Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hizi umezipata kwa kazi gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule kumejaa wahalifuIngia dark web uone watu wanasafirisha zaidi ya hizo.
Hela atakayo toka nayo sasaKama ni za dili asiende Ila kama ni halali aende atapewa utaratibu ni kawaida kuingia/kutoka na cash zaidi ya dollar elf10 kama zikiwa declared Kwa mamlaka zinazohusika na currency hapo airport.
Vizuri kuelewa mada. Haya kaa tulie ule madini. Mada nzito sana kwako hii kijana.unajua awali nilikuwa sijamwelewa huyu jamaa. kumbe ni pesa yote hiyo ipo in cash haipo bank? kwasababu kama ipo bank, kuna shida gani kusafirisha kwasababu bank ya huko ulaya kama ni chafu wangeshamshtukia. kumbe ana cash mkononi, hapo nakupa pole, utapata shida sana kusafirisha na itabidi ukubali kuliwa kidogo walau substantial amount ifike.
1,150,000,000 (bilioni moja na milioni mia na ushee). hiyo kama upo kwenye mabegi, ataliwa sana hadi zifike. bank hawezi kutumia, akitumia kwa watu binafsi labda matajiri waliopo kule nao shida wazungu wakiona cash nyingi tu wanaanzia hapohapo investigation, akiamua awe anakuja kwa ndege atakuja mara mbili tu, mara ya tatu watamshtukia manake zitakuwa zinaonekana na viwanja vya ndege kuna siku watamstukia. ni shida tupu.1 B na ushee hukooo...
Duh
Mkuu sio rahisi hiviKama unandugu unae muamini ni rahisi sana mtumie ndugu kupitia western union au money gram taratibu tatatibu au kupitia swift code bank to bank
huo ushauri FakeUshauri wangu tafuta ndugu zako Kama 20 hiv wape help wafungulie akaunti halafu kila mtu mtumie kiasi fulan Cha pesa mfano dola elfu 10 kila baada ya mwez halafu ukirud bongo utazitoa
Duuuh hii sasa hatarii.Paypal ndo kwa moto zaidi.
Ukishindwa toa maelekezo yaliyonyooka ya hiyo pesa wanaibeba mazima na hupati hata sumni.
Kwanini usifanye manunuzi ya bidhaa ambazo unajua ukifika huku lazima zitauzika au utatumia kirahisi na zikatengeneza faida zaidi ya hiyo pesa! Agiza hata vichwa vya howo na matrailer yake vijana waje wapambane navyo hukuHabari wana JF,
Jumapili yenye mushkeli, kumpoteza bwana wille aka lemutuz, ni pigo kwa watanzania wanaomfahamu na waliopenda vitimbwi vyake mitandaoni. R.I.P.
Turudi kwenye mada. Je! dola laki tano in cash(noti) Unaingizaje Tanzania naomba msaada kwa wajuvi wa kada hii. Kwani naamini wapo wanaoelewa mipango. Asanteni.
Duuuuh mbna hatarii hiii.*Ogopa kitu kinaitwa MONEY LAUNDERING,...
*HUKOO KWA WENYE NCHI ZAO KAMA UKIWA NA MZIGO MREFU AFU UNATAKA KUFANYA TRANSFER OF MONEY , HAKIKISHA UNA LEGAL DETAILED DOCUMENTS ASEEEEEEEE.
*VINGINEVYO KESHO YAKE UTAJIKUTA MAHABUSU , UKISUBIRIA KUPELEKWA MAHAKAMANI KESHO YALE YAKE TENA
Kama zipo ulaya na hela zote ni cash bado kutakua na mlio tu, labda zingekua amerika kusiniKwanini usifanye manunuzi ya bidhaa ambazo unajua ukifika huku lazima zitauzika au utatumia kirahisi na zikatengeneza faida zaidi ya hiyo pesa! Agiza hata vichwa vya howo na matrailer yake vijana waje wapambane navyo huku
Mbna atajikuta zote wanachukua hawa uliowatajaaaIkiingia tu kwanz la account itafungwa alafu jiandae kuwapokea hawa..
1. Maafisa wa BoT
2. TRA
Baada ya hao tarajia pia hawa..
3. Mkuu wa mkoa
4. DC
5. Katibu wa chama
Hii ndio kiboko yao.Nimewahi kuitumia hii kutoka kampala to Juba.wasomali kibokoHuko ulipo tafuta wasomali watakusaidia. Wataku introduce kwenye Hawala System na pesa yako itamfikia mtu hapa bongo salama bila kupitia benki yoyote ile. Ni simu moja tu
manunuzi ni ngumu, ulaya ukenda kufanya manunuzi ya cash pesa ndefu hivyo, watapiga simu polisi na itabidi ueleze umezipataje na umelipa kodi au vipi, kuna mengi utaulizwa na anaweza kupoteza zote. nashauri awe anatuma western union kwa ndugu anayemwamini huku bongo amwekee kwenye account yake ya kibongo account kadhaa (afungue account bank hata tano ili isionekana bank moja unaweka tu hapo watakushtukia), na zingine hizo milioni kumikumi awe anasafiri nazo akifika airport anadeclare basi. apige ruti zote hizo hadi hela iishe.Kwanini usifanye manunuzi ya bidhaa ambazo unajua ukifika huku lazima zitauzika au utatumia kirahisi na zikatengeneza faida zaidi ya hiyo pesa! Agiza hata vichwa vya howo na matrailer yake vijana waje wapambane navyo huku