Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAPI NDUGUNimekaa pale.
Tanga Kama Unguja Wamejaa Muhari MnoWananchi WA Tanga waugwana sana, hawajali sana kuhusu matatizo Yao.
Kiswahili kigumu Muhari ni nini?Tanga Kama Unguja Wamejaa Muhari Mno
Amani hills , East usambara mountains, mto Zigi, maji yamejaa tele hukoMnapata maji kutoka chanzo kipi, maana naona haya mabadiliko ya tabia nchi yanakuja na tishio kubwa..
Kuoneana Aibu, Kuacha Tu UkivumiliaKiswahili kigumu Muhari ni nini?
Maji yanatoka mto Zigi, amani milimani maji yapo teleMto pangani maji amna eeeh, amani reserve, sasa Tanga Raha sana tena sana
Napajua vizuri boss, Tanga kama Tanga raha sana kaka sema ndiyo hivo mishe amna pale pamekaa doro sana.Maji yanatoka mto Zigi, amani milimani maji yapo tele
Amani malaria wapajua?Napajua vizuri boss, Tanga kama Tanga raha sana kaka sema ndiyo hivo mishe amna pale pamekaa doro sana.
Ndiyo napajuaAmani malaria wapajua?
kote uko ni maji yanayojaza mto zigi!Ndiyo napajua
Yes mto zigi naujua vizuri sana na vyanzo vyake.kote uko ni maji yanayojaza mto zigi!
hapafai, na sasa ukame hakuna mvua!Yes mto zigi naujua vizuri sana na vyanzo vyake.
nina dislike sometimes kuishi Tanga..... hasa mjini pale.
Daaahhapafai, na sasa ukame hakuna mvua!
Kilindi ndio kabisa hali mbayaHata Handeni hakuna Maji kabla na baada ya Uhuru hadi leo hakuna Maji [emoji848]
Inasikitisha sana