Nina experience ya nilichoandika baada ya kupitia magum ktk ndoa kwa mda mrefu.Unaingizwa kwenye kumi na nane .. shtuka ..
Kwenye game kuna anaelose kuna anaewin .
Wengine Tulipewa mpaka mishahara tuipangie matumizi ..
Una uchovu unaulizwa au ni hela huna , Ikijibu yes unachapwa na turaki tuwiri, .
Hapo uko na bebe wako mwingine .. unaulizwa huwa anakupa Nini mie nikupe more than .. unajichanganywa unaingia kuminatisani ... Paap huna option Zaidi ya yeye .. nyokolaaaa
Unaanza kuona makucha ...
Ngastuka a machali kundesaaaa
Kaa kijana jombiiii...
Kuwa makini na wanawake wameangusha himaya pamoja na wafalme
Mmeanza lini mapenzi yenu...Salaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1.mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Tunaelekea mwaka wa 10Mmeanza lini mapenzi yenu...
Jitahidi uwajue yaani bado sanaSalaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1.mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Hapa atatutubu kwingine labda ila hapa🙅4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami
Akidekeza anadekewa na kupewa pussy akajua maisha ndio haya...hawajui hawa viumbe😂😂😂🤣🤣🤣Mr Nice guy huyo bado hajatumanya
Njoo unidekezeAkidekeza anadekewa na kupewa pussy akajua maisha ndio haya...hawajui hawa viumbe😂😂😂
KAZINI...!!
Ndio nitakupa mdekezo😅😅Utanipa?🤣🤣🤣
Sitaki dekezwa nataka kazi🤣Ndio nitakupa mdekezo😅😅
Asubiri lifike miezi 6 wote mmezoeana ndio atajua mbivu na mbichiUpo kwenye penzi lililoanza masaa mawili yaliyopita alafu unakuja kuwashauri waandamizi wabobevu
😂🤣Evelyn Salt na Miss_Mariaah wameipenda sana hii☺️