Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Ya kwako imebakia mingap boss??Kwa hili
Kuna watu wana maisha mafupi sana😅
Itakua alishafarikimzabzab namba zinasomaje hapo kwako?
Kweli bossAcha basii
Mzee umezini na wangap?!Mungu wangu kumbe hii laki nlotunza nijenge nkamwagilie tu Moyoo
HahahahaItakua alishafariki
Rudia kusoma uziLabda sijakuelewa shangazi 🤔🤔🤔🤔
Nakufa jumanneKweli boss
Kwan we umeshazini na wangapi??
Mingi sana maana huku kijijini wake wa watu kuwapata ni mtihani🙌Ya kwako imebakia mingap boss??
Mim sizini, ndio nilikuwa nataka nianze kujifunza. Shida umenitisha 😀Kweli boss
Kwan we umeshazini na wangapi??
HahahahaNakufa jumanne
MAI GODI
DohMingi sana maana huku kijijini wake wa watu kuwapata ni mtihani🙌
Nikirejea mjini nitapunguza umri wa kuishi kidogo.