To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😊😊All the best Kamanda, it's okay Wala hutakiwi kujali...achana nalo kabisaNakumiss sana Swahiba na sijasahau chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😊😊All the best Kamanda, it's okay Wala hutakiwi kujali...achana nalo kabisaNakumiss sana Swahiba na sijasahau chochote
Pm ni public message 😂Mulemule,pm yote hadharani
Nikuite nani,nambie laaziz wangu? Na ulivyo na vita na singlemom sijui haya majina nayokuita🤭Bro! Who is bro?
sasa kijora nikipendee nini 😂 nmependa uzuri wa sura.
Yeah indeedPm ni public message 😂
Ni kweli, ndiyo maana Wazee wengi wa zamani tulioa tukiwa angali Vijana wadogoNingeishi zama zenu ningeoa mapema sana.
Mtibeli anasema hakuna kilichobadilika kwa hawa wanawake wa sasa. Hawa kwa walio wengi wanapenda sana fedha na mali. Ni lazima uwe umejipata ili uweze kupata angalau atakae kuvumilia vinginevyo ni maumivu.
acha tubaki majukwaani tu.Yeah indeed
Naam naam.Mwombe Mungu.
Kuolewa sio shida
Shida ni kuishi maisha ya furaha ndani ya ndoa
Hapo kwenye laaziz ongezea ki 😂Nikuite nani,nambie laaziz wangu? Na ulivyo na vita na singlemom sijui haya majina nayokuita🤭
Ni kweli Mkuu, japo hao Wazee bado wapo Vijijini.Hii ilikuwa option nzuri lakini kwa siku hizi vijana wengi hawana hao wazee wa kuwachagulia Mke achilia mbali kupewa ushauri.
Ile ni eden, huku ni bustan gan?Hata humu ni bustanini 😂😂😂
Hongereni sana kwa hilo, kwa sasa hali ni tete.Ni kweli, ndiyo maana Wazee wengi wa zamani tulioa tukiwa angali Vijana wadogo
Ndiyo maana tuliweza kuwa na familia ya watoto 10 hadi 8
🙏🙏Busara za babu
The clever one.
Ni kweli Mkuu, japo hao Wazee bado wapo Vijijini.
Changamoto kubwa ni hao Vijana wetu wenyewe kuvutiwa na Wanawake wa mitandaoni ambao ukiangalia hata kupika kwenyewe hata ugali wa kula Baba Mkwe tu hajui
Nadhani mabadiriko ya Sayansi na Teknolojia vimechangia sana.Hongereni sana kwa hilo, kwa sasa hali ni tete.
Jamii GardenIle ni eden, huku ni bustan gan?
SureTatizo vijana wengi wameishi Katika mazingira ambayo hayana uongozi imara wa Baba. Hapo ndipo kiini cha matatizo.
Wale walioishi bila uwepo wa baba lakini wakajaliwa akili ni wachache
Sure
Haya mambo ya 50/50 yameanza kuwafanya Wanawake waone kawaida kuzaa na kulea watoto peke yao, hawaoni shida kuomba talaka Kila Siku wakiamini kupitia vipato vyao wanaweza kuwalea na kuwatunza watoto peke yao.
Mwisho wa Siku unapata watoto wa kiume wanaoogopa majukumu na wanaotamani kuolewa na kutunzwa kabisa ndani 😜🙌
Tatizo unaanza na mwanaume chini akishajipata tu anaenda kutafuta wa type yake,anasema wewe siyo hadhi yake