Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
Hawa viumbe wamekengeuka sana saivi
Kabla ya ndoa na baada ya ndoa ni watu wawili tofauti.
Kuna mbinu za kivita kutatua hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa viumbe wamekengeuka sana saivi
Kabla ya ndoa na baada ya ndoa ni watu wawili tofauti.
Geita😂
Hicho ni kighairi (an exception).Nafikiri geita ipo apo kimakosa mkuu😁
Mkuu huyu ni mwanamke mmoja au kundi kubwa la wanawake?Ukipata Mwanamke mwenye sifa hizi chukua
1. Msafi
Tabia kwanza kisha mwili.
2. Mvuto na Mzuri
3. Mtiifu anayejiamini na kufanya chochote utakachomuamuru
Narudia chochote bila kujali ni kizuri au kibaya.
4. Anayekupa pesa😊
Sijasema tajiri nazungumzia ambaye sio mbinafsi.
Mwanamke kama hajawahi wala hafikirii kukupa pesa na unatafuta mchumba huyo achana naye.
5. Anayekufanya wewe ni Role model wake.
6. Mwenye kiu ya mafanikio. Anayetaka na kupenda mafanikio yako.
Chochote unachofanya anakusaidia hasa kukupa kampani na kukupa moyo
7. Ambaye yupo tayari kukana hata ndugu zake kwaajili yako.
Huyo ni mkeo acha ujinga chukua jiko hiko. Kinyume na hapo weka mbali na watoto
8. Ambaye anashukuru kwa kila kizuri unachomfanyia kiwe kidogo au kikubwa.
9. Anayependa na kuheshimu wazazi wako.
10. Ambaye hata ukikorofishana na wazazi au ndugu zako anakutuliza na kukushauri vizuri kwa hekima sio kuchochea mgogoro
10. Ambaye mnaweza kuishi kama watoto na washkaji.
11. Ambaye atakuambia mno yote ya siri kuhusu yeye au jambo lolote
12. Ambaye hata kama umekosea yeye ndiye ananyenyekea.
13. Ambaye atakuonea wivu na hataki wanawake wengine wakuletee mazoea ya kipuuzi. Huyo ni mkeo.
14. Ambaye anaweza kuziba zile gap nyeti ambazo unakuwa unazisahau. Yaani anayekukamilisha.
Yaani mwanaume uwe 80% alafu hiyo 20% anastaajabu ameiweka.
Katika Ujasusi wanapotumwa Majasusi wawili wakike na wakiume katika mission fulani lengo kuu ni hilo.
Wakati jasusi wa kiume amemwambia jasusi wa kike abaki nyumbani kwa sababu ya hatari ya kumpoteza kutokana na adui kuwa hatari.
Jasusi wa kike hukubali kukaa nyumbani na kumwacha Jasusi wa kiume aende kwenye mission.
Wakati huo jasusi wa kiume anaamini kuwa anauwezo mkubwa(ni kweli lakini sio 100%)
Anafika kwa maadui anapambana na anawamaliza wote kasoro adui kuu.
Wakati anapambana na adui kuu wakiwa wamepigana vyakutosha na huenda amemzidi adui kuu lakini kwa bahati mbaya adui kuu baada ya kujua amezidiwa kwa hila anairukia bastola na kunyooshewa jasusi wa kiume, maskini jasusi wa kiume ni kweli anauwezo, ni kweli alimdhibiti adui kuu lakini kafanya kosa dogo lililompa upenyo adui kuu kuirukia bastola. Sasa jasusi wa kiume hana ujanja wowote anasubiri tuu kilimi cha bastola kiachiwe apasuliwe ubongo.
Lakini kabla adui hajaachia risasi ghafla mlio mwingine wa risasi unasikika adui anaanguka akiwa amepigwa risasi.
Jasusi wa kiume anashikwa mshangao anatazama huku na huku anamuona jasusi wa kike akiwa amebeba bastola. Ndie aliyemuua adui kuu.
Mkeo au Mwanamke kwenye maisha yako ndio anatakiwa kuwa hivyo.
Kuhakiki na ku- clear errors ndogo ndogo unazofanya unapokabiliana na maadui.
Ndio hivyo Mkuu
Inasikitisha sana...Chanzo cha mabaya ni pesa na wasichana chunga sana alishasema Salu T.
Mkuu huyu ni mwanamke mmoja au kundi kubwa la wanawake?
Kuna mbinu za kivita kutatua hilo
Ukipata Mwanamke mwenye sifa hizi chukua
1. Msafi
Tabia kwanza kisha mwili.
2. Mvuto na Mzuri
3. Mtiifu anayejiamini na kufanya chochote utakachomuamuru
Narudia chochote bila kujali ni kizuri au kibaya.
4. Anayekupa pesa[emoji4]
Sijasema tajiri nazungumzia ambaye sio mbinafsi.
Mwanamke kama hajawahi wala hafikirii kukupa pesa na unatafuta mchumba huyo achana naye.
5. Anayekufanya wewe ni Role model wake.
6. Mwenye kiu ya mafanikio. Anayetaka na kupenda mafanikio yako.
Chochote unachofanya anakusaidia hasa kukupa kampani na kukupa moyo
7. Ambaye yupo tayari kukana hata ndugu zake kwaajili yako.
Huyo ni mkeo acha ujinga chukua jiko hiko. Kinyume na hapo weka mbali na watoto
8. Ambaye anashukuru kwa kila kizuri unachomfanyia kiwe kidogo au kikubwa.
9. Anayependa na kuheshimu wazazi wako.
10. Ambaye hata ukikorofishana na wazazi au ndugu zako anakutuliza na kukushauri vizuri kwa hekima sio kuchochea mgogoro
10. Ambaye mnaweza kuishi kama watoto na washkaji.
11. Ambaye atakuambia mno yote ya siri kuhusu yeye au jambo lolote
12. Ambaye hata kama umekosea yeye ndiye ananyenyekea.
13. Ambaye atakuonea wivu na hataki wanawake wengine wakuletee mazoea ya kipuuzi. Huyo ni mkeo.
14. Ambaye anaweza kuziba zile gap nyeti ambazo unakuwa unazisahau. Yaani anayekukamilisha.
Yaani mwanaume uwe 80% alafu hiyo 20% anastaajabu ameiweka.
Katika Ujasusi wanapotumwa Majasusi wawili wakike na wakiume katika mission fulani lengo kuu ni hilo.
Wakati jasusi wa kiume amemwambia jasusi wa kike abaki nyumbani kwa sababu ya hatari ya kumpoteza kutokana na adui kuwa hatari.
Jasusi wa kike hukubali kukaa nyumbani na kumwacha Jasusi wa kiume aende kwenye mission.
Wakati huo jasusi wa kiume anaamini kuwa anauwezo mkubwa(ni kweli lakini sio 100%)
Anafika kwa maadui anapambana na anawamaliza wote kasoro adui kuu.
Wakati anapambana na adui kuu wakiwa wamepigana vyakutosha na huenda amemzidi adui kuu lakini kwa bahati mbaya adui kuu baada ya kujua amezidiwa kwa hila anairukia bastola na kunyooshewa jasusi wa kiume, maskini jasusi wa kiume ni kweli anauwezo, ni kweli alimdhibiti adui kuu lakini kafanya kosa dogo lililompa upenyo adui kuu kuirukia bastola. Sasa jasusi wa kiume hana ujanja wowote anasubiri tuu kilimi cha bastola kiachiwe apasuliwe ubongo.
Lakini kabla adui hajaachia risasi ghafla mlio mwingine wa risasi unasikika adui anaanguka akiwa amepigwa risasi.
Jasusi wa kiume anashikwa mshangao anatazama huku na huku anamuona jasusi wa kike akiwa amebeba bastola. Ndie aliyemuua adui kuu.
Mkeo au Mwanamke kwenye maisha yako ndio anatakiwa kuwa hivyo.
Kuhakiki na ku- clear errors ndogo ndogo unazofanya unapokabiliana na maadui.
Ndio hivyo Mkuu
Kaka tulia na Mke wako japokuwa anapenda sana kumskiliza mchungaji.Mimi binafasi huwa kspendelei kusema mengi sana kuhusu ndoa na wanawake..
Ahahahah.Kaka tulia na Mke wako japokuwa anapenda sana kumskiliza mchungaji.
Naona Ile kesi ya mkeo na mchungaji iliisha Salama.
Wachungaji wanapenda kuchunga mifugo sio yao.Ahahahah.
Hapana chief. Labda utakua umeni changanya.
Kuna kesi moja tu niliowah izungumzia kuhusu mchungaji nayo ilikua inamuhusu aunt yetu.
Yan mke nioe mimi halaf akamsikilize mchungaji?? Mbona nitamhamishia huko huko wakaishie sio kusilizana tu bali hata miti wapigane
Wapiga mbunye tu hamna kitu wanachunga zaid vyupi vya wake za watu, most of themWachungaji wanapenda kuchunga mifugo sio yao.
Unasema ukweli kabisaa. Kuna siku nilikutana na padre anasema ana stress kinoma. Kwa sababu ya elimu yangunkuwa ndogo nikashangaa, ina maana hajasoma maandiko "Mfalme sulemani alisema kadri unavyokua na maarifa ndio unakua na huzuni. Ukiyajua ya viongozi wa dini utaacha kwenda kusali
Enheeeeee! Vyote hivyo, we unatutafutia tusiolewe sasa!Ukipata Mwanamke mwenye sifa hizi chukua
1. Msafi
Tabia kwanza kisha mwili.
2. Mvuto na Mzuri
3. Mtiifu anayejiamini na kufanya chochote utakachomuamuru
Narudia chochote bila kujali ni kizuri au kibaya.
4. Anayekupa pesa😊
Sijasema tajiri nazungumzia ambaye sio mbinafsi.
Mwanamke kama hajawahi wala hafikirii kukupa pesa na unatafuta mchumba huyo achana naye.
5. Anayekufanya wewe ni Role model wake.
6. Mwenye kiu ya mafanikio. Anayetaka na kupenda mafanikio yako.
Chochote unachofanya anakusaidia hasa kukupa kampani na kukupa moyo
7. Ambaye yupo tayari kukana hata ndugu zake kwaajili yako.
Huyo ni mkeo acha ujinga chukua jiko hiko. Kinyume na hapo weka mbali na watoto
8. Ambaye anashukuru kwa kila kizuri unachomfanyia kiwe kidogo au kikubwa.
9. Anayependa na kuheshimu wazazi wako.
10. Ambaye hata ukikorofishana na wazazi au ndugu zako anakutuliza na kukushauri vizuri kwa hekima sio kuchochea mgogoro
10. Ambaye mnaweza kuishi kama watoto na washkaji.
11. Ambaye atakuambia mno yote ya siri kuhusu yeye au jambo lolote
12. Ambaye hata kama umekosea yeye ndiye ananyenyekea.
13. Ambaye atakuonea wivu na hataki wanawake wengine wakuletee mazoea ya kipuuzi. Huyo ni mkeo.
14. Ambaye anaweza kuziba zile gap nyeti ambazo unakuwa unazisahau. Yaani anayekukamilisha.
Yaani mwanaume uwe 80% alafu hiyo 20% anastaajabu ameiweka.
Katika Ujasusi wanapotumwa Majasusi wawili wakike na wakiume katika mission fulani lengo kuu ni hilo.
Wakati jasusi wa kiume amemwambia jasusi wa kike abaki nyumbani kwa sababu ya hatari ya kumpoteza kutokana na adui kuwa hatari.
Jasusi wa kike hukubali kukaa nyumbani na kumwacha Jasusi wa kiume aende kwenye mission.
Wakati huo jasusi wa kiume anaamini kuwa anauwezo mkubwa(ni kweli lakini sio 100%)
Anafika kwa maadui anapambana na anawamaliza wote kasoro adui kuu.
Wakati anapambana na adui kuu wakiwa wamepigana vyakutosha na huenda amemzidi adui kuu lakini kwa bahati mbaya adui kuu baada ya kujua amezidiwa kwa hila anairukia bastola na kunyooshewa jasusi wa kiume, maskini jasusi wa kiume ni kweli anauwezo, ni kweli alimdhibiti adui kuu lakini kafanya kosa dogo lililompa upenyo adui kuu kuirukia bastola. Sasa jasusi wa kiume hana ujanja wowote anasubiri tuu kilimi cha bastola kiachiwe apasuliwe ubongo.
Lakini kabla adui hajaachia risasi ghafla mlio mwingine wa risasi unasikika adui anaanguka akiwa amepigwa risasi.
Jasusi wa kiume anashikwa mshangao anatazama huku na huku anamuona jasusi wa kike akiwa amebeba bastola. Ndie aliyemuua adui kuu.
Mkeo au Mwanamke kwenye maisha yako ndio anatakiwa kuwa hivyo.
Kuhakiki na ku- clear errors ndogo ndogo unazofanya unapokabiliana na maadui.
Ndio hivyo Mkuu
Wamekuwa programmed na jamii kuwachukulia hivyoWanaona ndio kipaumbele Chao mkuu....alafu kwann jamii inaamini usipokuwa na mke una matatzo na wengine ufika mbali nakuita wasioa mashogaa😔
Enheeeeee! Vyote hivyo, we unatutafutia tusiolewe sasa!
Na mwanaume aweje mkuu? Au kikubwa awe anapumua tu?
😂
Hizi mada zinajirudia sana
Wanawake tulipewa ili tuwatindue tu wewe unayeogopa hufai yaani kavae kibin tu
No 4… hapo umefika mbali wanawake hatunaga hela [emoji18][emoji18]