Ukíwa unajitafuta ndio wakati sahihi wa kutafuta mke. Namaanisha mke wa ujana wako (miaka 21 - 30)

labda wanawake wa zamani lakin kama hawa wa sikuizi uoe na huna kitu chamoto utakiona. Dharau, dharau, dharau. Vijana tafuteni maokoto ndio muoe no money no marriage bila hivo utapata tabu sana.
Mi nashangaa mbona watu tumewapenda na kuwavumilia wafio na kitu lkn hakuna tulichopata zaidi ya dharau na kuachwa?

Haya mambo hayana formula jmn
 
Shida wengi wanaopata wenza wakiwa kwenye kujitafuta, mkanda umechoka kiatu kimeisha soli, mwanamke yupo na wewe tu, siku ukipata ukavaa kiatu mchongoko unaona hakufai tena, sio hadhi yako.....

Formula yake ni ngumu. Kila mtu apambanie mstari wake.

Sasa kama alikataliwa na wazuri wewe ndio ukamhurumia kwa ujinga wa akili yake unategemea nini?

Pili, wapo wanawake ambao ni kweli mmeishi tangu wakati wa shida lakini baada ya kufanikiwa yeye anatumia kigezo hicho kutaka kukuendesha kwamba bila yeye asingefika huko. Jambo ambalo pia sio sahihi.
Hata mimi Mwanamke wa hivyo ninamuacha mapema tuu.
 
Shida wengi wanaopata wenza wakiwa kwenye kujitafuta, mkanda umechoka kiatu kimeisha soli, mwanamke yupo na wewe tu, siku ukipata ukavaa kiatu mchongoko unaona hakufai tena, sio hadhi yako.....

Formula yake ni ngumu. Kila mtu apambanie mstari wake.
Huwa niko hivyo, haya mambo hayana kanuni maalumu.
 
Naona umepindua meza mtibeli
 
Hakika umenena vyema Sana mkuu, nakazia ujumbe wako
 
Very sad indeed 😥
 
Shida wengi wanaopata wenza wakiwa kwenye kujitafuta, mkanda umechoka kiatu kimeisha soli, mwanamke yupo na wewe tu, siku ukipata ukavaa kiatu mchongoko unaona hakufai tena, sio hadhi yako.....

Formula yake ni ngumu. Kila mtu apambanie mstari wake.
Kama mapenzi yamekwisha kubali tu halikua fungu lako songa mbele lakini ukishajiwekea mawazo kwamba ni sharti ukute kila kitu kipo mezani we ufike na kuanza kula tu hapa hakuna tofauti na kufanya biashara ya ukahaba.
 
Kama mapenzi yamekwisha kubali tu halikua fungu lako songa mbele lakini ukishajiwekea mawazo kwamba ni sharti ukute kila kitu kipo mezani we ufike na kuanza kula tu hapa hakuna tofauti na kufanya biashara ya ukahaba.
Sijakuelewa hata hebu andika tena
 
Sijakuelewa hata hebu andika tena
Kukubali kuwa na mtu nyakati ambazo hayupo vizuri kifedha sio guarantee ya kusema hamtokuja kuachana uko mbeleni ivyo ukiamua kubaki nae kwa hali yake iyo iyo basi uongozwe na upendo wako kwake sio matarajio ya kufikiri akitoboa uko mbeleni ni sharti unufaike pesa zake.
Ukiamua ku-skip iyo risk ya kuvumiliana nyakati za shida kwa wasiwasi kwamba uko mbeleni jamaa akizipata atakuacha kwa kisingizio sio hadhi yake maana yake utatafuta mwanaume ambae yupo stable financially.
Sio vibaya kuwa na mwanaume ambae tayari ashajipata lakini uongozwe na upendo wako kwake kama unaongozwa na akili ya kuepukana na risk ya kuachwa baada ya mwanaume uliekula nae msoto kutoboa maana yake huyu ambae ashajipata umemfatia maokoto hapo sasa ndio unakua kama unamdangia tu indirectly.
 
Sahihi Mkuu, japo binafsi sio muumini kabisa wa huo mfumo wa 50*50
 
Wakati sahihi ni pale mnapokutana wote mnapendana. Hii sijui ukiwa unajitafuta huwa ni famba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…