Ukraine ndani ya Urusi, inataka kumwondoa Putin Madarakani? Je hii ni dalili ya World War III?

Ukraine ndani ya Urusi, inataka kumwondoa Putin Madarakani? Je hii ni dalili ya World War III?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hii hali inamsikitisha sana Putin. Ni suala ambalo he never expected kabisa. Hii vita ilipaswa kuwa operation ya siku 2 tatu ikizidi week. Sasa ni mwaka wa pili. Na hawa Ukraine wameanza kuingia ndani ya Russia.

Wanasonga mbele. Nini tatizo? Putin kweli wa kusaidiwa na vinchi vidogo vidogo? Iran wamejitahidi sana kumsaidia Putin. Lakini naona hali bado si nzuri sana.

Au itakuwa anafanya makusudi ili asioneshe nguvu zake kwa maadui zake? Anajifanya mnyonge? Putin tulimtegemea sana afanye kweli. Hii nchi ipo tu hapo pembeni yake. Ka nchi kadogo tu. Si mbali. Angeamuru tu jeshi lake liende kukafyekelea mbali.
Screenshot_2024-08-17-08-44-16-859_com.instagram.android~2.jpg
Screenshot_2024-08-17-08-44-27-799_com.instagram.android~2.jpg
Screenshot_2024-08-17-08-44-33-961_com.instagram.android~2.jpg
Screenshot_2024-08-17-08-45-24-326_com.instagram.android.jpg
 
Putin hatoki kirahisi hivyo

Soon mtasikia mchezo ukatavyobadilika

Ova
Putin ana nguvu za media tu kama ndugu zake wengine Rais wa Ukraine alietaka kumtoa madarakani yupo kwenye ardhi yake...
Mimi toka wale wahuni walioitaka Ikulu ya Moscow kwa miguu nikajua mshikaji ni kama Rais wa Malawi tu ila kelele nyingi..
 
Kwanza utambue Urusi anapigana na NATO katika Ardhi ya Ukraine.

Hata hiyo oparesheni ya kushtukiza kuingia Jimbo la KURSK-Urusi, ni matokeo ya Intelijensia ya NATO kuwapa Ukraine na Majeshi ya NATO taarifa sahihi za Uwezo wa kijeshi wa Urusi KURSK.

Ukraine walitaka kuteka kinu Cha Nyukilia kilichopo KURSK ili kukitumia kufanya Negotiation.

Pili, kuilazimisha Urusi Kupunguza Majeshi Donbass kuyaleta KURSK baada ya kuona kule Donbass Urusi anatoa Kichapo na kuzidi kuchukua maeneo

Hata hivo, Urusi inajua hiyo NIA, Kichapo kitaendelea kote kote, iwe ni DONBASS, KURSK Kichapo Kiko pale pale


Inabidi ufaham, Urusi ni Nchi yenye Nyukilia , Kamwe NATO hawawezi kuishinda .

Kumwondoa Putin ni sawa na ndoto za Alinacha .
 
Putin ana nguvu za media tu kama ndugu zake wengine Rais wa Ukraine aietaka kumtoa madarakani yupo kwenye ardhi yake...
Mimi toka wale wahuni walioitaka Ikulu ya Moscow kwa miguu nikajua mshikaji ni kama Rais wa Malawi tu ila kelele nyingi..
Hili jambo lilinishangaza sana. Kundi tu la wahuni liliamua kuwa linataka kumwondoa na ikabidi akimbie kujificha. Kuna mambo nashindwa yaelewa kabisa kuhusu Putin. Jinsi ambavyo tumekuwa tumiaminishwa na uhalisia kwa sasa ulivyo. Kuna tatizo sehemu. Au huyu si Putin Original?
 
Hii hali inamsikitisha sana Putin. Ni suala ambalo he never expected kabisa. Hii vita ilipaswa kuwa operation ya siku 2 tatu ikizidi week. Sasa ni mwaka wa pili. Na hawa Ukraine wameanza kuingia ndani ya Russia.

Wanasonga mbele. Nini tatizo? Putin kweli wa kusaidiwa na vinchi vidogo vidogo? Iran wamejitahidi sana kumsaidia Putin. Lakini naona hali bado si nzuri sana.

Au itakuwa anafanya makusudi ili asioneshe nguvu zake kwa maadui zake? Anajifanya mnyonge? Putin tulimtegemea sana afanye kweli. Hii nchi ipo tu hapo pembeni yake. Ka nchi kadogo tu. Si mbali. Angeamuru tu jeshi lake liende kukafyekelea mbali.
Ni suala la kuamua tu.. Ukraine hawezi kumpiga Russia ni wanapimiwa upepo wajae vizuri Ili apate namna na sababu ya kumpiga zaidi
 
Ni suala la kuamua tu.. Ukraine hawezi kumpiga Russia ni wanapimiwa upepo wajae vizuri Ili apate namna na sababu ya kumpiga zaidi
Sababu gani tena ya kumpiga zaidi? Umeandika kama hujatawadha ndugu. Sababu si ilishakuwepo yaani miaka 2 ya vita hakuwa na sababu ya kumpiga? Aiseee..... Nyie madogo sijui mna fail wapi
 
Putin ana nguvu za media tu kama ndugu zake wengine Rais wa Ukraine aietaka kumtoa madarakani yupo kwenye ardhi yake...
Mimi toka wale wahuni walioitaka Ikulu ya Moscow kwa miguu nikajua mshikaji ni kama Rais wa Malawi tu ila kelele nyingi..
Putin alichukulia hii vita ingekuwa rahisi jinsi alivyoichukua Crimea 2014 kama anamsukuma mlevi bila NATO kuingilia.

Akadhani itakuwa hivyo 2022. TISS Yake ikamdanganya kwasababu walimtania hadi Zelensky ni comedian ndo maana akasema 72 hours anamaliza vita.

Unakumbuka siku ya kwanza ya vita anaivamia Ukraine akachimba mkwara anaingia Ukraine na yeyote ataingiza pua kitakachomtokea hata kwenye Historia wameshangaa.

Alipoona maji yamezidi unga akaanza mkwara wa nyuklia satan 2 sijui mini.

COMEDIAN ANAMJAMBISHA MTU SERIOUS PUTIN.
 
Hili jambo lilinishangaza sana. Kundi tu la wahuni liliamua kuwa linataka kumwondoa na ikabidi akimbie kujificha. Kuna mambo nashindwa yaelewa kabisa kuhusu Putin. Jinsi ambavyo tumekuwa tumiaminishwa na uhalisia kwa sasa ulivyo. Kuna tatizo sehemu. Au huyu si Putin Original?
Mimi ni mmoja ya watu waliokua wanamwamini Putin toka namkuta sasa wakina Maghayo wakiwa na mabuti yao eti wanataka kumuondoa Rais nilishangaa sana shida kubwa iliyopo wapo Wa Ukraine wapo ndani ya Urusi ndio wanatoa taarifa zote hata yule kiongozi wa Wagner alikula hela ila mipango ikaenda tofauti..
 
Urusi na Ukraine ni wamoja wale wanapiganishwa na USA(NATO) yule Putin kaingia miguu mibovu mchina alitaka kupiganishwa na Taiwani kwa kuwa Wachina akili nyingi wamechungulia wakaona hapa sipo ni kuendelea kupiga mikwara tu..
Yes. China walishtuka kwa kweli... Otherwise nao wangekuwa wanapimwa ubavu na Taiwani.
 
Yes. China walishtuka kwa kweli... Otherwise nao wangekuwa wanapimwa ubavu na Taiwani.
Akili ya USA ni kuwapiganisha maadui zake kama anavyofanya NK na Korea kusini au Israel na Iran mmoja asipostuka wanapigana kweli nae anajifanya anapeleka misaada huku alijipanga kwa gharama hizo kuharibu maendeleo ya baadhi ya Nchi...
 
Putin alichukulia hii vita ingekuwa rahisi jinsi alivyoichukua Crimea 2014 kama anamsukuma mlevi bila NATO kuingilia.

Akadhani itakuwa hivyo 2022. TISS Yake ikamdanganya kwasababu walimtania hadi Zelensky ni comedian ndo maana akasema 72 hours anamaliza vita.

Unakumbuka siku ya kwanza ya vita anaivamia Ukraine akachimba mkwara anaingia Ukraine na yeyote ataingiza pua kitakachomtokea hata kwenye Historia wameshangaa.

Alipoona maji yamezidi unga akaanza mkwara wa nyuklia satan 2 sijui mini.

COMEDIAN ANAMJAMBISHA MTU SERIOUS PUTIN.

Alitema mkwara sana na jamaa zake sisi tulikuja humu kutamba. Tulipiga nasi mkwara sana humu JF. Alisema ile si vita. Ni operation ya kijeshi. Yaani haifai kuitwa Vita. Akasema ndani ya week tu atakuwa amemwondoa mchekeshaji wa Ukrain. Sasa mwaka wa pili. Sielewi ana fail wapi ndugu yangu huyu.
 
Sababu gani tena ya kumpiga zaidi? Umeandika kama hujatawadha ndugu. Sababu si ilishakuwepo yaani miaka 2 ya vita hakuwa na sababu ya kumpiga? Aiseee..... Nyie madogo sijui mna fail wapi
Sababu IPO hivi mwanzoni ilionekana urusi inavunja haki za kibinadamu na kufanya uvamizi Kwa Ukraine Hadi mamlka za kimataifa zikaingilia kati na kumtaka rais Putin kusitisha mapigana na kumfungulia mashtaka Putin aweze kukamatwa.......alfu usikurupuke kuropoka ujinga tu kama huo ulioandika hapo.
 
Sababu IPO hivi mwanzoni ilionekana urusi inavunja haki za kibinadamu na kufanya uvamizi Kwa Ukraine Hadi mamlka za kimataifa zikaingilia kati na kumtaka rais Putin kusitisha mapigana na kumfungulia mashtaka Putin aweze kukamatwa.......alfu usikurupuke kuropoka ujinga tu kama huo ulioandika hapo.
We kilaza. Putin toka lini anaogopa haki za binadamu za NATO? dogo humjui Putin na hujui Russia. Yaani leo hii Putin ambaye alitakalo hakuna wa kumzuia anawaogopa hao Haki za Binadamu? Si ndo hao hao walisema ushoga. Akawaambia hataki kusikia huo upuuzi? Kuna mashtaka gani ya kumtisha Putin? Dogo hujui. Nyamaza. Kunywa uji ulale.. au.... 😁
 
Back
Top Bottom