Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

Hakuna sehemu nimejisifia kwenda south toaujinga wako hapa yaani nijisifie sehemu ambayo hauhitaji visa
We ni mshamba tu maswala ya mdogo wako yananihusu nini wewe mwenyewe hata sikujui
We mbuzi,ukianza mambo ya matusi ntakupandia,kwanza hujui unaongea na babaako hapa nyau we
Mbeya hakuna kitu , unawazungumzia wapiga nondo? Nimekaa Mbeya kuko shwari sana, hapo mafiati nimekesha sana Mbeya Carnival sijawahi kuona vurugu zozote
We hupajui huko,mida mibovu watu wanamalizwa mbaya.
Mi nimezaliwa na kukulia huko.
Nshakimbizwa sana msituni forest nilikua nachunga ngo'ombe.
Wale ndo walikua wanatoa macho,kata pumbu,kuchuna ngozi hiyo ilikua forest.
siku hizi naskia wamejenga
Ndo wezi wengi wao wapo hapo mwanjelwa mtaani.
Carnival mpk wakuotee km we wakuja ila wa palepale hawana habari na wewe.
 
Back
Top Bottom