Ukiwaelewa na kuwajua wanawake huwezi kuoa

Ukiwaelewa na kuwajua wanawake huwezi kuoa

Wanaona ndio kipaumbele Chao mkuu....alafu kwann jamii inaamini usipokuwa na mke una matatzo na wengine ufika mbali nakuita wasioa mashogaa😔
Kuoa ni sawa na kutupia mkeka kubeti mkuu, asilimia za mkeka kupasuka ni kubwa mno , binafsi nitaoa badae mno umri ukishanitupa mkono kabisa yaani nikishaona sina cha kupoteza😁😁😁
 
Kitakwimu zaidi 😁

IMG-20240702-WA0008.jpg
 
Ulitumia mbinu gani kumpata mke mzuri Kama Mama Mtibeli ?

Nimependa chemistry mlionayo since waybck hadi Leo .

Mungu tuu.

Picha lilianza wala sikuwa na mpango wala kujua kama ningefika naye hata mwezi. Ilikuwa ni eat and run
Lakini alikuwa na sifa nyeti ambayo kwenye Wanawake mia wa siku hizi mmoja ndio anayo


Sifa hiyo ndio ilinifanya nianze kumfikiria
 
Mungu tuu.

Picha lilianza wala sikuwa na mpango wala kujua kama ningefika naye hata mwezi. Ilikuwa ni eat and run
Lakini alikuwa na sifa nyeti ambayo kwenye Wanawake mia wa siku hizi mmoja ndio anayo


Sifa hiyo ndio ilinifanya nianze kumfikiria
Ok Hongera Sana , Mungu ni mwema Sana she is seem to be smartest &brilliant Enough.
 
Tatizo Lenu Vijana mnajifunza kwa watu waliofeli. Badala ya Kujifunza kwa watu waliofanikiwa.

Vijana wengi Mnajifanya Mnajua kumbe Hamjui. Ili Ujue nilazima Uwe mjinga ili Ujue.

Ndio Maana mnaoa Na ndoa hazidumu hata mwaka 1


Sisi tupo kwenye ndoa zaidi ya miaka 30 tunadunda Mjini Na Maisha yanaendelea mpaka tuna wajukuu.
 
Back
Top Bottom