Ukiwaelewa na kuwajua wanawake huwezi kuoa

Ukiwaelewa na kuwajua wanawake huwezi kuoa

Ukipata Mwanamke mwenye sifa hizi chukua
1. Msafi
Tabia kwanza kisha mwili.

2. Mvuto na Mzuri

3. Mtiifu anayejiamini na kufanya chochote utakachomuamuru
Narudia chochote bila kujali ni kizuri au kibaya.

4. Anayekupa pesa😊
Sijasema tajiri nazungumzia ambaye sio mbinafsi.
Mwanamke kama hajawahi wala hafikirii kukupa pesa na unatafuta mchumba huyo achana naye.

5. Anayekufanya wewe ni Role model wake.

6. Mwenye kiu ya mafanikio. Anayetaka na kupenda mafanikio yako.
Chochote unachofanya anakusaidia hasa kukupa kampani na kukupa moyo

7. Ambaye yupo tayari kukana hata ndugu zake kwaajili yako.
Huyo ni mkeo acha ujinga chukua jiko hiko. Kinyume na hapo weka mbali na watoto

8. Ambaye anashukuru kwa kila kizuri unachomfanyia kiwe kidogo au kikubwa.

9. Anayependa na kuheshimu wazazi wako.

10. Ambaye hata ukikorofishana na wazazi au ndugu zako anakutuliza na kukushauri vizuri kwa hekima sio kuchochea mgogoro

10. Ambaye mnaweza kuishi kama watoto na washkaji.

11. Ambaye atakuambia mno yote ya siri kuhusu yeye au jambo lolote

12. Ambaye hata kama umekosea yeye ndiye ananyenyekea.

13. Ambaye atakuonea wivu na hataki wanawake wengine wakuletee mazoea ya kipuuzi. Huyo ni mkeo.

14. Ambaye anaweza kuziba zile gap nyeti ambazo unakuwa unazisahau. Yaani anayekukamilisha.

Yaani mwanaume uwe 80% alafu hiyo 20% anastaajabu ameiweka.

Katika Ujasusi wanapotumwa Majasusi wawili wakike na wakiume katika mission fulani lengo kuu ni hilo.
Wakati jasusi wa kiume amemwambia jasusi wa kike abaki nyumbani kwa sababu ya hatari ya kumpoteza kutokana na adui kuwa hatari.

Jasusi wa kike hukubali kukaa nyumbani na kumwacha Jasusi wa kiume aende kwenye mission.
Wakati huo jasusi wa kiume anaamini kuwa anauwezo mkubwa(ni kweli lakini sio 100%)

Anafika kwa maadui anapambana na anawamaliza wote kasoro adui kuu.
Wakati anapambana na adui kuu wakiwa wamepigana vyakutosha na huenda amemzidi adui kuu lakini kwa bahati mbaya adui kuu baada ya kujua amezidiwa kwa hila anairukia bastola na kunyooshewa jasusi wa kiume, maskini jasusi wa kiume ni kweli anauwezo, ni kweli alimdhibiti adui kuu lakini kafanya kosa dogo lililompa upenyo adui kuu kuirukia bastola. Sasa jasusi wa kiume hana ujanja wowote anasubiri tuu kilimi cha bastola kiachiwe apasuliwe ubongo.

Lakini kabla adui hajaachia risasi ghafla mlio mwingine wa risasi unasikika adui anaanguka akiwa amepigwa risasi.
Jasusi wa kiume anashikwa mshangao anatazama huku na huku anamuona jasusi wa kike akiwa amebeba bastola. Ndie aliyemuua adui kuu.

Mkeo au Mwanamke kwenye maisha yako ndio anatakiwa kuwa hivyo.
Kuhakiki na ku- clear errors ndogo ndogo unazofanya unapokabiliana na maadui.

Ndio hivyo Mkuu
Mkuu huyu ni mwanamke mmoja au kundi kubwa la wanawake?
 
Inasikitisha sana...Chanzo cha mabaya ni pesa na wasichana chunga sana alishasema Salu T.

Ni kweli.

Kwa Mwanamke ubaya wake huja kwa njia mbili kama alikuwa hakupendi

1. Ukianza kuishiwa au kufilisika
2. Akianza kupata nguvu ya kiuchumi.
3. Akipata umashuhuri

Ni hayo tuu
 
Ukipata Mwanamke mwenye sifa hizi chukua
1. Msafi
Tabia kwanza kisha mwili.

2. Mvuto na Mzuri

3. Mtiifu anayejiamini na kufanya chochote utakachomuamuru
Narudia chochote bila kujali ni kizuri au kibaya.

4. Anayekupa pesa[emoji4]
Sijasema tajiri nazungumzia ambaye sio mbinafsi.
Mwanamke kama hajawahi wala hafikirii kukupa pesa na unatafuta mchumba huyo achana naye.

5. Anayekufanya wewe ni Role model wake.

6. Mwenye kiu ya mafanikio. Anayetaka na kupenda mafanikio yako.
Chochote unachofanya anakusaidia hasa kukupa kampani na kukupa moyo

7. Ambaye yupo tayari kukana hata ndugu zake kwaajili yako.
Huyo ni mkeo acha ujinga chukua jiko hiko. Kinyume na hapo weka mbali na watoto

8. Ambaye anashukuru kwa kila kizuri unachomfanyia kiwe kidogo au kikubwa.

9. Anayependa na kuheshimu wazazi wako.

10. Ambaye hata ukikorofishana na wazazi au ndugu zako anakutuliza na kukushauri vizuri kwa hekima sio kuchochea mgogoro

10. Ambaye mnaweza kuishi kama watoto na washkaji.

11. Ambaye atakuambia mno yote ya siri kuhusu yeye au jambo lolote

12. Ambaye hata kama umekosea yeye ndiye ananyenyekea.

13. Ambaye atakuonea wivu na hataki wanawake wengine wakuletee mazoea ya kipuuzi. Huyo ni mkeo.

14. Ambaye anaweza kuziba zile gap nyeti ambazo unakuwa unazisahau. Yaani anayekukamilisha.

Yaani mwanaume uwe 80% alafu hiyo 20% anastaajabu ameiweka.

Katika Ujasusi wanapotumwa Majasusi wawili wakike na wakiume katika mission fulani lengo kuu ni hilo.
Wakati jasusi wa kiume amemwambia jasusi wa kike abaki nyumbani kwa sababu ya hatari ya kumpoteza kutokana na adui kuwa hatari.

Jasusi wa kike hukubali kukaa nyumbani na kumwacha Jasusi wa kiume aende kwenye mission.
Wakati huo jasusi wa kiume anaamini kuwa anauwezo mkubwa(ni kweli lakini sio 100%)

Anafika kwa maadui anapambana na anawamaliza wote kasoro adui kuu.
Wakati anapambana na adui kuu wakiwa wamepigana vyakutosha na huenda amemzidi adui kuu lakini kwa bahati mbaya adui kuu baada ya kujua amezidiwa kwa hila anairukia bastola na kunyooshewa jasusi wa kiume, maskini jasusi wa kiume ni kweli anauwezo, ni kweli alimdhibiti adui kuu lakini kafanya kosa dogo lililompa upenyo adui kuu kuirukia bastola. Sasa jasusi wa kiume hana ujanja wowote anasubiri tuu kilimi cha bastola kiachiwe apasuliwe ubongo.

Lakini kabla adui hajaachia risasi ghafla mlio mwingine wa risasi unasikika adui anaanguka akiwa amepigwa risasi.
Jasusi wa kiume anashikwa mshangao anatazama huku na huku anamuona jasusi wa kike akiwa amebeba bastola. Ndie aliyemuua adui kuu.

Mkeo au Mwanamke kwenye maisha yako ndio anatakiwa kuwa hivyo.
Kuhakiki na ku- clear errors ndogo ndogo unazofanya unapokabiliana na maadui.

Ndio hivyo Mkuu

No 4… hapo umefika mbali wanawake hatunaga hela [emoji18][emoji18]
 
Kaka tulia na Mke wako japokuwa anapenda sana kumskiliza mchungaji.

Naona Ile kesi ya mkeo na mchungaji iliisha Salama.
Ahahahah.
Hapana chief. Labda utakua umeni changanya.
Kuna kesi moja tu niliowah izungumzia kuhusu mchungaji nayo ilikua inamuhusu aunt yetu.

Yan mke nioe mimi halaf akamsikilize mchungaji?? Mbona nitamhamishia huko huko wakaishie sio kusilizana tu bali hata miti wapigane
 
Ahahahah.
Hapana chief. Labda utakua umeni changanya.
Kuna kesi moja tu niliowah izungumzia kuhusu mchungaji nayo ilikua inamuhusu aunt yetu.

Yan mke nioe mimi halaf akamsikilize mchungaji?? Mbona nitamhamishia huko huko wakaishie sio kusilizana tu bali hata miti wapigane
Wachungaji wanapenda kuchunga mifugo sio yao.
 
Wanawake tulipewa ili tuwatindue tu wewe unayeogopa hufai yaani kavae kibin tu
 
Mfalme sulemani alisema kadri unavyokua na maarifa ndio unakua na huzuni. Ukiyajua ya viongozi wa dini utaacha kwenda kusali
Unasema ukweli kabisaa. Kuna siku nilikutana na padre anasema ana stress kinoma. Kwa sababu ya elimu yangunkuwa ndogo nikashangaa, ina maana hajasoma maandiko "
Mathayo 11:28
[28]Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha."..
Kwa huyo Sisi huwa anatusimulia story za bulicheka???
 
Ukipata Mwanamke mwenye sifa hizi chukua
1. Msafi
Tabia kwanza kisha mwili.

2. Mvuto na Mzuri

3. Mtiifu anayejiamini na kufanya chochote utakachomuamuru
Narudia chochote bila kujali ni kizuri au kibaya.

4. Anayekupa pesa😊
Sijasema tajiri nazungumzia ambaye sio mbinafsi.
Mwanamke kama hajawahi wala hafikirii kukupa pesa na unatafuta mchumba huyo achana naye.

5. Anayekufanya wewe ni Role model wake.

6. Mwenye kiu ya mafanikio. Anayetaka na kupenda mafanikio yako.
Chochote unachofanya anakusaidia hasa kukupa kampani na kukupa moyo

7. Ambaye yupo tayari kukana hata ndugu zake kwaajili yako.
Huyo ni mkeo acha ujinga chukua jiko hiko. Kinyume na hapo weka mbali na watoto

8. Ambaye anashukuru kwa kila kizuri unachomfanyia kiwe kidogo au kikubwa.

9. Anayependa na kuheshimu wazazi wako.

10. Ambaye hata ukikorofishana na wazazi au ndugu zako anakutuliza na kukushauri vizuri kwa hekima sio kuchochea mgogoro

10. Ambaye mnaweza kuishi kama watoto na washkaji.

11. Ambaye atakuambia mno yote ya siri kuhusu yeye au jambo lolote

12. Ambaye hata kama umekosea yeye ndiye ananyenyekea.

13. Ambaye atakuonea wivu na hataki wanawake wengine wakuletee mazoea ya kipuuzi. Huyo ni mkeo.

14. Ambaye anaweza kuziba zile gap nyeti ambazo unakuwa unazisahau. Yaani anayekukamilisha.

Yaani mwanaume uwe 80% alafu hiyo 20% anastaajabu ameiweka.

Katika Ujasusi wanapotumwa Majasusi wawili wakike na wakiume katika mission fulani lengo kuu ni hilo.
Wakati jasusi wa kiume amemwambia jasusi wa kike abaki nyumbani kwa sababu ya hatari ya kumpoteza kutokana na adui kuwa hatari.

Jasusi wa kike hukubali kukaa nyumbani na kumwacha Jasusi wa kiume aende kwenye mission.
Wakati huo jasusi wa kiume anaamini kuwa anauwezo mkubwa(ni kweli lakini sio 100%)

Anafika kwa maadui anapambana na anawamaliza wote kasoro adui kuu.
Wakati anapambana na adui kuu wakiwa wamepigana vyakutosha na huenda amemzidi adui kuu lakini kwa bahati mbaya adui kuu baada ya kujua amezidiwa kwa hila anairukia bastola na kunyooshewa jasusi wa kiume, maskini jasusi wa kiume ni kweli anauwezo, ni kweli alimdhibiti adui kuu lakini kafanya kosa dogo lililompa upenyo adui kuu kuirukia bastola. Sasa jasusi wa kiume hana ujanja wowote anasubiri tuu kilimi cha bastola kiachiwe apasuliwe ubongo.

Lakini kabla adui hajaachia risasi ghafla mlio mwingine wa risasi unasikika adui anaanguka akiwa amepigwa risasi.
Jasusi wa kiume anashikwa mshangao anatazama huku na huku anamuona jasusi wa kike akiwa amebeba bastola. Ndie aliyemuua adui kuu.

Mkeo au Mwanamke kwenye maisha yako ndio anatakiwa kuwa hivyo.
Kuhakiki na ku- clear errors ndogo ndogo unazofanya unapokabiliana na maadui.

Ndio hivyo Mkuu
Enheeeeee! Vyote hivyo, we unatutafutia tusiolewe sasa!

Na mwanaume aweje mkuu? Au kikubwa awe anapumua tu?

😂
 
Enheeeeee! Vyote hivyo, we unatutafutia tusiolewe sasa!

Na mwanaume aweje mkuu? Au kikubwa awe anapumua tu?

😂

Hivyo ni vitu vidogo sana kwa Mwanamke kuwa navyo

Mwanaume awe Mtibeli tuu
Ndoa na maisha yako yote yatakuwa na Furaha
Yaani duniani kama mbinguni
 
Back
Top Bottom