Ukosefu wa ajira kwa vijana: Watoto wote wa viongozi wana ajira

Ukosefu wa ajira kwa vijana: Watoto wote wa viongozi wana ajira

Ingependeza hao watot wa viongozi ungewataja Ila siyo kutupakazia viongozi wote ahahah
 
Nimekuwa nikiumizwa sana na vijana wengi wanaomaliza masomo kila mwaka na kukosa ajira.

Uchunguzi niliyofanya nimegundua kuwa ajira karibu zote zinagawiwa kwa watoto wa viongozi wa kisiasa na serikali.

Hakuna mtoto wa kiongozi asiye na ajira kama walivyo watoto wawakulima na wafanyakazi wa kawaida.

Tayari tumeishajenga matabaka katika jamii yetu, na hili ni bomu litakalotulipukia mda si mrefu sana.
Kikinuka bado watawashikisha bunduki na kuzuia mipaka vijana wote msitoke bali mpigane, ila kipindi kumetulia wanakula good life.
Nimejifunza hili kutoka Ukrain, yaani raia analazimishwa apigane vita dhidi ya makombora ta Putini kipindi walikuwa wanakula mema hawakukumbuka vijana.
Kipindi kuna amani vijana hawakupewa bunduki wajilinde ila kumenuka silaha zimemwagwa kama njugu.
 
Ndo life lilivyo,fadher presidar mstaafu,maZa memba of parliament,dogo minista,dogo mwingine anaendesha chupa angani ,na familia nyingine,baby presidaa mstaafu,baba presidaa watoto lazima wale mashavu, wengine,maZa prezoo,watoto memba wa korido ya tunawakililsha,mtoto mmoja hasband wake minista,ndo laid lilivyo hivyo.
 
Tayari tumeishajenga matabaka katika jamii yetu, na hili ni bomu litakalotulipukia mda si mrefu sana.
Unamkumbuka yule mkwe wa mstaafu alikwenda kupanga foleni loan board ati naye hana fedha za kulipia ada ya masomo huku mumewe ni prince, hapo ndiyo ujue kuna familia zina overeat
 
Zis kantrii bana.. inasikitisha
 
Hii kitu jpm alikuwa ameiweza kazi zikitoka anapata kazi mwenye sifa.sasa hivi mtoto wa fulani ndo anapata kazi
 
Nimekuwa nikiumizwa sana na vijana wengi wanaomaliza masomo kila mwaka na kukosa ajira.

Uchunguzi niliyofanya nimegundua kuwa ajira karibu zote zinagawiwa kwa watoto wa viongozi wa kisiasa na serikali.

Hakuna mtoto wa kiongozi asiye na ajira kama walivyo watoto wawakulima na wafanyakazi wa kawaida.

Tayari tumeishajenga matabaka katika jamii yetu, na hili ni bomu litakalotulipukia mda si mrefu sana.
Mkuuu
Mimi Kibori Nangai nakuunga Mkono kwa 100%
Mwaka 2020

Nilistaafu kwenda Utumishi kugombea nafasi za kazi Serikalini.

Na ninawaasa vijana wenzangu msipoteze muda

Haiwezekani shemeji yake mwigulu asipate kazi mimi mtoto wa huko Ndani Ngorongoro nipate

Na tena serikali ilivyo katili inataka kutunyang'Anya aridhi yetuu

Kazi hawanipi aridhi wananinyanganya oil
Hii nchi ngumu sana😭😭😭👁👁👁
 
Hata ingelikua mimi ningelianza na wa nyumbani na wa karibu na kwangu.......hii ni hulka yetu wanadamu
 
Back
Top Bottom