Nimeshaoa kama miaka kumi iliyopita..Katika utafiti wangu nimegundua kwamba:
1.Wanaume ni waathirika wakuu wa ndoa kiuchumi,Pato lake linatumika kwaajili ya mke,mashemeji,watoto nk.Yaani unakuta anasuruali tatu, pair1 za viatu kinyume na kipato chako
2.Stress nyingi kwaajili ya mkewe, na familia ie kuchitiwa na migogoro ya hapa na pale yaliyosababishwa na kuoa
Unasafa sana kwaajili ya familia yako wakati wanaoinjoy ni wengine.
Mwisho wake baba anadharauliwa na sifa zote Kwa mke na huko uzeeni watoto na mama yao wanakutenga, na watoto wanamjali mama yao kuliko baba....