Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

Tanzania haikuumbwa kwa ajili ya kila mwekezaji dunia nzima kuja kupewa ardhi hapa.

Hao wananchi unaoshabikia wanyang'anywe ardhi zao uelewe maisha yao ya kiuchumi na kijamii yamefungamanishwa na mahali hapo wanapotaka kuhamishwa. Hivyo kitendo cha kuwaondoa hapo tu hata kama wanalipwa fidia kwanza hiyo fidia sio market value na haiwawezeshi kupata naeneo mengine yenye hadhi sawa na hapo hivyo watarudishwa nyuma kiuchumi na mfumo wao wa maisha utavurugika. Mtu aliyekuwa anapangisha nyumba yake sinza na kuingiza kipato tayari anerudi katika umaskini mkubwa.

Pili hao watu wanaohamishwq wanaenda wapi na kwa gharama za nani?

Kinachofanya makazi yawe duni ni hali za kiuchumi za wananchi hivyo hata majengo ya kisasa, yakijengwa bado kama mtu hana kipato kikubwa hataweza kupanga na kuishi.

Hii sheria ya ardhi inayoruhusu mwananchi kunyang'anywa ardhi yake kwa manufaa ya umma ilipaswa kuvadilishwa.
Ume assume mengi sana ambayo sijasema.

Ume assume nimesema kila mwekezaji wa dunia nzima aje kupewa ardhi hapo. Sijasema hili.

Ume assume nataka wananchi waondolewe hapo. Sijasema hilo.

Ume assume nataka walipwe fidia isiyo market value. Sijasema hilo.

Ume assume sijui kuwa kuna masuala mengine ya uchumi yanayotakiwa kufanyiwa kazi. Sijasema hilo.

Kote humo ume assume wrong.

Mimi Bibi yangu alikuwa na nyumba hapo Sinza si mbali na Mlimani City. Kuna mjomba wangu karithi yupo mpaka leo.

Ukivunja nyumba kama zile tano na kujenga ghorofa 25, halafu pale chini ghorofa ya chini kabisa kukawa na nyumba tano za wale uliowavunjia nyumba wabaki palepale, ukawalipa fidia ya kuvunja nyumba zao (ya sentimental value)halafu uwaache wawe pale ghorofa ya chini wapangishe watu au kutumia kama nyumba au biashara, hapo unahitaji kuwahamisha waende wapi tena?

Huoni kwamba kuwa hapo si tu hujawahamisha, bali pia umewaongezea value sehemu hiyo itakuwa inavutia biashara zaidi, wanaweza kuzidisha rent na wakiamua kufanya biashara wanaweza kufanya biashara kubwa zaidi?
 
Piga ghorofa 20 kwenda juu tu hapo. Ofisi na apartments.

Panga parking za magari za kutosha.

Ongeza miundombinu ya kuongeza maji. Wekeza kwenye mifumo ya maji ya zimamoto na ofisi/ vifaa vyao.

Weka usafiri wa kueleweka wa mwendokasi.

Panga mitaa na shule, parks, open spaces etc.

Dar es salamm ina population growth rate ya 5%. Kwa rate hii, Dar ita double population kila baada ya miaka 15.

Serikali inatakiwa kujiandaa na mfumuko huu. By 2040 Dar itakuwa na watu mara mbili ya sasa.

Njia pekee ya kueleweka kujiandaa ni kujenga kuenda juu.
Kwa ulichoandika bongo hii Ni hasara tu, maghorofa mengi marefu hayana wapangaji. Ukiongeza watatoka wapi?

CAG kwenye report yake ya 2021-2022 alilizungumza hili mashirika mengi yenye maghorofa makubwa hayana wapangaji

Pspf towers mule ndani kweupe mwaka wa ngapi huu

Posta inaanza kugeuka kuwa ghost town.

Hapo sinza tu PSSSF tower haina wapangaji. Pamoja na uzuri wote ule, location nzuri nk
 
Wakifanikiwa kuipanga upya kimakazi Dar! Na baadae kufanya haya nchi nzima! Hili linaweza kuwa jambo kubwa zaidi la kimaendeleo kuwahi kufanywa katika nchi hii.

Ila kama kupanga na kuijenga upya waanze na maeneo yaliyojengwa vibaya zaidi kama Manzese, Kigogo, Mbagala, Mabibo na kwingneko. Then ndo waende hayo maeneo mengine.
Ndoto hizo. Hayo ili yafanyike yanahitaji pesa na muda mrefu. Hiyo pesa ipo wapi?
 
Hamna kitu. Ujinga mtupu na uchochoro wa kuiba hela unaandaliwa.
Nchi kubwa hii. Serikali Ina uwezo mkubwa wa kujenga mji MPYA kabisa let say Bagamoyo ambapo mapori mengi wanafuga wamasai na wamang'ati...... Hiyo hela ya fidia inatosha kufidia maeneo makubwa zaidi bagamoyo na kuweka miundombinu......
 
Ume assume mengi sana ambayo sijasema.

Ume assume nimesema kila mwekezaji wa dunia nzima aje kupewa ardhi hapo. Sijasema hili.

Ume assume nataka wananchi waondolewe hapo. Sijasema hilo.

Ume assume nataka walipwe fidia isiyo market value. Sijasema hilo.

Ume assume sijui kuwa kuna masuala mengine ya uchumi yanayotakiwa kufanyiwa kazi. Sijasema hilo.

Kote humo ume assume wrong.

Mimi Bibi yangu alikuwa na nyumba hapo Sinza si mbali na Mlimani City. Kuna mjomba wangu karithi yupo mpaka leo.

Ukivunja nyumba kama zile tano na kujenga ghorofa 25, halafu pale chini ghorofa ya chini kabisa kukawa na nyumba tano za wale uliowavunjia nyumba wabaki palepale, ukawalipa fidia ya kuvunja nyumba zao (ya sentimental value)halafu uwaache wawe pale ghorofa ya chini wapangishe watu au kutumia kama nyumba au biashara, hapo unahitaji kuwahamisha waende wapi tena?

Huoni kwamba kuwa hapo si tu hujawahamisha, bali pia umewaongezea value sehemu hiyo itakuwa inavutia biashara zaidi, wanaweza kuzidisha rent na wakiamua jufanya biashara wanaweza jufanya biashara kubwa zaidi?
👏👏👏
 
Kwa ulichoandika bongo hii Ni hasara tu, maghorofa mengi marefu hayana wapangaji. Ukiongeza watatoka wapi?

CAG kwenye report yake ya 2021-2022 alilizungumza hili mashirika mengi yenye maghorofa makubwa hayana wapangaji

Pspf towers mule ndani kweupe mwaka wa ngapi huu

Posta inaanza kugeuka kuwa ghost town.

Hapo sinza tu PSSSF tower haina wapangaji. Pamoja na uzuri wote ule, location nzuri nk
Maghorofa mengi hayana wapangaji kwa sababu rent zimewekwa juu artificially. Pia hizo nyingi ni commercial properties nyingi si residential apartments.

Pia, rent inakuwa juu kwa kufuata sheria za demand and supply. Ukijenga maghorofa mengi kukawa na apartments nyingi, rent zitashuka tu, kwa sababu kutakuwa na supply kubwa itakayoshusha bei kwa kanuni kwamba bei inapatikana kutokana na nguvu za demand and supply.

Ukiweka rent zinazoendana na vipato vya watu, apartments za kukaa watu hazikosi watu, watu wako wanatafuta nyumba, tatizo ni rent kuwa juu artificially tena kwenye commercial properties. Mimi naongelea apartments za kukaa watu, tena ikibidi ziwekewe hata government subsidies kwa watu wenye kipato cha chini wapate makazi bora.

Mpaka nchi za kibwpari kama Marekani zina schemws kama hizi za Section 8.

Serikali ikiwa na mipango mizuri inaweza kuoanga hivi na kuwainua hawa watu kiuchumi mpaka wakaweza kuzinunua hizo apartments.
 
Hamna kitu. Ujinga mtupu na uchochoro wa kuiba hela unaandaliwa.
Nchi kubwa hii. Serikali Ina uwezo mkubwa wa kujenga mji MPYA kabisa let say Bagamoyo ambapo mapori mengi wanafuga wamasai na wamang'ati...... Hiyo hela ya fidia inatosha kufidia maeneo makubwa zaidi bagamoyo na kuweka miundombinu......
Mkuu ni kwajili ya stendi ya mwendokasi na karakana zake pia,sio maghorofa ya anasa
 
Hamna kitu. Ujinga mtupu na uchochoro wa kuiba hela unaandaliwa.
Nchi kubwa hii. Serikali Ina uwezo mkubwa wa kujenga mji MPYA kabisa let say Bagamoyo ambapo mapori mengi wanafuga wamasai na wamang'ati...... Hiyo hela ya fidia inatosha kufidia maeneo makubwa zaidi bagamoyo na kuweka miundombinu......
Umeambiwa Jiji linaboreshwa
 
Piga ghorofa 20 kwenda juu tu hapo. Ofisi na apartments.

Panga parking za magari za kutosha.

Ongeza miundombinu ya kuongeza maji. Wekeza kwenye mifumo ya maji ya zimamoto na ofisi/ vifaa vyao.

Weka usafiri wa kueleweka wa mwendokasi.

Panga mitaa na shule, parks, open spaces etc.

Dar es salamm ina population growth rate ya 5%. Kwa rate hii, Dar ita double population kila baada ya miaka 15.

Serikali inatakiwa kujiandaa na mfumuko huu. By 2040 Dar itakuwa na watu mara mbili ya sasa.

Njia pekee ya kueleweka kujiandaa ni kujenga kuenda juu.
Kwa sasa ni 8 milion only in Daresalaam
 
Kwa sasa ni 8 milion only in Daresalaam
By 2040 hiyo inakuwa 16 million.

Ni kama unaongeza Dar nyingine ndani ya Dar.

Bila kujenga kwa kwenda juu tutabanana sana.

Pia itabidi tufanye kazi masaa 24, karibu kila ofisi iwe wazi masaa 24, watu wagawane shift, wengine usiku, wengine mchana.
 
Maghorofa mengi hayana wapangaji kwa sababu rent zimewekwa juu artificially. Pia hizo nyingi ni commercial properties nyingi si residential apartments.

Pia, rent inakuwa juu kwa kufuata sheria za demand and supply. Ukijenga maghorofa mengi kukawa na apartments nyingi, rent zitashuka tu, kwa sababu kutakuwa na supply kubwa itakayoshusha bei kwa kanuni kwamba bei inapatikana kutokana na nguvu za demand and supply.

Ukiweka rent zinazoendana na vipato vya watu, apartments za kukaa watu hazikosi watu, watu wako wanatafuta nyumba, tatizo ni rent kuwa juu artificially tena kwenye commercial properties. Mimi naongelea apartments za kukaa watu, tena ikibidi ziwekewe hata government subsidies kwa watu wenye kipato cha chini wapate makazi bora.

Mpaka nchi za kibwpari kama Marekani zina schemws kama hizi za Section 8.

Serikali ikiwa na mipango mizuri inaweza kuoanga hivi na kuwainua hawa watu kiuchumi mpaka wakaweza kuzinunua hizo apartments.
Wala sababu sio rent. Wapo wanalipa rent kubwa chini kuliko ambayo ipo kwenye hizo sky scrappers.

Maghorofa yapo mengi posta na hayana watu, Hilo la demand na supply na kuleta unafuu wa rent mbona bado hakuna watu?

Ukiwa unazungumza haya unapaswa kujua unazungumzia Tanzania ambayo 50% ya population cant afford three meals.

Hilo la government subsidies liondoe maana ni wazo ambao uhalisia wake haupo. NHC wamefanya projects na husema wanaweka subsidies gharama nafuu but still two bedrooms apartment inacosr around mil 200. Nani wa ku afford kulipa mil 200 kwa room mbili?
 
Back
Top Bottom