Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Don't get me wrong my dear, huyu half American amekuwa na mambo mengi kwa wakati mmojaKwani kuuliza ni kuzuzuka mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Don't get me wrong my dear, huyu half American amekuwa na mambo mengi kwa wakati mmojaKwani kuuliza ni kuzuzuka mkuu?
Ukubali au ukatae mambo yamebadilika, zama zimebadilika na maisha yamebadilika. Mfano mdogo tu miaka 50 iliyopita hatukuwa na maendeleo ya teknolojia kwa kiasi hichi, huwezi ukasema hakuna mabadiliko ya kitabia.
Kumpata mwenza sio swala jepesi na halijawahi kuwa jepesi ila kwa zama za sasa ni ngumu zaidi ukilinganisha na zama za kina mzee Grahams za mwaka 47. Mzee shikamoo.
Si ushajua umeshika kisu kwenye mpini mimi kwenye makali, sawa kunywa mama 😅🤭 Em tulia kwanza ...nikunywe chai
🤣🤣🤣🤣Sawa usijali...kwa ajili yako.Bora uhoji wewe, ila hiyo avatar nzuri usibadili, macho yangu yanapenda sana black chocolate kala.
🤣🤣🤣🤣 Hakika niliimiss jf😘Si ushajua umeshika kisu kwenye mpini mimi kwenye makali, sawa kunywa mama 😅
Bora mm naolewa si muda 🥰😂
😂😂😂Bora uhoji wewe, ila hiyo avatar nzuri usibadili, macho yangu yanapenda sana black chocolate kala.
Bro! Who is bro?🤣🤣🤣🤣Sawa usijali...kwa ajili yako.
Kwahiyo kijola hujakipenda bro?
Huwa anapigia nyeto avatar,em mwache kijana wa watu😜Don't get me wrong my dear, huyu half American amekuwa na mambo mengi kwa wakati mmoja
Watu ni wale wale ila tabia hubadilika kutokana na zama na vitu vyake.Watu hawabadiliki Mkuu.
Kinachobadilika ni vitu vinavyotengenezwa na hao Watu.
Nimeishi kwenye ukoo wenye wazee wengi. Mdogo kabisa anamiaka 82 ambaye ni bibiangu mzaa Mama.
Kwa kukaa nao nimejiridhisha pasi na shaka kuwa Binadamu ni yuleyule.
Nendeni vyuoni kusoma ila suala la Mke mtuachie Wazee wenu tuwatafutie wake bora.
Huku Vijijini wapo wengi wazuri tunawafahamu kuanzia historia ya Wazazi wao pamoja na tabia njema.
Huwezi kutafuta Mke huko vyuoni kwenu, mabinti ambao wanavuta Shisha/walevi/ wasio na heshima na ambao hadi wanafika miaka 25 wanajua size zote na nanii kuanzia mandongo hadi kibamia 🙌
Mkorofi wewe🤭😂😂😂
Hata Hawa kule bustani ya Eden alipoliangalia lile tunda kwa Macho yake akalitamani. Macho macho 😂😂😂
Nyetogo nilishaacha mda sana ila hiyo ntaiprint niweke kwa ukuta.Huwa anapigia nyeto avatar,em mwache kijana wa watu😜
Sasa huko si ni bustanini?😂😂😂
Hata Hawa kule bustani ya Eden alipoliangalia lile tunda kwa Macho yake akalitamani. Macho macho 😂😂😂
Otherwise ataishi na ww lkn unachapiwa mchana kweupelabda wanawake wa zamani lakin kama hawa wa sikuizi uoe na huna kitu chamoto utakiona. Dharau, dharau, dharau. Vijana tafuteni maokoto ndio muoe no money no marriage bila hivo utapata tabu sana.
Nakumiss sana Swahiba na sijasahau chochoteMkorofi wewe🤭
Hata humu ni bustanini 😂😂😂Sasa huko si ni bustanini?
Ulipotelea wapi, karibu tena jf🤣🤣🤣🤣 Hakika niliimiss jf😘
😘😘Masomoni,nishamaliza kipaper nimerudi tenaUlipotelea wapi, karibu tena jf
Watu ni wale wale ila tabia hubadilika kutokana na zama na vitu vyake.