Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
๐๐๐
Huyu Mtibeli naye kakimbia kaniacha njia panda
Mkuu nimerudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐
Huyu Mtibeli naye kakimbia kaniacha njia panda
Nendeni vyuoni kusoma ila suala la Mke mtuachie Wazee wenu tuwatafutie wake bora.Una_sajest nini wewe kama babu yetu wa jf
๐ kwanini mshangaziMshangazi promax๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ndio maisha tunayoishi zama hizi kwa sasa, tuna aina ya wanawake ambao wanathamini una nini kwanza na sio upendo.๐
Mkuu mwanamke uliyempata ukiwa umejipata hakuvumilii isipokuwa mara nyingi ndio huleta dhana ya Wakataa ndoa kuwa ni utapeli.
Wake wa ndoa ya mkeka (wa kuoa kwa lazima) huwa wanadumu na hawana chenga kabisa.Wife nilimpata nikiwa Form five baada ya kumgonga mimba, wazazi wake wakaniambia nikubali mimba au wayapeleke mbele. Nikakubali nipo naye mpaka Leo dogo anaingia form six next month na ana wadogozake wawili. Toka nipo naye hajawai kuniletea chenga Wala pumba. sijui kama nilichoandika kinaendana na mada.
Busara za babuNendeni vyuoni kusoma ila suala la Mke mtuachie Wazee wenu tuwatafutie wake bora.
Huku Vijijini wapo wengi wazuri tunawafahamu kuanzia historia ya Wazazi wao pamoja na tabia njema.
Huwezi kutafuta Mke huko vyuoni kwenu, mabinti ambao wanavuta Shisha/walevi/ wasio na heshima na ambao hadi wanafika miaka 25 wanajua size zote na nanii kuanzia mandongo hadi kibamia ๐
Sasa kama huyo ni mwanangu,wewe unataka uniite msichana? We mkuu wewe๐คจ๐ kwanini mshangazi
๐ ๐ ๐
Robert Heriel Mtibeli Mimi nipo below 40 Alafu kuna Lishangazi lipo between 40-45 limenielewa sana nafanyaje? Japo lina watoto watatu
Manyanza kula chuma hichoIko hivyo.
Kutoka na mishangazi ni fedheha na kujiharibia CV
๐ ๐ ๐Huyo kwenye dp n wewe da mzuri?
Mulemule,pm yote hadharaniWeka hapa mkuu kwani wanakujua? Alafu huko pm hakuna tofauti na hapa usiniulize ni kwanini.
Mwanao kweli au unanivuruga tu nipate mhaho wa moyo nife watu wale ubweche ๐Sasa kama huyo ni mwanangu,wewe unataka uniite msichana? We mkuu wewe๐คจ
hahahaBora mm naolewa si muda ๐ฅฐ๐
Kwani kuuliza ni kuzuzuka mkuu?๐ ๐ ๐
Sometimes your eyes can be your enemy, umezuzuka ni DP tena? ๐ ๐ ๐
Kumradhi ni avatar ๐๐ ๐ ๐
Sometimes your eyes can be your enemy, umezuzuka ni DP tena? ๐ ๐ ๐
Lini hiyo?Bora mm naolewa si muda ๐ฅฐ๐
๐คญ Em tulia kwanza ...nikunywe chaiMwanao kweli au unanivuruga tu nipate mhaho wa moyo nife watu wale ubweche ๐
Bora uhoji wewe, ila hiyo avatar nzuri usibadili, macho yangu yanapenda sana black chocolate kala.Kwani kuuliza ni kuzuzuka mkuu?