Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

Hamna kitu. Ujinga mtupu na uchochoro wa kuiba hela unaandaliwa.
Nchi kubwa hii. Serikali Ina uwezo mkubwa wa kujenga mji MPYA kabisa let say Bagamoyo ambapo mapori mengi wanafuga wamasai na wamang'ati...... Hiyo hela ya fidia inatosha kufidia maeneo makubwa zaidi bagamoyo na kuweka miundombinu......
Nafikiri kuna haja ya ku address tatizo la makazi la Dar ambapo watu wanaenda.

Kama mji mpya serikali imehamisha makao makuu ya nchi, capital city, kwenda Dodoma, tangu miaka ya 1970s, lakini mpaka leo watu hawataki kwenda wanakaa Dar.

Hata rais muda mwingi yupo Dar.

Mabalozi wako Dar.

Unapoona maji yanashuka kutoka mlimani kuja chini baharini, usiyalazinishe yapande mlima, fanya mambo yako yaende na mkondo wa maji kwenda chini.
 
Mkuu hilo ni eneo dogo sana, sio la kuleta mabadiliko makubwa kiasi cha kuifanya Dar-es-salaam iitwe Dar-es-salaam mpya. Hizo ni ekari 47 tu.

Mkuu usistushwe na ukubwa kwa mita za mraba. Ukubwa huo ni mdogo sana maana mita za mraba zilizotajwa hapo ni sawa na ekari 47 tu ambazo pia hazipo pamoja.

Mkuu, ukilinganisha na ukubwa wa mji wa Dar-es-salaam ambao una ukubwa wa ekari 285,714, hizo ekari 47 hazina impact kiasi hicho!!

Ni kweli lakini mabadiliko huwa lazima yaanzie mahali, tuwapongeze wote wanahusika kwa nia njema hii! Eka 47 sio mradi mdogo kwa nchi maskini kwa viwango vya namna yoyote mkuu! Nchi yetu ilishakuwa na kimachinga sana. Residential areas zote ni kama slums na hamna miundombinu hata ya fire tu, then kila kona zimejengwa frames tu hamna hata discipline wala mwongozo wowote! Najua wengi sana wataathirika ila pia italeta tabia ya watu kununua maeneo yaliyopimwa sasa sio mashamba pori
 
Wala sababu sio rent. Wapo wanalipa rent kubwa chini kuliko ambayo ipo kwenye hizo sky scrappers.

Maghorofa yapo mengi post na hayana watu, Hilo la demand na supply na kuleta unafuu wa rent mbona bado hakuna watu?

Ukiwa unazungumza haya unapaswa kujua unazungumzia Tanzania ambayo 50% ya population cant afford three meals.

Hilo la government subsidies liondoe maana ni wazo ambao uhalisia wake haupo. NHC wamefanya projects na husema wanaweka subsidies gharama nafuu but still two bedrooms apartment inacosr around mil 200. Nani wa ku afford kulipa mil 200 kwa room mbili?
Mkuu,

Mbona unajichanganya?

Unasema tatizo si rent, halafu unasema Tanzania 50% ya watu hawawezi ku afford three meals.

Sasa huoni kuwa nchi ambayo 50% watu hawawezi ju affird three neals, hapo rent automatically ni kipengele kwa 50% ya market?

Maghorofa mengi unayosema ni mangapi?
 
By 2040 hiyo inakuwa 16 million.

Ni kama unaongeza Dar nyingine ndani ya Dar.

Bila kujenga kwa kwenda juu tutabanana sana.

Pia itabidi tufanye kazi masaa 24, karibu kila ofisi iwe wazi masaa 24, watu wagawane shift, wengine usiku, wengine mchana.
H
Mkuu,

Mbona unajichanganya?

Unasema tatizo si rent, halafu unasema Tanzania 50% ya watu hawawezi ku afford three meals.

Sasa huoni kuwa nchi ambayo 50% watu hawawezi ju affird three neals, hapo rent automatically ni kipengele kwa 50% ya market?

Maghorofa mengi unayosema ni mangapi?
Mimi najichanganya au wewe?
Wewe unaamini sababu ni rent kubwa, mm nakuambia sababu sio ukubwa wa rent Bali uchumi tulionao hauruhusu.

Hata rent ilishushwa bado sehemu kubwa itabaki wazi sababu uchumi wa watu hauruhusu. Wewe umeandika nadharia. Mambo ya kufikirika zaidi ikiwa uhalisia hauendani kabisa

Unasema yajazwe maghorofa hapo kwenda juu, bila kujua wataojenga hayo maghorofa watapata hasara sababu uchumi wa watu upo chini. Ndio nikakutolea mfano hapo sinza Kuna psssf tower ipo wazi hadi leo hii
 
Ndoto hizo. Hayo ili yafanyike yanahitaji pesa na muda mrefu. Hiyo pesa ipo wapi?

Inawezekana kabisa, tangazo likitoka ina maana muda wowote kutafanyika mabadilko na ramani ikitoka maana yake inavuta hata wawekezaji na watu binafsi kununua na kujenga upya! Haimaanishi ni serikali itafanya kila kitu, itafanya vitu vyake tu kama kusimamia na kuweka miundombinu tu, hili limechelewa sana angalau wamethubutu tuwapongeze
 
Nafikiri kuna haja ya ku address tatizo la makazi la Dar ambapo watu wanaenda.

Kama mji mpya serikali imehamisha makao makuu ya nchi, capital city, kwenda Dodoma, tangu miaka ya 1970s, lakini mpaka leo watu hawataki kwenda wanakaa Dar.

Hata rais muda mwingi yupo Dar.

Mabalozi wako Dar.

Unapoona maji yanashuka kutoka mlimani kuja chini baharini, usiyalazinishe yapande mlima, fanya mambo yako yaende na mkondo wa maji kwenda chini.
Sawa kabisa. Hatukatai basi wa- annex Bagamoyo iingizwe Dar halafu ijengwe upya na kwa mpangilio..
 
Hawaboreshi mkoa bwashee bali Wanaboresha Jiji 😂

Support us
The Guardian - Back to homeThe Guardian: news website of the year
News
Opinion
Sport
Culture
Lifestyle

Prospective buyers look at a model of Forest City – a ‘new Singapore’ taking shape over the Johor Strait from the original.
Show caption
Cities from scratch
Should we build cities from scratch?
With another 2.5 billion urban dwellers predicted within the next 30 years, should we expand existing cities? Or is there a case for starting afresh?

Do you live in a city planned from scratch? Share your story
Wade Shepard
Wed 10 Jul 2019 06.00 BST
Share on FacebookShare on TwitterShare via Email
5 years old
People have been building new cities from scratch for millennia. From the foundation myths surrounding Athens and Rome, to the clearance of virgin forests in western New York state to create the “garden city” of Buffalo, to scores of purpose-built capitals – Brasília, Canberra, Astana, Washington DC – building new cities is just something that humans do.

When countries rise up, when markets emerge, people build new cities. Today, though, we are taking it to unheard-of levels. We have never before built so many new cities in so many places at such great expense as we are right now.

We’re going to develop more urban area in the next 100 years than already exist on Earth
New dots have been popping up on the maps of countries such as China, Malaysia, Indonesia, Nigeria and India with unprecedented frequency since the late 1990s, and more than 120 new cities are currently being built in 40 nations around the world.


Avant-garde developments like Shenzhen and Pudong blazed new economic trails until they eventually widened into the boulevards of a new status quo for the emerging markets of the world.

We are standing on the precipice of a new city building boom unlike anything we’ve seen before. These shiny new metropolises hold the dreams and aspirations of people and nations from east Asia to the Middle East to Africa. Will they deliver a bright new urban future or a debt-fuelled bubble of historic proportions?

Brasilia was founded in 1960 to move the capital from Rio de Janeiro to a more central location.
Brasilia was founded in 1960 to move the capital from Rio de Janeiro to a more central location. Photograph: DigitalGlobe/REX Shutterstock
A one-stop cure-all?
The new city has been sold as a one-stop cure-all for an array of urban and economic issues facing emerging markets around the world: overcrowding, pollution, traffic congestion, housing shortages, lack of green space and economic stagnation, to name a few. By starting from scratch, governments hope to move on from their current clogged and dysfunctional urban centres and develop new economic sectors to help them leapfrog other nations. City building itself can also be a highly profitable endeavour for some.

Q&A
What is the Cities from Scratch series?

Show
At first glance, many new cities appear to openly defy economic fundamentals. What are emerging markets – “poor countries” – doing building some of the most technologically advanced, expensive cities on earth? Why is the dusty, remote Kazakh border town of Khorgos turning into what is claimed will become a “new Dubai”? How come oil-dependent Oman is erecting Duqm – a metropolis twice the size of Singapore – in the middle of the desert?

“The major reason for new cities is that there is so much migration,” says John Macomber, a senior lecturer at Harvard Business School who has studied new city development in depth. “People are moving to cities all over the world to seek opportunity.”

The city of Khorgos – a key dry port on the New Silk Road – rises from the steppe on the China-Kazakhstan border.
The city of Khorgos – a key dry port on the New Silk Road – rises from the steppe on the China-Kazakhstan border. Photograph: Danil Usmanov/The Guardian
According to the UN, 68% of the world’s population will be living in cities by 2050. This means 2.5 billion more city dwellers, with 90% of the uptake happening in Asia and Africa. Half of the urban area that will be needed hasn’t been built yet. We would need scores more Delhis, Shanghais and Lagoses.

“The sad thing is that we’re going to develop more urban area in the next 100 years than currently exists on Earth,” says the Nobel prize-winning economist Paul Romer of New York University. “If we stick to business as usual most of it is going to be disorderly and less functional than the stuff we already have.”

If you build a new city you don’t have to relocate or work around existing roads, rivers, factories or houses
It doesn’t take a Nobel winner to see that many of the existing cities of Asia and Africa are simply not able to handle this onslaught of urbanisation. Cairo was built to house 1 million people, not the 20 million who live there today. Cities such as Mumbai, Kolkata, Lagos, Nairobi and Rio de Janeiro are crowded by rings of informal developments. Retrofitting these cities with modern infrastructure and utilities is more complicated and expensive than clearing out a swathe of land and starting all over again.

As Macomber says: “If you build a new city you don’t have to relocate or work around existing roads or rivers or factories or houses. You also don’t have to work around existing political processes, community groups, civic organisations … or even existing regulations and rules.”

‘A wild west atmosphere’
As well as being less complicated and cheaper than retrofitting old cities, building new cities is seen by many leaders as more profitable – and sexier. At the height of China’s new city building boom in 2011, land sales accounted for roughly 74% of the revenue stream for the country’s municipal governments and plots of urban construction land were selling at a 40-fold profit. Emerging markets that are actively reconstructing themselves – both physically and in terms of their global image – tend to have economies that are driven by the real estate and construction sectors. For them, building an entirely new city is the pinnacle of projects.

“Neoliberalism and deregulation have created a wild west atmosphere that facilitates the circulation of footloose capital globally,” says Sarah Moser, a geography professor at McGill University and the author of the upcoming Atlas of New Cities. “It is easier now than in previous decades to acquire vast tracts of land and to then use that land for any purpose, including urban and commercial.

A computer render of how Duqm in Oman is planned to look. At present the site is still mostly desert.
A computer render of how Duqm in Oman is planned to look. At present the site is still mostly desert. Photograph: SOM
“Technology companies, construction companies, and the real estate industry are leveraging the many challenges facing cities in the global south to convince people that new cities are an important solution rather than fixing existing cities, which is not as profitable.”

Development firms such as New York’s Gale International and South Korea’s Posco are peddling copies of Songdo LINK around the world. Architects such as KPF and Arup are drawing up attention-grabbing masterplans lined with skyscrapers, parks and shopping malls reminiscent of New York, London and Dubai. And big tech firms such as Cisco, Alibaba and Tencent are keen to provision these new cities with cutting edge IT networks and public surveillance gizmos.

The developer’s goal is to maximise profits … There is not much money to be made in affordable family housing
The money being thrown at new cities is staggering. Saudi Arabia’s King Abdullah Economic City comes at a price tag of $100bn (£78bn), while the country’s Neom megalopolis is slated to cost five times that. Malaysia’s Forest City had its price initially pegged at $100bn, while Ordos Kangbashi cost a hulking $161bn. Adding up the costs of more than 120 new cities around the world means a mountain of investment that can be measured in the trillions of dollars – but the returns are far from given.

“Too often a best-case scenario of potential economic rewards is presented and the project is rushed through when decision makers are on a utopian high,” says Moser. “The reality is that new city projects can only move forward with massive loans, often from foreign banks, with no guarantee that the city will be profitable enough to repay the loans.”

New cities that work
“Cities have to have a purpose,” Macomber says. “It’s a common mistake that has been made for centuries where a ruler will say ‘Let’s build some buildings and palaces and some things will happen’ or ‘Let’s put up a couple big office buildings and now we’re going to have a Dubai on the Indian Ocean’. Not necessarily. The new cities that struggle are the ones that are pushing against what market forces want to do.”

New cities that work have built-in economic drivers that give them their impetus and reason for being. Khorgos on the China-Kazakhstan border was sparked to life by a transportation hub along the New Silk Road; Cyberjaya in Malaysia was built as a concentrated hub of hi-tech firms, startups and educational facilities; South Korea’s Songdo is one of the best examples of an “aerotropolis” – a city built around an airport.

Songdo at night, Incheon, South Korea.
Songdo in South Korea, which brands itself as a ‘ubiquitous city’ full of sensors and surveillance. Photograph: Sungjin Kim/Getty Images
Other new cities could be described as superfluous – custom-built cities for the rich. “Some of these developments are imagined as the gated communities of privilege,” says Romer. “Like Brasília: ‘The place where we will be able to drive really fast in our cars. We’ll just not let any poor people come here.’ Those things are doomed to fail.


“They’re also an inappropriate response to the real need, which is not for the rich to have a place to retreat to but for people who want to get a first position on the kind of urban, modern escalator that can help lift them and their kids to a better life.”

Many new cities that are currently being built in Asia and Africa are clearly being designed for emerging middle classes. If provided with the right opportunities, this well-educated, big spending and highly mobile sector of society can be a boon for just about any country. If those opportunities are not provided they are especially prone to flight – emigrating to better jobs and lifestyles in the US, Canada and western Europe.

The new city building boom is nearly as much about maintaining and attracting high-value talent as it is about creating space for the droves of rural migrants searching for their first handholds in an urban environment.

“Many new cities are scrambling to attract these global elites through creating luxury properties that they can buy, luxury retail and restaurants, and infrastructure for their lavish hobbies: particularly docking facilities for yachts,” says Moser.

“The developer’s goal is to maximise profits and this is done in large part by creating luxury condos and villas. There is not much money to be made in affordable family housing, so developers are not interested.”

Wade Shepard is the author of Ghost Cities of China, and On the New Silk Road

Follow Guardian Cities on Twitter, Facebook and Instagram to join the discussion, catch up on our best stories or sign up for our weekly newsletter


Topics
CitiesCities from scratch
ChinaKazakhstanMalaysiaAsia PacificSouth and central Asiaanalysis
Share on FacebookShare on TwitterShare via EmailShare on LinkedInShare on WhatsAppShare on Messenger
View on theguardian.com
About us
Contact us
Complaints and corrections
SecureDrop
Work for us
Privacy settings
Privacy policy
Cookie policy
Terms & conditions
Help
All topics
All writers
Modern Slavery Act
Digital newspaper archive
Facebook
Advertise with us
Search jobs
Patrons
Support the Guardian
Support us
Back to top
© 2024 Guardian News & Media Limited or its affiliated companies. All rights reserved.

Maandishi halisi
Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google
 
Kariakoo magorofa yatakuwa yanaporomoka tu
Hata drainage system hakuna hapo
Jipangeni upya
Mnahitaji miji mipya
Hata kuiga hatutaki tumekalia siasa tu
Duniani kote leo wameona athari za msongamano wa watu kwenye miji yao na sasa wanajenga miji mipya kabisa kuanzia mwanzo

Na miji mingine watakaa mpaka watu milioni
 
Ume assume mengi sana ambayo sijasema.

Ume assume nimesema kila mwekezaji wa dunia nzima aje kupewa ardhi hapo. Sijasema hili.

Ume assume nataka wananchi waondolewe hapo. Sijasema hilo.

Ume assume nataka walipwe fidia isiyo market value. Sijasema hilo.

Ume assume sijui kuwa kuna masuala mengine ya uchumi yanayotakiwa kufanyiwa kazi. Sijasema hilo.

Kote humo ume assume wrong.

Mimi Bibi yangu alikuwa na nyumba hapo Sinza si mbali na Mlimani City. Kuna mjomba wangu karithi yupo mpaka leo.

Ukivunja nyumba kama zile tano na kujenga ghorofa 25, halafu pale chini ghorofa ya chini kabisa kukawa na nyumba tano za wale uliowavunjia nyumba wabaki palepale, ukawalipa fidia ya kuvunja nyumba zao (ya sentimental value)halafu uwaache wawe pale ghorofa ya chini wapangishe watu au kutumia kama nyumba au biashara, hapo unahitaji kuwahamisha waende wapi tena?

Huoni kwamba kuwa hapo si tu hujawahamisha, bali pia umewaongezea value sehemu hiyo itakuwa inavutia biashara zaidi, wanaweza kuzidisha rent na wakiamua kufanya biashara wanaweza kufanya biashara kubwa zaidi?
Hizo ni alinacha, rejea bonde la msimbazi watu wamelipwa hela isiyozidi milioni mbili na kutakiwa waondoke. Usidhani msimbazi ni kwa ajili ya kujenga njia za mafuriko tu mpango uliopo ni kuwapa wawekezaji yale maeneo wajenge maghorofa lakini wamiliki halali wa hayo maeneo wamelipwa pesa kiduchu.

Huo mpango tegemea vilio na kusaga.meno kwa wamiliki wa hayo maeneo, subiri kidogo utaona watu wazima wanalia kama watoto wadogo including huyo mjomba wako.

Nchi hii unajengwa uchumi nyang'anyi sio uchumi jumuishi.
 
Inawezekana kabisa, tangazo likitoka ina maana muda wowote kutafanyika mabadilko na ramani ikitoka maana yake inavuta hata wawekezaji na watu binafsi kununua na kujenga upya! Haimaanisi ni serikali itafanya kila kitu, itafanya vitu vyake tu kama kusimamia na kuweka miundombinu tu, hili limechelewa sana angalau wamethubutu tuwapongeze
Unajua mnapenda kujadili vitu vya kufikirika sana. Story za hivi ndio mnapenda. Hilo tangazo na sijui ramani nani kakueleza?

Mm nakueleza uhalisia, pesa ya kulipa watu fidia kwa sqm200000+ inatoka wapi? Ubungo maziwa pale Kuna eneo linatakiwa kuchukuliwa na kulipwa fidia kwa ajili ya BRT depot, toka 2022 hadi leo kesi imeenda mahakamani sababu ya mgogoro wa pesa za fidia kwa wananchi 90 tu. Ni bilion 8 lakini mvutano wake sio kitoto. Leo eneo Kama sinza kwa sqm 200000 unategemea nn? Mnahisi pesa zipo tu?

Wawekezaji walipe fidia kubwa kwa eneo kama Hilo ili kuweka kitu gani kitachorudisha pesa iliyowekwa? Na huyo mwekezaji ni nani? Nakumbuka enzi za JK kulikua na hizi story za kigamboni itatengenezwa kama Dubai.

Nadhani ni Bora tujadili vitu halisia na sio hisia.
 
Dar inapangwa upya, Sinza inasukwa upya, maeneo jirani na Mlimani City yanasukwa upya. Serikali inaenda kutwaa eneo la ukubwa wa mita za mraba 233,000 na kulipanga upya.

Maeneo kama Sinza yana viwanja vya 20/20, na maeneo hayo kwa sasa ndio ujenzi mkubwa wa maghorofa unakuja. Ni vyema serikali imeyatwaa maeneo hayo ili iyamiliki, ifute ramani ya eneo hilo, ifidie, kisha ilipange upya, na kugawa viwanja vikubwa kwa uwekezaji mkubwa.

Kama ujenzi ungeendelea kwa hali ilivyo, maeneo hayo yangekuwa hayana mvuto, na yenye msongamano.

Hii iende mpaka Tandale kwa awamu, tuipate Dar tunayoitaka.
View attachment 3171283
Wanaweka karakana tu za mwendokasi hakuna kupanga upya waka nini, punguza uchawa
 
Wazo zuri nilikuwa nalo kichwani mda mrefu. Japo nilikuwa nafikiria wangeanzia kule buguruni.. wangewanunua wale watu halafu wakasimamisha magorofa. Dar ingependeza
 
Back
Top Bottom