Ukosefu wa ajira kwa vijana: Watoto wote wa viongozi wana ajira

Ukosefu wa ajira kwa vijana: Watoto wote wa viongozi wana ajira

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Nimekuwa nikiumizwa sana na vijana wengi wanaomaliza masomo kila mwaka na kukosa ajira.

Uchunguzi niliyofanya nimegundua kuwa ajira karibu zote zinagawiwa kwa watoto wa viongozi wa kisiasa na serikali.

Hakuna mtoto wa kiongozi asiye na ajira kama walivyo watoto wawakulima na wafanyakazi wa kawaida.

Tayari tumeishajenga matabaka katika jamii yetu, na hili ni bomu litakalotulipukia mda si mrefu sana.
 
Nimekuwa nikiumizwa sana na vijana wengi wanaomaliza masomo kila mwaka na kukosa ajira. Uchunguzi niliyofanya nimegundua kuwa ajira karibu zote zinagawiwa kwa watoto wa viongozi wa kisiasa na serikali. Hakuna mtoto wa kiongozi asiye na ajira kama walivyo watoto wawakulima na wafanyakazi wa kawaida.
Tayari tumeishajenga matabaka katika jamii yetu, na hili ni bomu litakalotulipukia mda si mrefu sana.
Kweli tupu
 
Sasa mbona viongozi wengine "vitoto vyao" bado vinasoma sekondari mkuu ?
 
Lini na ni nchi gani watoto wa Rais, Waziri, RC au wakuu wa Idara hawana ajira?

Na hata akikosa hutajua maana anamtaji wa kujiajiri.

Wengi wao hata sio waajiriwa wanabiashara zao.
 
Hili tatizo linazidi kuwa kubwa sana, na tunalichukulia kiwepesi sana, ila mtaani mambo sio mazuri kabisa..
 
Back
Top Bottom