Ukosefu wa maadili unatisha kwa kasi unayoporomoka Tanzania

Wazazi/Walezi/Walimu/Viongozi wa dini wajitambue na kulichukua jukumu la malezi serious,Serikali pia ihusike kwa namna moja ama nyingine.
Hapo ndo tatizo linapozidi,tatizo la jamii sio la kiserikali wala kidini,wala wazazi.Tatizo la maadili ni jukumu la mwanajamii Kwa nafasi yake anatakiwa kulivalia msuli
 
Hapo ndo tatizo linapozidi,tatizo la jamii sio la kiserikali wala kidini,wala wazazi.Tatizo la maadili ni jukumu la mwanajamii Kwa nafasi yake anatakiwa kulivalia msuli
Mwanajamii ni nani? Wazazi.Walezi.viongozi wa dini wao sio wanajamii?
 
Ila bora hvyo mkuu....Embu fikiria bint wa 2000s labda awe na umri wa miaka 20 apo awe amechoropoa mimba 3 adi 4....huyo tayri ana ile nguvu ya ujasiri wa kufanya uovu wowote coz kashaua nafsi zisizo na hatia,

Na watu kama hawa wanakuwa sio waaminifu kwenye jamii...
 
Zamani hata kabla hujatoa single(wimbo)ilikuwa lazima mashairi yahaririwe ..Leo hii Kwa nyimbo za kina wasafi etc. usitegemee maadili..Zamani hata mke wa mtu alikuwa anazini Kwa Siri mno,Leo hii mke wa mtu anakuomba namba ya simu..
 
Binafsi naamini mambo ambayo tunayaona madogo madogo sanana ya kawaida tu, kama uliyoyasema ya"mavazi" na mengineyo mengi sana, ni mlolongo wa mambo maodgodogo ambayo tunayachukulia ni kawida tu kumbe si kawaida na ni kichocheo kikubwa cha ukosefu wa maadili.

Mavazi kuanzia utotoni, inabidi Watanzania tusichukulie mavazi kwa watoto wadogo ni kitu cha kawaida tu na anaweza kuvalishwa vyovyote tu. Pia unayovaa sisi na tunayowavalisha wajukuu zetu, kwa wengine watoto zetu, iwe nyumbani au nje ya nyumbani, ni muhimu sana.

"dress codes" za kiheshima ni muhimu sana a'all across".Haijalishi wapi na nani, mavavi yetu ni moja ya kichocheo cha ukosefu wa maadili.

Nakumbuka "historia ya ukweli kabisa" Nyerere alipoanza maisha ya Kisiasa jijini Dar alikuja na vazi ambalo kwa siku hizo ni "fasheni", kaptura, na likivaliwa sna na wazungu, alipoanza kutambulishwa kwa wazee akaambiwa hilo vazi sasa wachana nalo, wazee hawatakuelewa, wewe unapigania kuwaondowa wakoloni basi usivae kama wakoloni ambao wazee wanachukulia kinyume cha maadili yao.

Nyerere hakubisha akawacha kuvaa kaptura katika harakati zake.

Siku hizi imekuwa kawaida eti kumkuta mtu kavaa "bukta" nyumbani kwake mbele ya wanawe au watoto wadogo wa kike na wakiume na mbele ya mama zake na baba zake na watu wazima, wengone ndiyo mpaka nje.

Juzi hapa tukaona kundi la watanzania wakivalishwa bukta zilizokunjwa mpaka kuonesha tupu zao na kupakwa mafuta mmeremeto na moosefu wa maadili mmoja, na mijinga, wanawake kwa wanaume wakafata na wengine wanaiga mpaka leo mitaani.

Tumekuwa taifa la ajabu sana.
 
Utakuwa na mbuyu wako mkuu....tena ukouko unapomtumikia Mungu....
 
Umeongea ukweli mtupu FaizaFoxy najisikitikia mimi na vijana wenzangu ambao hatujaoa.Mungu atuongoze.
 
Kwani uislamu hauna majibu ya haya?
 
Kuiga. Vijana tunapenda kuiga maisha ya watu wa magharibi wanaona ni ujanja kumbe ni ushamba na ujinga hasa vijana wa kike kuvaa vinguo vifupi na nguo za kubana , umalaya kwao wanaona ni ufahari, sasa hivi wanashindana kudanga.

Tukirudi kwa vijana wa kiume nao ni hivyo hivyo kuiga ujinga, mfano kunyoa viduku huu ni uhuni, kuvaa mlegezo, kuvuta bangi, madawa ya kulevya yote haya ni kuiga kutoka west.

Ushauri wangu kwa vijana: Be unique that's mean you are the only one. Usipende kuiga bali kuwa mfano kwenye jamii yako kwa kuigwa. Hakuna kitu ninachopenda kuwa tofauti na vijana wengi wa nyakati hizo. Am so proudly for being myself

Being mudi
Being mtalebani
 
Kizaz hiki cha zuchu,dear x singeli amapiano maadili sifuri kabisa

Ova
 
Naunga mkono hoja

Ova
 
Haohao wa nje ndo wanatuharibia maadili
 
Mwanajamii ni nani? Wazazi.Walezi.viongozi wa dini wao sio wanajamii?
Ni wanajamii pia ila jukumu la kukemea maadali mabovu hayawezi kuishia kanisan/msikitini pekee na wala hayawezi kuishia majumbani kwetu.

Kumbuka sio wote wanahudhuria kweny nyumba za ibada hayo mazingatio na mafundisho watayasikia/kuyafahamu wapi? Au hao viongozi wa dini wanawafikiaje?

Serikali yenyewe corruption imekithiri ndo useme tuitegemee kuboresha maadili?

Wazazi kila mtu yuko busy na familia yake akitoka nje hana hata habari na watoto wajiran wachache saan wanajitahidi

Mabadiliko ya jamii yanaanza na ww binafsi hakuna kuatafuta mchawi
 
We pambana na maadili yako na to some extent utakavyowalea wanako; hutoweza kamwe kufanya maadili yako 100% yawe ya kila mtu 100% na pia iyo cjui TZ ilikuwa ivi cjui ivi? Jaman utandawazi unayafanya mengi yaonekane ila sio mapya chini ya jua na pia unafki mwingi unafanya watu wengi waonekane watakafitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…