Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
ni mmoja wa waty wanaonifurahisha sana qkiwa tungiBichwa akiachana na content za mambo y mimave mave π ni mtu Moja ana Akili kubwa sana
Umeamua kumtukana mama ako mzazi Kuna hizi kauli "my mama raise me"" my mom praying for me"" Nina baraka za mama""Nimekuja kugundua kuna familia zina negative energy
Nimefatilia hili jambo nikimwambia mzee wangu jambo lolote lazima litiki.
Ila nikimwamwabia my mom kila kitu kinakwama kwa 100%
My mama anatoka familia masikini yenye kuamini uchawi na fitina
Nimekuwa nikimfundisha my mama kuwa we need to trust in GOD uchawi ,negativity its just illusion.
Wakuu ukitaka kuoa make sure unatafuta mwanamke kutoka katika familia bora. Ambazo zipo educated and civilized.
UKO SAWA SAWA.Ukitaka kufanikiwa funga kabisa mdomo wala usimwambie mtu yeyote jambo lako.
Tena kama hawa wanaojiita WAZAZI kuna baadhi yao ni wabaya sana na wana sumu kali.
Au uwe unaongea nao kinyume nyume..... waambie mambo yako ni magumu sana, huna kazi, hujafanikiwa kila kitu kimevurugika........ HIZI NI MBINU ZA KIVITA
Wengine wachawi au wanatembea na mashetani ambayo yanaweza kukuvuruga mbaya sana.
Au kile KINYONGO na KIJICHO alichonacho dhidi yako kinaweza kukutia NUKSI KALI.
Kwahiyo daddy yuko wapi......π
Soma uelewe kuna sehemu nimemuita mchawi .My mama wako angekuwa mchawi leo hii usingekuwa hapa unaandika huu uzi.
Umeamua kumtukana mama ako mzazi Kuna hizi kauli "my mama raise me"" my mom praying for me"" Nina baraka za mama""
Mambo ni mengi muda ni mchache Ila mama ndie mtu Alie kuzaa kwa uchungu alijinyima Sanaa kukutunza na kukukirimu ulipo kua kichanga leo unasema ana gundu
Furaha yangu ni kufanikiwa na nikazungukwa na my family iz around here & there..
#YOLO
Kama sana!Unazingua
Sisi tunaishi kwa ushirikiano tangu tukiwa watoto mpaka tumekuwa.
Mama anakuambia umchukie baba yako , anakuambia baba yako mbaya sasa huyo anakuwa anakufundisha nini.
Mimi nampenda mama yangu that is way nimemkatia bima ya kutibiwa hadi ulaya .
Namtunza and I give her w everything Ila nachochukia ni yeye kumchukia baba yetu na kufundisha chuki.
Ila bichwa komweUkitaka kufanikiwa funga kabisa mdomo wala usimwambie mtu yeyote jambo lako.
Tena kama hawa wanaojiita WAZAZI kuna baadhi yao ni wabaya sana na wana sumu kali.
Au uwe unaongea nao kinyume nyume..... waambie mambo yako ni magumu sana, huna kazi, hujafanikiwa kila kitu kimevurugika........ HIZI NI MBINU ZA KIVITA
Wengine wachawi au wanatembea na mashetani ambayo yanaweza kukuvuruga mbaya sana.
Au kile KINYONGO na KIJICHO alichonacho dhidi yako kinaweza kukutia NUKSI KALI.
Kwanini wanakaa separate?Yupo nyumbani
Ila ndani ya fensi kuna two houses moja anakaa my mom and her grand daughter and grand son
Na nyingine anakaa our father with his stepson .
Father umri ni 68 yrs mom 56
Mzee anaga kelele tangu akiwa kijana mpaka anazeeka yupo hivyo mpole Sana kiukweli .
Sasa kinachotekea huyo mama anaanzisha vita kila siku .
Mimi nina kiherehere cha kushare mipango yangu na ndugu, itabidi nifunge niweze kufunga bakuri ila mimi si kwamba haifanikiwi ni kwamba nikisha share nao, wanaanza pigia hesabu ela nitakayopata na wao wanaanza kujiandaa na mipango yao.Nimekuja kugundua kuna familia zina negative energy
Nimefatilia hili jambo nikimwambia mzee wangu jambo lolote lazima litiki.
Ila nikimwamwabia my mom kila kitu kinakwama kwa 100%
My mama anatoka familia masikini yenye kuamini uchawi na fitina
Nimekuwa nikimfundisha my mama kuwa we need to trust in GOD uchawi ,negativity its just illusion.
Wakuu ukitaka kuoa make sure unatafuta mwanamke kutoka katika familia bora. Ambazo zipo educated and civilized.
hakika mama ni mama ila ikifika pahala mama anakuwa kikwazo cha maendeleo yangu tena Kwa makusudi kabisa,, am not sure kama ntakuwa comfortable naye inakuwa ni mama tu lakini deep down ni adui yanguhapana mm nakataa mama ni mama π
Anasahau kuwa isingekuwa baba yenu hata huo msaada asingepataMy father is hustler tangu zamani amekuwa akijituma katika Kazi ametusomesha na kufupa good life
Leo mama yako anataka kukuambia you need to hate him π€
Sasa ukimkatilia ananuna
Maisha niliyo nayo sasa, ni majuto tupu. Sio kila kitu mzazi ashirikishwe.Nimekuja kugundua kuna familia zina negative energy
Nimefatilia hili jambo nikimwambia mzee wangu jambo lolote lazima litiki.
Ila nikimwamwabia my mom kila kitu kinakwama kwa 100%
My mama anatoka familia masikini yenye kuamini uchawi na fitina
Nimekuwa nikimfundisha my mama kuwa we need to trust in GOD uchawi ,negativity its just illusion.
Wakuu ukitaka kuoa make sure unatafuta mwanamke kutoka katika familia bora. Ambazo zipo educated and civilized.
Mkiambiwa mama zenyu ni wachawi mnafura vichwa! Ati ooh, mama ni mama... nani kama mama.....Ila bichwa komwe
Mi siamini kwenye hili.Sio baadhi ya wazazi tu ila watu wengi sana haupaswi kiwaambia mpango wako wowote maana watakunja moyo na kita bounce kitenesi.
Mashangazi wengi Huwa ni wachawiIla mkiambiwa kuna wazazi wanawaloga mnakataa.
Hivi mnawajua mashangazi?
Analalamikia kitu gani?Yaani yeye kila siku analalamika she is hating people
Na mbaya zaidi yupo ccm that is hell
While my daddy is very humble generous and visionary