Ukiwaelewa na kuwajua wanawake huwezi kuoa

Ukiwaelewa na kuwajua wanawake huwezi kuoa

Hata ukiwa na Imani ndogo kama punje ya haradari utaumbia huu mlima ng'oka ukatupwe kule. Haha hiyo kazi ya akili ndogo wenye akili kubwa kama wewe 😂 sijui mkoje

Chochote ambacho hutaki kufanyiwa usimfanyie mtu.

Utajisikiaje ukisikia mwanaume akimwambia binti au mama yako maneno uliyoyatamka,
 
Chochote ambacho hutaki kufanyiwa usimfanyie mtu.

Utajisikiaje ukisikia mwanaume akimwambia binti au mama yako maneno uliyoyatamka,
Hivi wewe uje umuoe mwanangu unaenda kumfanya Nini? Anakuja kwako kufanya Nini kama siyo mshedede wako nipambe Nini mie sijui kupamba

Wanawake tumeumbiwa ili tuwatindue nimerudia Kwa mara nyingine
 
Hivi wewe uje umuoe mwanangu unaenda kumfanya Nini? Anakuja kwako kufanya Nini kama siyo mshedede wako nipambe Nini mie sijui kupamba

Wanawake tumeumbiwa ili tuwatindue nimerudia Kwa mara nyingine

Kwa sisi watalaamu wa semantikí ya lugha húwezi kuficha hila yako kwenye maandishi

Lugha uliyotumia haiwezi tolewa na mtu mwenye heshima au staha
 
Kwa sisi watalaamu wa semantikí ya lugha húwezi kuficha hila yako kwenye maandishi

Lugha uliyotumia haiwezi tolewa na mtu mwenye heshima au staha
Sawa mie Sina heshima Wala staha

Sasa ya Nini utake kunilazimisha ?

Wewe endelea na staha zako hatuwezi fanana

Wewe hapo kwanza Kwa kichwa chako vita vikali VIPO

Na unaweza jisema wewe unaheshima mwingine akakuona we pumba tu unaweza jiona wewe unastaha mwingine akakuona fedhuli tu

Kaa kwenye heshima na staha yako bosi
 
Sawa mie Sina heshima Wala staha

Sasa ya Nini utake kunilazimisha ?

Wewe endelea na staha zako hatuwezi fanana

Wewe hapo kwanza Kwa kichwa chako vita vikali VIPO

Na unaweza jisema wewe unaheshima mwingine akakuona we pumba tu unaweza jiona wewe unastaha mwingine akakuona fedhuli tu

Kaa kwenye heshima na staha yako bosi

Ni ushauri tuu.

Ukitoa maneno yoyote hakikisha unamzingatia Mama na Baba yako. Waheshimu.

Kauli hiyohiyo ungeweza kusema, wanawake waliumbwa kwaajili yetu ili tuwaoe mbele ya mtu yeyote hata Mama au Baba au mtoto au mtu yoyote wa heshima na Watu wangekuelewa na ungelinda heshima yako.
 
Ni ushauri tuu.

Ukitoa maneno yoyote hakikisha unamzingatia Mama na Baba yako. Waheshimu.

Kauli hiyohiyo ungeweza kusema, wanawake waliumbwa kwaajili yetu ili tuwaoe mbele ya mtu yeyote hata Mama au Baba au mtoto au mtu yoyote wa heshima na Watu wangekuelewa na ungelinda heshima yako.
Humu hayupo baba yangu Wala mama yangu hata kama wangekuwemo, baba yangu alikuwa akimtindua mom ndiyo kinyengeremtoi mie nkazaliwa hahaha . Nakuambia hatuwezi fanana bro keep your suggestions within you, kwangu niache hivi hivi

Likija linarekebishwa na ikulu linaachiwa
 
Hewaaaa kumbe mkuu sasa umetuelewa sisi tunaokataa ndoa. KATAA NDOA either kwa muktadha wa hoja ya kwanza ya mtoa mada au hoja ya pili.
 
Aliyeleta ndoa sijui ni nani naturally tumeumbwa mithili ya wanyama kujamiana na kuachana kama alivyo jogoo na jike
Ila iko possible kwa ndege kama Tai,wao huwa wanakuwa dume moja na jike moja,mpaka kifo kiwatenganishe!
 
Nimeshaoa kama miaka kumi iliyopita..Katika utafiti wangu nimegundua kwamba:
1.Wanaume ni waathirika wakuu wa ndoa kiuchumi,Pato lake linatumika kwaajili ya mke,mashemeji,watoto nk.Yaani unakuta anasuruali tatu, pair1 za viatu kinyume na kipato chako

2.Stress nyingi kwaajili ya mkewe, na familia ie kuchitiwa na migogoro ya hapa na pale yaliyosababishwa na kuoa
Unasafa sana kwaajili ya familia yako wakati wanaoinjoy ni wengine.

Mwisho wake baba anadharauliwa na sifa zote Kwa mke na huko uzeeni watoto na mama yao wanakutenga, na watoto wanamjali mama yao kuliko baba....
 
Ivi ni kwanni uhamasishaji wa kuoa kwa Tanzania umekua mkubwa mno kuliko kupeana michongo ?
Bora hao, kuliko kile kikundi cha mashoga kinachosema "kataa ndoa". Kuoa ni swala afya ya jamii na ulimwengu.
 
Nimeshaoa kama miaka kumi iliyopita..Katika utafiti wangu nimegundua kwamba:
1.Wanaume ni waathirika wakuu wa ndoa kiuchumi,Pato lake linatumika kwaajili ya mke,mashemeji,watoto nk.Yaani unakuta anasuruali tatu, pair1 za viatu kinyume na kipato chako

2.Stress nyingi kwaajili ya mkewe, na familia ie kuchitiwa na migogoro ya hapa na pale yaliyosababishwa na kuoa
Unasafa sana kwaajili ya familia yako wakati wanaoinjoy ni wengine.

Mwisho wake baba anadharauliwa na sifa zote Kwa mke na huko uzeeni watoto na mama yao wanakutenga, na watoto wanamjali mama yao kuliko baba....

Hayo maisha watibeli tulikataa

Mwanamke kama hajiwezi hata kwa vitu vidogo huyo tunawaachia wengine
 
Back
Top Bottom