Ukíwa unajitafuta ndio wakati sahihi wa kutafuta mke. Namaanisha mke wa ujana wako (miaka 21 - 30)

Ukíwa unajitafuta ndio wakati sahihi wa kutafuta mke. Namaanisha mke wa ujana wako (miaka 21 - 30)

Ukubali au ukatae mambo yamebadilika, zama zimebadilika na maisha yamebadilika. Mfano mdogo tu miaka 50 iliyopita hatukuwa na maendeleo ya teknolojia kwa kiasi hichi, huwezi ukasema hakuna mabadiliko ya kitabia.

Kumpata mwenza sio swala jepesi na halijawahi kuwa jepesi ila kwa zama za sasa ni ngumu zaidi ukilinganisha na zama za kina mzee Grahams za mwaka 47. Mzee shikamoo.

Watu hawabadiliki Mkuu.
Kinachobadilika ni vitu vinavyotengenezwa na hao Watu.

Nimeishi kwenye ukoo wenye wazee wengi. Mdogo kabisa anamiaka 82 ambaye ni bibiangu mzaa Mama.
Kwa kukaa nao nimejiridhisha pasi na shaka kuwa Binadamu ni yuleyule.
 
Watu hawabadiliki Mkuu.
Kinachobadilika ni vitu vinavyotengenezwa na hao Watu.

Nimeishi kwenye ukoo wenye wazee wengi. Mdogo kabisa anamiaka 82 ambaye ni bibiangu mzaa Mama.
Kwa kukaa nao nimejiridhisha pasi na shaka kuwa Binadamu ni yuleyule.
Watu ni wale wale ila tabia hubadilika kutokana na zama na vitu vyake.
 
Nendeni vyuoni kusoma ila suala la Mke mtuachie Wazee wenu tuwatafutie wake bora.

Huku Vijijini wapo wengi wazuri tunawafahamu kuanzia historia ya Wazazi wao pamoja na tabia njema.

Huwezi kutafuta Mke huko vyuoni kwenu, mabinti ambao wanavuta Shisha/walevi/ wasio na heshima na ambao hadi wanafika miaka 25 wanajua size zote na nanii kuanzia mandongo hadi kibamia 🙌

Hii ilikuwa option nzuri lakini kwa siku hizi vijana wengi hawana hao wazee wa kuwachagulia Mke achilia mbali kupewa ushauri.
 
labda wanawake wa zamani lakin kama hawa wa sikuizi uoe na huna kitu chamoto utakiona. Dharau, dharau, dharau. Vijana tafuteni maokoto ndio muoe no money no marriage bila hivo utapata tabu sana.
Otherwise ataishi na ww lkn unachapiwa mchana kweupe
 
Watu ni wale wale ila tabia hubadilika kutokana na zama na vitu vyake.

Tabia gani ambazo zinabadilika au ni tabia gani mpya ambayo siku hizi ipo ila zamani haikuwepo.

Zipo tabia za kíjadi, hizo zipo kijijini na zipo kwa jamii yenye asili moja au kabila moja.

Zipo tabia za mjini. Hizi ni tabia mchanganyiko. Kutokana na muingiliano wa Watu.

Sasa hapo nafikiri ndipo unapochanganya.
 
Back
Top Bottom