Ukizaa na mume wa mtu, jukumu la kulea mtoto ni lako mwenyewe!

Ukizaa na mume wa mtu, jukumu la kulea mtoto ni lako mwenyewe!

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
UKIZAA NA MUME WA MTU, JUKUMU LA KULEA MTOTO NI LAKO MWENYEWE!

Anaandika, Robert Heriel

Unajizima Data sio!

Ati ooh! Alinidanganya Hana MKE, ooh! Sikujua kama kaoa. Wanaume ni Umbwa Koko!

Kama alikuambia Hana MKE si ungemuambia Ukoe wewe sasa ili uwe Mke wake. Mwambie apeleke posa nyumbani, taratibu za kindoa zifuate, iwe ndoa ya kimila au kiserikali au kidini. Kimila utaratibu ni simple Sana. Ukishaenda kutoa posa ukakubali tayari hiyo ni Ndoa.

Binti yangu epuka kujizima data. Mabinti WA siku hizi wengi ni wale wa liwalo na liwe. Wanayachezea Maisha yao kijinga.

Wengi wanajua kabisa Fulani ni mume wa mtu lakini kwa tamaa ya Pesa wanajilengesha Makusudi, na kujibebesha mimba, kisha baadaye wanaanza kusumbua Watu.

Acheni ubinafsi, eleweni kuwa mnawatesa Watoto wenu. Mtoto wako hawezi kulingana kihadhi na mtoto wa kwenye Ndoa. Hawezi kupata thamani kama angezaliwa ndani ya Ndoa. Mtoto wako utakayemzaa badala ya kuwa baraka anakuwa mleta tafrani Duniani.

Kwa nini usitafute Mwanaume wako akakuoa ndipo upate mtoto, uone jinsi ilivyoraha mtoto kulelewa na Baba na Mama. Wewe unazaa na waume za Watu alafu kama chizi ATI unasema ATI alinidanganya hana MKE. Hana MKE ulienda kwao akakutambulisha na Akaja kwenu kutoa Mahari ili useme alikudanganya. Wewe ndiye ulijidanganya.

Jukumu la KULEA MTOTO uliyempata Kwa Mume WA MTU ni jukumu lako ewe Binti yangu.

Hakuna Mwanamke yeyote mwenye Akili, MKE kamili atakayekubali Mume wake akuhudumie wewe au huyo mtoto wako. Na hiyo ipo Naturally ili ujutie Makosa uliyoyafanya, sasa Kwa nini umtese mtoto wako kisa ujinga wako. Ni Bora ukaacha kuzaa na waume za Watu.

ATI ili mtoto wako ahudumiwe ni mpaka vikao, sijui kupelekana Mahakamani, sijui kutukana na mume WA MTU. Kwa nini ujipe Shida? Yaani mpaka Mwanaume apate Pesa ya ziada ndio akupe wewe Pesa ya matumizi ya Mtoto. Lakini mtoto wako hayupo kwenye hesabu za Baba yake kisa Baba anafamilia Kuu anayoiangalia.

Binti yangu, epuka kuzaa na mume WA MTU kama unataka mtoto wako apate mapenzi kamili ya Baba na Mama.

Mke anayomamlaka na Haki zote kumzuia mume wake kutotoa Pesa yoyote nje ya familia. Sio ajabu Wake wakiona Waume zao wanawatoto nje wakapandisha gharama za Maisha ndani ya familia kama kuwapeleka Watoto shule za gharama na matumizi mengi yawe juu kusudi mtoto wako akose kabisa Pesa ya mume wake.

Sarah alimshawishi Ibrahimu kumfukuza Hajiri na mtoto wake waondoke katika nyumba. Ibrahimu Baba wa Imani Kwa mujibu wa Dini ya Uyahudi, uislam na Ukristo akamfukuza Hajiri na mwanaye. Kama Hicho kisa haujapata picha jinsi Hali ilivyo endapo utazaa na Mume WA MTU basi utakuwa unamatatizo.

Acha kuharibu Maisha yako. Acha kuharibu Maisha ya mwanao utakayemzaa. Zaa na Mwanaume wako.

Acha kuvuruga nyumba za Watu. Usiwe Mkosi na janga katika Maisha yako.

Epuka kuolewa MKE mwenza, hakuna kitu kama Hicho. Ni kujidanganya tuu. Ni tamaa zetu wanaume na ubinafsi wetu. Hakunaga mambo ya hivyo. Ni kuharibu Maisha tuu.

Ni Bora uwe mvumilivu na subira. Mpaka mume wako atakapofika ndio ufanye Maisha na kuanzisha familia Naye. Dunia ya sasa sio lelemama.

Ukivunja Kanuni za asili hata ungeunda sheria Kali vipi lazima mambo yazidi kuwa magumu.

Hakunaga msamiati usemao alinidanganya hana MKE. Huo ni Uongo mkubwa. Ulithibitishaje maneno yake.
Mwanaume yeyote kama upo serious naye na unahitaji awe Mumeo sharti umpe Kanuni zako kupima Nia yake. Mwambie afanye hima akuoe.

Elewa kuwa Mwana mpumbavu ni mzigo Kwa Mamaye, na hii inatokana na sababu kuwa Mama ndiye amebeba dhamana ya mtoto.

Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
-Kwa mujibu wa sheria zetu jukumu la kutunza mtoto ni la baba, ndiyo maana mwanaume akimpa mimba binti Ili amkomboe mtoto ni lazima alipe gharama zote za Matunzo ya mtoto, au amuoe hiyo ni Kwa mujibu wa Tamko la Kimila la serikali that is to say Local customery law declaration order
- na Ili apate Matunzo ya mtoto Mama wa mtoto itabidi ampeleke mwanaume kwenye Mahakama ya watoto, na akipinga kwamba huyo mtoto sio Wake Mahakama itatoa Amri ya kwenda kwenye DNA test, na DNA results zikionesha kuwa ni mtoto wake mwanaume utawajibika kumtunza huyo mtoto hata Kama una mke
-
 
Hawa viumbe wamejawa "Tamaa".

Japo umewaambia hapa ila wataangalia tamaa yao ipo wapi na hawatasikiliza hili.
 
-Kwa mujibu wa sheria zetu jukumu la kutunza mtoto ni la baba, ndiyo maana mwanaume akimpa mimba binti Ili amkomboe mtoto ni lazima alipe gharama zote za Matunzo ya mtoto, au amuoe hiyo ni Kwa mujibu wa Tamko la Kimila la serikali that is to say Local customery law declaration order
- na Ili apate Matunzo ya mtoto Mama wa mtoto itabidi ampeleke mwanaume kwenye Mahakama ya watoto, na akipinga kwamba huyo mtoto sio Wake Mahakama itatoa Amri ya kwenda kwenye DNA test, na DNA results zikionesha kuwa ni mtoto wake mwanaume utawajibika kumtunza huyo mtoto hata Kama una mke
-

Hizo ni sheria ambazo hazina Uhalisia ndio maana zinavunjwa kila Siku na mamilioni ya wanaume.
Waulize waliozaa na wanaume ambao hawajawaoa wato Mrejesho hapa
 
Kichwa cha habari kimejitosheleza ni kama nimeelewa kabisaaa, mtu anajua kabisa huyu baba ni mume wa mtu, anajibebesha mimba eti apendwe nyofooo kwani mkewe hana kizazi? Akishakimbiwa anaanza visirani na kutafuta haki, alikutongoza akihitaji kukufanya tu sio kukuzalisha ili usababishe migogoro kwenye ndoa ya mke wake mpendwa na watoto
 
-Kwa mujibu wa sheria zetu jukumu la kutunza mtoto ni la baba, ndiyo maana mwanaume akimpa mimba binti Ili amkomboe mtoto ni lazima alipe gharama zote za Matunzo ya mtoto, au amuoe hiyo ni Kwa mujibu wa Tamko la Kimila la serikali that is to say Local customery law declaration order
- na Ili apate Matunzo ya mtoto Mama wa mtoto itabidi ampeleke mwanaume kwenye Mahakama ya watoto, na akipinga kwamba huyo mtoto sio Wake Mahakama itatoa Amri ya kwenda kwenye DNA test, na DNA results zikionesha kuwa ni mtoto wake mwanaume utawajibika kumtunza huyo mtoto hata Kama una mke
-
Mtu anakurupukaje kwenda kuzaa na mume wa mtu
 
UKIZAA NA MUME WA MTU, JUKUMU LA KULEA MTOTO NI LAKO MWENYEWE!

Anaandika, Robert Heriel

Unajizima Data sio!

Ati ooh! Alinidanganya Hana MKE, ooh! Sikujua kama kaoa. Wanaume ni Umbwa Koko!

Kama alikuambia Hana MKE si ungemuambia Ukoe wewe sasa ili uwe Mke wake. Mwambie apeleke posa nyumbani, taratibu za kindoa zifuate, iwe ndoa ya kimila au kiserikali au kidini. Kimila utaratibu ni simple Sana. Ukishaenda kutoa posa ukakubali tayari hiyo ni Ndoa.

Binti yangu epuka kujizima data. Mabinti WA siku hizi wengi ni wale wa liwalo na liwe. Wanayachezea Maisha yao kijinga.

Wengi wanajua kabisa Fulani ni mume wa mtu lakini kwa tamaa ya Pesa wanajilengesha Makusudi, na kujibebesha mimba, kisha baadaye wanaanza kusumbua Watu.

Acheni ubinafsi, eleweni kuwa mnawatesa Watoto wenu. Mtoto wako hawezi kulingana kihadhi na mtoto wa kwenye Ndoa. Hawezi kupata thamani kama angezaliwa ndani ya Ndoa. Mtoto wako utakayemzaa badala ya kuwa baraka anakuwa mleta tafrani Duniani.

Kwa nini usitafute Mwanaume wako akakuoa ndipo upate mtoto, uone jinsi ilivyoraha mtoto kulelewa na Baba na Mama. Wewe unazaa na waume za Watu alafu kama chizi ATI unasema ATI alinidanganya hana MKE. Hana MKE ulienda kwao akakutambulisha na Akaja kwenu kutoa Mahari ili useme alikudanganya. Wewe ndiye ulijidanganya.

Jukumu la KULEA MTOTO uliyempata Kwa Mume WA MTU ni jukumu lako ewe Binti yangu.

Hakuna Mwanamke yeyote mwenye Akili, MKE kamili atakayekubali Mume wake akuhudumie wewe au huyo mtoto wako. Na hiyo ipo Naturally ili ujutie Makosa uliyoyafanya, sasa Kwa nini umtese mtoto wako kisa ujinga wako. Ni Bora ukaacha kuzaa na waume za Watu.

ATI ili mtoto wako ahudumiwe ni mpaka vikao, sijui kupelekana Mahakamani, sijui kutukana na mume WA MTU. Kwa nini ujipe Shida? Yaani mpaka Mwanaume apate Pesa ya ziada ndio akupe wewe Pesa ya matumizi ya Mtoto. Lakini mtoto wako hayupo kwenye hesabu za Baba yake kisa Baba anafamilia Kuu anayoiangalia.

Binti yangu, epuka kuzaa na mume WA MTU kama unataka mtoto wako apate mapenzi kamili ya Baba na Mama.

Mke anayomamlaka na Haki zote kumzuia mume wake kutotoa Pesa yoyote nje ya familia. Sio ajabu Wake wakiona Waume zao wanawatoto nje wakapandisha gharama za Maisha ndani ya familia kama kuwapeleka Watoto shule za gharama na matumizi mengi yawe juu kusudi mtoto wako akose kabisa Pesa ya mume wake.

Sarah alimshawishi Ibrahimu kumfukuza Hajiri na mtoto wake waondoke katika nyumba. Ibrahimu Baba wa Imani Kwa mujibu wa Dini ya Uyahudi, uislam na Ukristo akamfukuza Hajiri na mwanaye. Kama Hicho kisa haujapata picha jinsi Hali ilivyo endapo utazaa na Mume WA MTU basi utakuwa unamatatizo.

Acha kuharibu Maisha yako. Acha kuharibu Maisha ya mwanao utakayemzaa. Zaa na Mwanaume wako.

Acha kuvuruga nyumba za Watu. Usiwe Mkosi na janga katika Maisha yako.

Epuka kuolewa MKE mwenza, hakuna kitu kama Hicho. Ni kujidanganya tuu. Ni tamaa zetu wanaume na ubinafsi wetu. Hakunaga mambo ya hivyo. Ni kuharibu Maisha tuu.

Ni Bora uwe mvumilivu na subira. Mpaka mume wako atakapofika ndio ufanye Maisha na kuanzisha familia Naye. Dunia ya sasa sio lelemama.

Ukivunja Kanuni za asili hata ungeunda sheria Kali vipi lazima mambo yazidi kuwa magumu.

Hakunaga msamiati usemao alinidanganya hana MKE. Huo ni Uongo mkubwa. Ulithibitishaje maneno yake.
Mwanaume yeyote kama upo serious naye na unahitaji awe Mumeo sharti umpe Kanuni zako kupima Nia yake. Mwambie afanye hima akuoe.

Elewa kuwa Mwana mpumbavu ni mzigo Kwa Mamaye, na hii inatokana na sababu kuwa Mama ndiye amebeba dhamana ya mtoto.

Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sio kila jambo ulizungumze hata kama hilifahamu unaonesha bado kijana mdogo sana ambaye huyajui mambo kiuhalisia wala maisha halisi ila unatumia mihemko na chuki dhidi ya wanawake,

Kifupi ulichoandika ni hisia na mtazamo wako wa chuki dhidi ya wanawake, ngono hatendi mwanamke pekee kama ni kosa limetendwa na wote mwanamke kwa mwanaume na hatia ni ya wote na ukitazama kwa umakini aliye na mke akazaa nje ametenda kosa la kuzaa na kusaliti mke anatakiwa kubeba hatia zaidi.

Jukumu la kulea ni la wazazi na si upuuzi uliondika hapo, acha kuhamasisha watoto kukosa haki zao za malezi kutoka kwa baba zao kisa kutafuta sifa ya kuandika maandiko mengi ya ajabu mitandaoni, Huna maana bro.
 
Jukumu la kumtunza mtoto ni la wazazi wote wawili bila kujali mwanaume ana ndoa nyingine. Mtoto hawezi kukosa haki zake eti kwa vile wewe una mke wa ndoa. Utamtuza mtoto na mama yake wakati wa uzazi na kumtunza mtoto na kumpatia haki zake za msingi hadi afikie umri wa utu uzima.

Pia, mleta mada anasahau kama wanaume ni wachache duniani. Eti kila mwanamke atulizane amsubiri mwanaume wa kwake peke yake!!!!! hamnaga kitu kama hicho na kamwe haitatokea chini ya dunia. Ukraine tu wananume sasa wamebaki wacahache.
 
Sio kila jambo ulizungumze hata kama hilifahamu unaonesha bado kijana mdogo sana ambaye huyajui mambo kiuhalisia wala maisha halisi ila unatumia mihemko na chuki dhidi ya wanawake,

Kifupi ulichoandika ni hisia na mtazamo wako wa chuki dhidi ya wanawake, ngono hatendi mwanamke pekee kama ni kosa limetendwa na wote mwanamke kwa mwanaume na hatia ni ya wote na ukitazama kwa umakini aliye na mke akazaa nje ametenda kosa la kuzaa na kusaliti mke anatakiwa kubeba hatia zaidi.

Jukumu la kulea ni la wazazi na si upuuzi uliondika hapo, acha kuhamasisha watoto kukosa haki zao za malezi kutoka kwa baba zao kisa kutafuta sifa ya kuandika maandiko mengi ya ajabu mitandaoni, Huna maana bro.

Mimi na wewe Nani ameandika hisia na mtazamo?
Unajua maana ya uhalisia?
Kwa Akili yako hata kama ni ndogo, ni Watoto wangapi hawatunzwi na Baba zao kisa na mkasa ni kuzaliwa nje ya mfumo wa Ndoa?

Lazima ujue zipo sheria, Maoni na mtazamo ambazo kamwe haziwezi kubadili Nature/asili.

Kiasili mtoto anatakiwa alelewe na Baba na Mama Full stop, kutokea Aina yoyote ya kutengana au kuingilia mahusiano ya Watu ni kumkosesha Haki mtoto atakayezaliwa nje ya mfumo.

Wewe Kwa Akili yako kisoda, badala uone andiko hili liwahamasishe Wanawake wawe Makini na waache kubeba mimba Kiholela pasipo ndoa wewe unaleta dhana zako za kipuuzi ati ninachuki.

Alafu tofautisha Kufanya ngono na Kupata mimba.
Jukumu la Kupata mimba lipo Chini ya Mwanamke na sio vinginevyo.

Hata Dunia ipinduke, Mwanamke ndiye Mhanga namba moja wa matokeo ya ngono.
 
Jukumu la kumtunza mtoto ni la wazazi wote wawili bila kujali mwanaume ana ndoa nyingine. Mtoto hawezi kukosa haki zake eti kwa vile wewe una mke wa ndoa. Utamtuza mtoto na mama yake wakati wa uzazi na kumtunza mtoto na kumpatia haki zake za msingi hadi afikie umri wa utu uzima.

Pia, mleta mada anasahau kama wanaume ni wachache duniani. Eti kila mwanamke atulizane amsubiri mwanaume wa kwake peke yake!!!!! hamnaga kitu kama hicho na kamwe haitatokea chini ya dunia. Ukraine tu wananume sasa wamebaki wacahache.

Pia elewa kuwa Ndoa ndio sehemu pekee halali inayowapa wazazi wajibu wa kutunza Watoto. Kuvunja Kanuni au sheria moja kunapelekea kuvunja sheria ya pili.
Tayari MTU ameshavunja sheria ya kuoa au kuolewa ndipo apate mtoto. Automatically majukumu ya malezi lazima yavunjike.

Ndio maana wazee wa zamani Kwa kukujua Jambo hili, walikuwa Wakali katika kuhakikisha Binti mpaka anaolewa ndipo anapata mtoto.

Lakini zama za sasa Kwa vile Watu ni vichwa bomu, hawajui kuwa ukivunja Kanuni moja inaweza kupelekea kuvunja Kanuni nyingi zinazofuatia.
 
Mimi na wewe Nani ameandika hisia na mtazamo?
Unajua maana ya uhalisia?
Kwa Akili yako hata kama ni ndogo, ni Watoto wangapi hawatunzwi na Baba zao kisa na mkasa ni kuzaliwa nje ya mfumo wa Ndoa?

Lazima ujue zipo sheria, Maoni na mtazamo ambazo kamwe haziwezi kubadili Nature/asili.

Kiasili mtoto anatakiwa alelewe na Baba na Mama Full stop, kutokea Aina yoyote ya kutengana au kuingilia mahusiano ya Watu ni kumkosesha Haki mtoto atakayezaliwa nje ya mfumo.

Wewe Kwa Akili yako kisoda, badala uone andiko hili liwahamasishe Wanawake wawe Makini na waache kubeba mimba Kiholela pasipo ndoa wewe unaleta dhana zako za kipuuzi ati ninachuki.

Alafu tofautisha Kufanya ngono na Kupata mimba.
Jukumu la Kupata mimba lipo Chini ya Mwanamke na sio vinginevyo.

Hata Dunia ipinduke, Mwanamke ndiye Mhanga namba moja wa matokeo ya ngono.
Ni watoto wangapi wamelelewa ndani ya ndoa na baba zao hawawatunzi iwapo kigezo cha mtoto kutunzwa na baba yake ni ndoa?

Sijasema popote wazazi wasiishi pamoja wala mabinti wabebe mimba nje ya ndoa, ila nasema iwapo mimba imetungwa haijalishi imetungwa ndani ya ndoa, nje au pembeni ji jukumu la baba kushiriki malezi kwa kuwa alijua matokeo ya ngono yanaweza leta mimba pia.

Kama ilivyo wajibu wa mwanamke kujikinga na mimba vivyo hivyo na mwanaume anatakiwa kuchukua tahadhali iwapo hahitaji mtoto ndio maana kuna kondomu, uloweke halafu uje useme hutaki unajitambua kweli wewe. Ulipokuwa unapanda mbengu ulidhani unapanda maharage?

Nasema una chuki, mihemko na akili kidogo kutokana na mfululizo wa maandiko yako yasiyokuwa na tija zaidi ya porojo na kufundisha wajinga wenzio ujinga.

Ni haki ya mtoto kutunzwa na baba na mama haijalishi kazaliwa katika mazingira gani kwa kuwa wote mlijua mkifanya ngono kitatokea nini kwa hiyo kama wewe mwanaume huhitaji mtoto tumia kondomu sio kuja kutafuta utetezi wa mwanamke kabeba mimba bila kuniambia kwani hukujua mbegu za kiume unazomwaga zinaleta mtoto au ulidhani zitazaa mihogo,hEBU ACHENI UPUUZI bwana jitambueni bro,

Mwanaume anayejitambua hawezi lalamika ujauzito kwa kuwa alikuwa na option ya kujadili kabla au kutumia kinga, uzembe wako mzigo wako.
 
UKIZAA NA MUME WA MTU, JUKUMU LA KULEA MTOTO NI LAKO MWENYEWE!

Anaandika, Robert Heriel

Unajizima Data sio!

Ati ooh! Alinidanganya Hana MKE, ooh! Sikujua kama kaoa. Wanaume ni Umbwa Koko!

Kama alikuambia Hana MKE si ungemuambia Ukoe wewe sasa ili uwe Mke wake. Mwambie apeleke posa nyumbani, taratibu za kindoa zifuate, iwe ndoa ya kimila au kiserikali au kidini. Kimila utaratibu ni simple Sana. Ukishaenda kutoa posa ukakubali tayari hiyo ni Ndoa.

Binti yangu epuka kujizima data. Mabinti WA siku hizi wengi ni wale wa liwalo na liwe. Wanayachezea Maisha yao kijinga.

Wengi wanajua kabisa Fulani ni mume wa mtu lakini kwa tamaa ya Pesa wanajilengesha Makusudi, na kujibebesha mimba, kisha baadaye wanaanza kusumbua Watu.

Acheni ubinafsi, eleweni kuwa mnawatesa Watoto wenu. Mtoto wako hawezi kulingana kihadhi na mtoto wa kwenye Ndoa. Hawezi kupata thamani kama angezaliwa ndani ya Ndoa. Mtoto wako utakayemzaa badala ya kuwa baraka anakuwa mleta tafrani Duniani.

Kwa nini usitafute Mwanaume wako akakuoa ndipo upate mtoto, uone jinsi ilivyoraha mtoto kulelewa na Baba na Mama. Wewe unazaa na waume za Watu alafu kama chizi ATI unasema ATI alinidanganya hana MKE. Hana MKE ulienda kwao akakutambulisha na Akaja kwenu kutoa Mahari ili useme alikudanganya. Wewe ndiye ulijidanganya.

Jukumu la KULEA MTOTO uliyempata Kwa Mume WA MTU ni jukumu lako ewe Binti yangu.

Hakuna Mwanamke yeyote mwenye Akili, MKE kamili atakayekubali Mume wake akuhudumie wewe au huyo mtoto wako. Na hiyo ipo Naturally ili ujutie Makosa uliyoyafanya, sasa Kwa nini umtese mtoto wako kisa ujinga wako. Ni Bora ukaacha kuzaa na waume za Watu.

ATI ili mtoto wako ahudumiwe ni mpaka vikao, sijui kupelekana Mahakamani, sijui kutukana na mume WA MTU. Kwa nini ujipe Shida? Yaani mpaka Mwanaume apate Pesa ya ziada ndio akupe wewe Pesa ya matumizi ya Mtoto. Lakini mtoto wako hayupo kwenye hesabu za Baba yake kisa Baba anafamilia Kuu anayoiangalia.

Binti yangu, epuka kuzaa na mume WA MTU kama unataka mtoto wako apate mapenzi kamili ya Baba na Mama.

Mke anayomamlaka na Haki zote kumzuia mume wake kutotoa Pesa yoyote nje ya familia. Sio ajabu Wake wakiona Waume zao wanawatoto nje wakapandisha gharama za Maisha ndani ya familia kama kuwapeleka Watoto shule za gharama na matumizi mengi yawe juu kusudi mtoto wako akose kabisa Pesa ya mume wake.

Sarah alimshawishi Ibrahimu kumfukuza Hajiri na mtoto wake waondoke katika nyumba. Ibrahimu Baba wa Imani Kwa mujibu wa Dini ya Uyahudi, uislam na Ukristo akamfukuza Hajiri na mwanaye. Kama Hicho kisa haujapata picha jinsi Hali ilivyo endapo utazaa na Mume WA MTU basi utakuwa unamatatizo.

Acha kuharibu Maisha yako. Acha kuharibu Maisha ya mwanao utakayemzaa. Zaa na Mwanaume wako.

Acha kuvuruga nyumba za Watu. Usiwe Mkosi na janga katika Maisha yako.

Epuka kuolewa MKE mwenza, hakuna kitu kama Hicho. Ni kujidanganya tuu. Ni tamaa zetu wanaume na ubinafsi wetu. Hakunaga mambo ya hivyo. Ni kuharibu Maisha tuu.

Ni Bora uwe mvumilivu na subira. Mpaka mume wako atakapofika ndio ufanye Maisha na kuanzisha familia Naye. Dunia ya sasa sio lelemama.

Ukivunja Kanuni za asili hata ungeunda sheria Kali vipi lazima mambo yazidi kuwa magumu.

Hakunaga msamiati usemao alinidanganya hana MKE. Huo ni Uongo mkubwa. Ulithibitishaje maneno yake.
Mwanaume yeyote kama upo serious naye na unahitaji awe Mumeo sharti umpe Kanuni zako kupima Nia yake. Mwambie afanye hima akuoe.

Elewa kuwa Mwana mpumbavu ni mzigo Kwa Mamaye, na hii inatokana na sababu kuwa Mama ndiye amebeba dhamana ya mtoto.

Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umesema vyema kabisa.
 
Ni watoto wangapi wamelelewa ndani ya ndoa na baba zao hawawatunzi iwapo kigezo cha mtoto kutunzwa na baba yake ni ndoa?

Sijasema popote wazazi wasiishi pamoja wala mabinti wabebe mimba nje ya ndoa, ila nasema iwapo mimba imetungwa haijalishi imetungwa ndani ya ndoa, nje au pembeni ji jukumu la baba kushiriki malezi kwa kuwa alijua matokeo ya ngono yanaweza leta mimba pia.

Kama ilivyo wajibu wa mwanamke kujikinga na mimba vivyo hivyo na mwanaume anatakiwa kuchukua tahadhali iwapo hahitaji mtoto ndio maana kuna kondomu, uloweke halafu uje useme hutaki unajitambua kweli wewe. Ulipokuwa unapanda mbengu ulidhani unapanda maharage?

Nasema una chuki, mihemko na akili kidogo kutokana na mfululizo wa maandiko yako yasiyokuwa na tija zaidi ya porojo na kufundisha wajinga wenzio ujinga.

Ni haki ya mtoto kutunzwa na baba na mama haijalishi kazaliwa katika mazingira gani kwa kuwa wote mlijua mkifanya ngono kitatokea nini kwa hiyo kama wewe mwanaume huhitaji mtoto tumia kondomu sio kuja kutafuta utetezi wa mwanamke kabeba mimba bila kuniambia kwani hukujua mbegu za kiume unazomwaga zinaleta mtoto au ulidhani zitazaa mihogo,hEBU ACHENI UPUUZI bwana jitambueni bro,

Mwanaume anayejitambua hawezi lalamika ujauzito kwa kuwa alikuwa na option ya kujadili kabla au kutumia kinga, uzembe wako mzigo wako.

Kwenye suala la ngono hakuna mwanaume anayejitambua.
Wanawake lazima waelewe kuwa Sisi wanaume tunapofanya ngono tupo Kwa lengo la kuridhisha Nafsi zetu.

Jukumu la mahusiano na ndoa lipo Kwa Mwanamke.

Tunachoangalia ni uhalisia bila kujali sheria zinatungwa vipi. Sheria haziondoi uhalisia.

Nimewashauri Wanawake waache kuzaa na wanaume waliooa Kwa uhakika wa Watoto wao kutunzwa ni asilimia 1% zilizobaki watahangaika wenyewe. Na huo ni uhalisia kwenye jamii na dunia yetu.

Wewe kama umeona ninahamasisha wanaume wasilee Watoto waliozaa nje ni Sawa Kwa sababu umeamua kuelewa hivyo.

Ila mada inajieleza.

Kwanza Baba Hana muda wa kuwafikiria Watoto wa nje hiyo ipo automatically.

Mwanamke gani atakubali azae na Mwanaume ambaye hafikirii mtoto wake?
 
Umesema vyema kabisa.

Ngoja Watu wajichanganye,
Mtu ati mpaka mtoto ahudumiwe mpaka Vikae vikao, wapelekane kwenye mabaraza mpaka Mahakamani.
Huoni tayari njia hiyo sio sahihi.

Wanawake waelewe kuwa asilimia 90% ya wanaume hawawafikirii Watoto wa nje, na ndio maana hawawahudumii.
 
Back
Top Bottom