Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #161
Mkuu kwa heshima na taadhima nashukuru sana kwa hili Andiko Ila tafadhari mkuu next time uje na nondo za kutosha km kawaida yako sio unatuwekea summary tu ungetushushia mapoint hapa wengine tuchukue notice za hao mabechala Sugu wanaogoma kuoa sababu wamewajua wanawake kwa asilimia 100 na 1
Haina shida Mkuu.
Sikutaka kumchosha mtu wakati huu