Leo nilikuwa naangalia Aljazeera,watu wa Ukraine wanaapa kamwe hawataki kusikia swala la Ukomunist tena kwao,wanasema maisha magumu walliyoishi wazazi wao yanatosha.Wameshaonja ladha ya maisha ya kibepari uje utake tena kuwarudisha kwenye maisha ya Ujamaa,ndiyo maana wameamua kusimama kidete kujitetea.Sera za ujamaa ziliwaharibu Sana, the are humble submissive to the leader's ignorance, never Russia hawezi ku battle na mabeberu. Mabeberu ni compitetive in nature
mkuu embu achana na vita ya ukrn na urusi vip hujalet mrejesho wa mchepuko anaekuibiaga
Mrejesho loading.....mkuu embu achana na vita ya ukrn na urusi vip hujalet mrejesho wa mchepuko anaekuibiaga
mkuu embu achana na vita ya ukrn na urusi vip hujalet mrejesho wa mchepuko anaekuibiaga
tafta c.i.a mpango ukamlike
Hao wote walishapigwagwa na warussia sijui hamsomi historia au nini France vita ya Napoleon na German ww2.Kutokana na hii kesi ya Ukraine. Kuna mataifa nimeona ni tishio ktk medani ya vita, na hawasemwi kiviiiile.
1. UK
2. France
3. German
Endapo kusingekuwa na Nuclear, Russia hawezi kufua dafu ktk battle na hawa jamaa.
Huna tofauti na mchekeshaji wewe😂😂😂😂Nawakilishwa na Zelensikyy na anafanya vyema sana 🙂
Poland wakileta ujuaji watabadilishwa kuwa jangwaPoland anamtamani Urusi
Nyie sijui hamsomi warusi walishawapiga wafrance na wajerumani Sana mbona mnaropoka sanaRussia sio hao tuu,bali hata Finland na Poland wanamtoa kamasi.
Hii Vita huyu Napoleon alipigwa vibaya na warusi wakati huo kashavamia nchi nyingi za ulayaKutokana na hii kesi ya Ukraine. Kuna mataifa nimeona ni tishio ktk medani ya vita, na hawasemwi kiviiiile.
1. UK
2. France
3. German
Endapo kusingekuwa na Nuclear, Russia hawezi kufua dafu ktk battle na hawa jamaa.
Rais wao anaomba msaada, wewe upo buza kwa shem unashangilia. Nchi hii kwa vituko!Russia wanakula kichapo hadi hawaamini kwamba makombora bado hayajawasaidia zaidi ya kuharibu miundombinu ya kiraia tuu.
Kazi iendelee [emoji1][emoji38]
View attachment 2163767
View attachment 2163769
View attachment 2163775
Ukiangalia jinsi viwanja vinavyopimwa huku Dodoma, utafukuza kazi hawa watu wa mipango mji, ni ujinga mtupu.Miji ya Ukraine imepangiliwa vizuri sana aisee, kweli sisi kwetu huku ni uchafu tu...wataalamu jifunzeni vitu uko sio kushangilia vita tu
Russian wanakwenda kuaibika hii vita, kwa ground anachapika sawa sawa, jeshi lake halina morali kabisa....Operation maalum ishafika mwezi sasa......ahhahha.Hiyo vita usiichukulie kirahisi hivyo
Bila Nato huyo zelensky aishatoka kitambo,na Russia atashinda tu mark my words,ni muda tu..
Jamaa wanachapika kweli kweli.Kuna baadhi ya miji warusi waliingia sasa hivi wanatanani kutoka ila hata hivyo njia ya kutoka nayo ni ngumu.
Utatuma je vifaru na magari ya kijeshi yakiwa yamesheheni wanajeshi bila kupiga mahesabu ya plan B?
Russia waliingia na plan yao A kwamba wanachukua nchi ndani ya mda mchache.
Hawakufikiri ikiwa hiyo plani itafeli nini kitachukua nafasi. Ndio huko sasa unasikia wameishiwa mafuta na chakula. Hata kama urusi itatuma makombora ya mbali kuharibu majengo ya miji kama wanavyofanya ni jambo gumu kwa jeshi la ardhini kuingia mjini kupora matumizi maana inalindwa na wazalendo walio apa kufa wakilinda haki ya hati miliki ya taifa lao.
Sasa imebaki mjini hakuingiliki, nyumbani hakurudiki.
Russia hakujifunza vema kwenye vita yake na Afghanistan na Ile vita na Chechinia, ukiangalia wanajeshi wa Russia Ile molali ya kupigana inawaisha kwasababu Raia wa pande Mbili ni kama ndugu, Putin alikalculate kuiteka Ikulu ya Ukraine ndani ya masaa 48 ila Kwa Sasa haamini, pamoja na Russia kutumia vema anga ila ardhini wanapata tabu sanaKuna baadhi ya miji warusi waliingia sasa hivi wanatanani kutoka ila hata hivyo njia ya kutoka nayo ni ngumu.
Utatuma je vifaru na magari ya kijeshi yakiwa yamesheheni wanajeshi bila kupiga mahesabu ya plan B?
Russia waliingia na plan yao A kwamba wanachukua nchi ndani ya mda mchache.
Hawakufikiri ikiwa hiyo plani itafeli nini kitachukua nafasi. Ndio huko sasa unasikia wameishiwa mafuta na chakula. Hata kama urusi itatuma makombora ya mbali kuharibu majengo ya miji kama wanavyofanya ni jambo gumu kwa jeshi la ardhini kuingia mjini kupora matumizi maana inalindwa na wazalendo walio apa kufa wakilinda haki ya hati miliki ya taifa lao.
Sasa imebaki mjini hakuingiliki, nyumbani hakurudiki.
Sera za ujamaa ziliwaharibu Sana, the are humble submissive to the leader's ignorance, never Russia hawezi ku battle na mabeberu. Mabeberu ni compitetive in nature
Wameachwa na kuingia kwenye miji na sasa wamezungukwa wanapokea kichapo hawawezi toka hii battle.Russia hakujifunza vema kwenye vita yake na Afghanistan na Ile vita na Chechinia, ukiangalia wanajeshi wa Russia Ile molali ya kupigana inawaisha kwasababu Raia wa pande Mbili ni kama ndugu, Putin alikalculate kuiteka Ikulu ya Ukraine ndani ya masaa 48 ila Kwa Sasa haamini, pamoja na Russia kutumia vema anga ila ardhini wanapata tabu sana