ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Hahahaha sawa sawa waendelee ku mobilize ila jombo limepigika 😄 🤣 toka 2022 walishafanyq MobilizationInavyosemekana Russia ameanza ku mobilize jeshi kubwa pale Kursk.
Sasa haijulikani kama idadi ya askari wa Ukraine itaendana na kukinzana na idadi ya kikosi Russia alichopeleka.