasa pesa zako zipo kwenye salfeti, utanunuaje bidhaa online china au kokote? na ukipeleka bank ndio suspecion inaanzia hapo. wale mnaowaona wanasambaza mipesa kwenye vitanda mfano wacheza ndondi etc, wana justification na hata wakipeleka mzigo bank inajulikana, sasa wewe una kazi gani ulaya inayokufanya ulipwe cash pesa yote hiyo, na kodi unatakiwa kuwa umelipa. kuna mengi.Online marketing mzee, usikaze fuvu! Kwani akiwa huko USA au ULAYA hana simu au computer ya kumulika bidhaa hata china!!? Huko china anapo agiza adress anatoa za Dar es salaam port, anacheck agent hata hao silent ocean wanamfanyia mambo yake vizuri tu na si lazima afanye manunuzi ya pesa zote hizo kwa mara moja! Mf hizo Howo na trailer zake anaweza kuchukua hata 5 na mpaka anazifikisha hapa Tz nusu ya hiyo pesa inakua imesha enda na maji yeye ni kufanya miamala tu mpaka zoezi linaisha, baada ya hapo anashughulikia vibali vyuma vinasubiri kuingia mzigoni, baada ya muda anafanya manunuzi mengine
Kuna mitambo kama ma'grador na scavator! Ukichukua loader moja la uhakika na scavator moja hiyo pesa inapukutika na zikifika ni anajipigia pesa zake taratiibu hato amini, lazima zirudi kama upepo
Hili dili mpaka akamilishe inabidi awe mvumilivu aanze kuweka hela kdg kdg kwenye account then baadae ndo anunua hayo magari lakini wakiamua kupiga ban account na uonyeshe source ya hela itakua shida mtu mwenyewe ni mweusi kule nigeria wameharibu sanaSio lazima atoke hapo amerika! Mbona hapa Tanzania watu wanaagiza magari china na hawajawahi hata kufika Dar es salaam na bidhaa inamfuata mpaka mlangoni!!? Huko huko alipo anatafuta pakununulia, anatafuta agents na malipo na mambo yanaenda! Kuna mitandao mizuri ya kupoint bidhaa Made in China kuna alibaba na wenzie! Ishu ni adress tu anazielekezea Tz
Basi ajaribu kufanya hivyo.Online marketing mzee, usikaze fuvu! Kwani akiwa huko USA au ULAYA hana simu au computer ya kumulika bidhaa hata china!!? Huko china anapo agiza adress anatoa za Dar es salaam port, anacheck agent hata hao silent ocean wanamfanyia mambo yake vizuri tu na si lazima afanye manunuzi ya pesa zote hizo kwa mara moja! Mf hizo Howo na trailer zake anaweza kuchukua hata 5 na mpaka anazifikisha hapa Tz nusu ya hiyo pesa inakua imesha enda na maji yeye ni kufanya miamala tu mpaka zoezi linaisha, baada ya hapo anashughulikia vibali vyuma vinasubiri kuingia mzigoni, baada ya muda anafanya manunuzi mengine
Kuna mitambo kama ma'grador na scavator! Ukichukua loader moja la uhakika na scavator moja hiyo pesa inapukutika na zikifika ni anajipigia pesa zake taratiibu hato amini, lazima zirudi kama upepo
Jamaa aelewe kule system za banks ndo zinaunganisha biashara na wewe unahela cash kwenda nazo zote ni hatarishida ni unaziwekaje pesa bank cash na ukatoa justification? usiwe na kichwa cha kama cha mbuzi. ili ufanye online purchase ulaya, pesa yako inatakiwa kuwa kwenye bank. sasa pesa zipo home cash, atazipelekaje bank? kwa wale waliofika ulaya, yapo baadhi ya maduka au niseme yaliyo mengi, ukienda kununua kitu kwa cash wanagoma, zinatumika credit cards, waswaipu tu kwenye card na pesa yako itajikata kwenye bank yako ziwe zipo au utadaiwa na hiyo bank n.k. hivyo ukiondoka na begi lako la pesa ukapeleka bank, cha kwanza itabidi ueleze zimefikaje mikononi mwako hizo cash wakati sio desturi mtu kukaa na cash ndefu hivyo, kama una justification hapana shida, ila kama hauna, hautatoka pale kwasababu utaitiwa polisi, tena ukiwa mweusi ndio wanafikiri unauza unga. sasa pesa zako zipo kwenye salfeti, utanunuaje bidhaa online china au kokote? na ukipeleka bank ndio suspecion inaanzia hapo. wale mnaowaona wanasambaza mipesa kwenye vitanda mfano wacheza ndondi etc, wana justification na hata wakipeleka mzigo bank inajulikana, sasa wewe una kazi gani ulaya inayokufanya ulipwe cash pesa yote hiyo, na kodi unatakiwa kuwa umelipa. kuna mengi.
Kiufupi ni mfumo wa kutuma pesa sehemu mbali mbali ulimwenguni uliojikita katika mazingira ya Uaminifu baina ya pande mbili zinazoaminiana. Washiriki/mawakala wa mfumo huo hujulikana kama Hawaladar kwa mfano unataka kutuma hiyo pesa hapa bongo kinachofanyika ni unatafuta Hawaladar X wa nchi uliyopo unampatia taarifa za muamala ikiwa ni pamoja na taarifa za mpokeaji kisha mtakubaliana gharama ya kufanikisha zoezi hilo, mkishakubaliana Hawaladar X atamtaarifu Hawaladar Y wa nchi na eneo unalotaka pesa ifike, hawaladar Y akithibitisha kuwa na Kiasi kinachotakiwa kutumwa atapatiwa taarifa za anayetakiwa kupewa pesa hizo then anayetakiwa kupokea kiasi hicho cha pesa atajulishwa na kwenda kukichukua kwa Hawaladar Y, jinsi Hawaladar X na Y watakavyomalizana wanajua wao wenyewe, cha msingi pesa yako inakuwa imefika sehemu husika bila jicho wala mkono wa Serikali ama benki.Hii njia inakuwaje mkuu tujuze kwa uelewa tu wa wengi
Asante mkuu nimeelewa🤝Kiufupi ni mfumo wa kutuma pesa sehemu mbali mbali ulimwenguni uliojikita katika mazingira ya Uaminifu baina ya pande mbili zinazoaminiana. Washiriki/mawakala wa mfumo huo hujulikana kama Hawaladar kwa mfano unataka kutuma hiyo pesa hapa bongo kinachofanyika ni unatafuta Hawaladar X wa nchi uliyopo unampatia taarifa za muamala ikiwa ni pamoja na taarifa za mpokeaji kisha mtakubaliana gharama ya kufanikisha zoezi hilo, mkishakubaliana Hawaladar X atamtaarifu Hawaladar Y wa nchi na eneo unalotaka pesa ifike, hawaladar Y akithibitisha kuwa na Kiasi kinachotakiwa kutumwa atapatiwa taari za anayetakiwa kupewa pesa hizo then anayetakiwa kupokea kiasi hicho cha pesa atajulishwa na kwenda kukichukua kwa Hawaladar Y, jinsi Hawaladar X na Y watakavyomalizana wanajua wao wenyewe, cha msingi pesa yako inakuwa imefika sehemu husika bila jicho wala mkono wa Serikali ama benki.
Hapo nimekupata! Ila sizani kama kama akiamua kuweka pesa bank mdogo mdogo ya kufanya malipo mdogo mdogo mpaka ziishe! Anaweka pesa ya kulipa unit moja ya bidhaa kwa installment anaenda na mtindo huo mpaka anamaliza zoezishida ni unaziwekaje pesa bank cash na ukatoa justification? usiwe na kichwa cha kama cha mbuzi. ili ufanye online purchase ulaya, pesa yako inatakiwa kuwa kwenye bank. sasa pesa zipo home cash, atalipaje online payment china au kokote? na atazipelekaje bank kama hana justification, itabidi abaki nazo tu home, wazungu wameweka pin kila kona ili kuondokana na money laundering? kwa wale waliofika ulaya, yapo baadhi ya maduka au niseme yaliyo mengi, ukienda kununua kitu kwa cash wanagoma, zinatumika credit cards, waswaipu tu kwenye card na pesa yako itajikata kwenye bank yako ziwe zipo au utadaiwa na hiyo bank n.k. hivyo ukiondoka na begi lako la pesa ukapeleka bank, cha kwanza itabidi ueleze zimefikaje mikononi mwako hizo cash wakati sio desturi mtu kukaa na cash ndefu hivyo, kama una justification hapana shida, ila kama hauna, hautatoka pale kwasababu utaitiwa polisi, tena ukiwa mweusi ndio wanafikiri unauza unga. sasa pesa zako zipo kwenye salfeti, utanunuaje bidhaa online china au kokote? na ukipeleka bank ndio suspecion inaanzia hapo. wale mnaowaona wanasambaza mipesa kwenye vitanda mfano wacheza ndondi etc, wana justification na hata wakipeleka mzigo bank inajulikana, sasa wewe una kazi gani ulaya inayokufanya ulipwe cash pesa yote hiyo, na kodi unatakiwa kuwa umelipa. kuna mengi.