Ipo kutoka world bank, ni mradi wa mwendokasi hadi boko basihayaNimeona hili tangazo sijalielewa. Pesa ya kulipa fidia hilo eneo ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo kutoka world bank, ni mradi wa mwendokasi hadi boko basihayaNimeona hili tangazo sijalielewa. Pesa ya kulipa fidia hilo eneo ipo?
Hii ni hatari na nusu. Ngoja niufyate ila wametuwezaDar inapangwa upya, Sinza inasukwa upya, maeneo jirani na Mlimani City yanasukwa upya. Serikali inaenda kutwaa eneo la ukubwa wa mita za mraba 233,000 na kulipanga upya.
Maeneo kama Sinza yana viwanja vya 20/20, na maeneo hayo kwa sasa ndio ujenzi mkubwa wa maghorofa unakuja. Ni vyema serikali imeyatwaa maeneo hayo ili iyamiliki, ifute ramani ya eneo hilo, ifidie, kisha ilipange upya, na kugawa viwanja vikubwa kwa uwekezaji mkubwa.
Kama ujenzi ungeendelea kwa hali ilivyo, maeneo hayo yangekuwa hayana mvuto, na yenye msongamano.
Hii iende mpaka Tandale kwa awamu, tuipate Dar tunayoitaka.
View attachment 3171283
Basihaya maeneo yapi?Ayo maeneo serikali inataka kuweka karakana ya mwendokasi pale mbuyuni na mji mpya wa mashimoni, na pale boko basihaya wanaweka stendi kuu ya mwendokasi
Pale eneo kubwa la wazi karibu na office za dawasa,kuna mti mkubwa wa mbuyuBasihaya maeneo yapi?
Mkuu,Umetoa point za maana sana, hongera, lakini Fahamu,
Mapinga pinga chadomo yataanza kuzua maneno ya SHOMBO, ccm songa mbele!...
Katika operation zao wafikirie pia kuitwa VINGUNGUTI.
Huenda wanaweka mradi mkubwa hapo, najua pana barabara ya mwendokasi pia. Kosa lilifanyika kuipanga Dar linaendelea kufanyika hata katika yale maeneo mapya yanayopimwa kwa sasa.Wakifanikiwa kuipanga upya kimakazi Dar! Na baadae kufanya haya nchi nzima! Hili linaweza kuwa jambo kubwa zaidi la kimaendeleo kuwahi kufanywa katika nchi hii.
Ila kama kupanga na kuijenga upya waanze na maeneo yaliyojengwa vibaya zaidi kama Manzese, Kigogo, Mbagala, Mabibo na kwingneko. Then ndo waende hayo maeneo mengine.
Kuna wapuuzi walianza kuingiza uchama na ukunguni, sorry, ndipo nikaona niwaungie hapo hapo! ☺Mkuu,
Si lazima kuweka habari za chama.
Mimi nimeandika bila kuweka habari za chama hapo.
Kumbe ni huko! Sisi ambao tupo msikitini nadhani tutaponaPale eneo kubwa la wazi karibu na office za dawasa,kuna mti mkubwa wa mbuyu
Boko Msikitini mbali sana,mi kuna sehemu nna kibanda changu nahisi tutafikiwa tu,uzuri Samia sio kama Magufuli atalipa fidia kwa uwaziKumbe ni huko! Sisi ambao tupo msikitini nadhani tutapona
Piga ghorofa 20 kwenda juu tu hapo. Ofisi na apartments.
Panga parking za magari za kutosha.
Ongeza miundombinu ya kuongeza maji. Wekeza kwenye mifumo ya maji ya zimamoto na ofisi/ vifaa vyao.
Weka usafiri wa kueleweka wa mwendokasi.
Panga mitaa na shule, parks, open spaces etc.
Dar es salamm ina population growth rate ya 5%. Kwa rate hii, Dar ita double population kila baada ya miaka 15.
Serikali inatakiwa kujiandaa na mfumuko huu. By 2040 Dar itakuwa na watu mara mbili ya sasa.
Njia pekee ya kueleweka kujiandaa ni kujenga kuenda juu.
Dar inapangwa upya, Sinza inasukwa upya, maeneo jirani na Mlimani City yanasukwa upya. Serikali inaenda kutwaa eneo la ukubwa wa mita za mraba 233,000 na kulipanga upya.
Maeneo kama Sinza yana viwanja vya 20/20, na maeneo hayo kwa sasa ndio ujenzi mkubwa wa maghorofa unakuja. Ni vyema serikali imeyatwaa maeneo hayo ili iyamiliki, ifute ramani ya eneo hilo, ifidie, kisha ilipange upya, na kugawa viwanja vikubwa kwa uwekezaji mkubwa.
Kama ujenzi ungeendelea kwa hali ilivyo, maeneo hayo yangekuwa hayana mvuto, na yenye msongamano.
Hii iende mpaka Tandale kwa awamu, tuipate Dar tunayoitaka.
View attachment 3171283
Watawala wameamua kujigawia maeneo sio?Dar inapangwa upya, Sinza inasukwa upya, maeneo jirani na Mlimani City yanasukwa upya. Serikali inaenda kutwaa eneo la ukubwa wa mita za mraba 233,000 na kulipanga upya.
Maeneo kama Sinza yana viwanja vya 20/20, na maeneo hayo kwa sasa ndio ujenzi mkubwa wa maghorofa unakuja. Ni vyema serikali imeyatwaa maeneo hayo ili iyamiliki, ifute ramani ya eneo hilo, ifidie, kisha ilipange upya, na kugawa viwanja vikubwa kwa uwekezaji mkubwa.
Kama ujenzi ungeendelea kwa hali ilivyo, maeneo hayo yangekuwa hayana mvuto, na yenye msongamano.
Hii iende mpaka Tandale kwa awamu, tuipate Dar tunayoitaka.
View attachment 3171283
Watu mbona walisha pewa taarifa ambao hawana uwezo wa kupandisha ghorofa nne wata fidiwaNna kibanda changu pale Sinza Mori ngoja nifatilie 🐼
Ok,kwaiyo hapo si inatakiwa wananchi wapelekewe taarifa ya maandishi(kama Notice) na wafanyiwe tasmini, square mtr 233,000 eneo kubwa , boko basiaya nadhani lile eneo la wazi karibu na office za Dawasa, na kunduchi kule palipokuwa machimbo zamani,ambako kwasasa wana hati na walishapimiwa
Ndio nasikia Leo Bwashee 😄Watu mbona walisha pewa taarifa ambao hawana uwezo wa kupandisha ghorofa nne wata fidiwa
Mkuu hilo ni eneo dogo sana, sio la kuleta mabadiliko makubwa kiasi cha kuifanya Dar-es-salaam iitwe Dar-es-salaam mpya. Hizo ni ekari 47 tu.Dar inapangwa upya, Sinza inasukwa upya, maeneo jirani na Mlimani City yanasukwa upya. Serikali inaenda kutwaa eneo la ukubwa wa mita za mraba 233,000 na kulipanga upya.
Maeneo kama Sinza yana viwanja vya 20/20, na maeneo hayo kwa sasa ndio ujenzi mkubwa wa maghorofa unakuja. Ni vyema serikali imeyatwaa maeneo hayo ili iyamiliki, ifute ramani ya eneo hilo, ifidie, kisha ilipange upya, na kugawa viwanja vikubwa kwa uwekezaji mkubwa.
Kama ujenzi ungeendelea kwa hali ilivyo, maeneo hayo yangekuwa hayana mvuto, na yenye msongamano.
Hii iende mpaka Tandale kwa awamu, tuipate Dar tunayoitaka.
View attachment 3171283
Mkuu usistushwe na ukubwa kwa mita za mraba. Ukubwa huo ni mdogo sana maana mita za mraba zilizotajwa hapo ni sawa na ekari 47 tu ambazo pia hazipo pamoja.Dar inapangwa upya, Sinza inasukwa upya, maeneo jirani na Mlimani City yanasukwa upya. Serikali inaenda kutwaa eneo la ukubwa wa mita za mraba 233,000 na kulipanga upya.
Maeneo kama Sinza yana viwanja vya 20/20, na maeneo hayo kwa sasa ndio ujenzi mkubwa wa maghorofa unakuja. Ni vyema serikali imeyatwaa maeneo hayo ili iyamiliki, ifute ramani ya eneo hilo, ifidie, kisha ilipange upya, na kugawa viwanja vikubwa kwa uwekezaji mkubwa.
Kama ujenzi ungeendelea kwa hali ilivyo, maeneo hayo yangekuwa hayana mvuto, na yenye msongamano.
Hii iende mpaka Tandale kwa awamu, tuipate Dar tunayoitaka.
View attachment 3171283