Mnatumia nguvu nyingi sana kuficha hasara aloipata na anayoendelea kuipata UKRAINE kwakila angleKijeshi au kivita, Mrusi kapoteza zaidi kwa askari wengi na vifaa vingi (vifaru + ndege) kuangamizwa.
Ukraine imepoteza zaidi kwa miundombinu, majengo mengi kubomolewa, raia wengi kuuawa na kukimbilia uhamishoni.
JidanganyeKijeshi au kivita, Mrusi kapoteza zaidi kwa askari wengi na vifaa vingi (vifaru + ndege) kuangamizwa.
Ukraine imepoteza zaidi kwa miundombinu, majengo mengi kubomolewa, raia wengi kuuawa na kukimbilia uhamishoni.
Mkuu una akili ya kufikiria mbali . asante sanaUkraine apigane kivyovyote vile Putin na nchi nyingine zinazodharau wenzao zijifunze.Putin pamoja na kuipiga Ukraine,nadhani hakutegemea kama atakutana na anayokutana nayo.Ukraine agharamike ila na Putin pia imgharimu sana.Ukraine atasaidiwa kujijenga,Putin atapambana na protest ndani na nje ya nchi na hatimaye anaweza akafa au kuuawa siku za mbeleni.
Sidhani mkuu Yaani aone wanajeshi wake wanakufa eti dump. La takaRussia alikuwa anatoa vifaa chakavu store....
hajaanza kutumia silaha zake za kisasa
kwa kifupi Russia alikuwa anatafuta shimo la taka akatupe uchafu......
It’s of no consequence to me. Hata hivyo zingatia kuwa Putin (sio Urusi) anapambana na dunia. Hakuna ushindi hapo. Watamtembeza hadi aishiwe na kuachia ngazi. Ukraine wataijenga upya chap chap.Jidanganye
Safi SanaIla Ukraine atapata maana kuna mihela ya Urusi imekamatwa hiyo ndo itahusika katika ujenzi wa Ukraine
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama kwa Ukraine kambwela atawezana na mataifa makubwa kama Germany au UK?Mahaba haya, eti Russia hata kwa Germany hachomoi. Haya endelea kuota
Hawawezi kukuamini hawa.. Russia Ameonesha weakness kubwaGerman, UK, France n.k zimemuacha mbali kiuchumi Russia. Na si tu kiuchumi, hata kiteknolojia. Product za Ulaya sio za kitoto kabisa.
Ukiondoa Manuclear, tukisema zichapwe kawaida tu, UK au German au France, wanaingia mpaka Moscow mapema sana.
crazy world where leaders killing people for fun.Ukisikiliza wimbo wa Lucky Dube Crazy World utaona maneno yako yana uzito mkubwa.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Hii ni pointi aiseeSasa kama kwa Ukraine kambwela atawezana na mataifa makubwa kama Germany au UK?
Kwa nini usiandike, Ulaya na Marekani wapo Ukraine kuichokoza Russia.
Are you out of your mind?hata Marekani wenyewe hawana uwezo wa kumtoa Putin ila Putin anaweza kumuweza Rais wake madarakani huko Marekani.Tunajua at the end Putin ataondoka tu.
Atajijengaje wakati maeneo yake muhimu itachukuliwa na warusi mpaka bahari yaani Kwa kifupi Ukraine inaenda kugawanywa.Ukraine apigane kivyovyote vile Putin na nchi nyingine zinazodharau wenzao zijifunze.Putin pamoja na kuipiga Ukraine,nadhani hakutegemea kama atakutana na anayokutana nayo.Ukraine agharamike ila na Putin pia imgharimu sana.Ukraine atasaidiwa kujijenga,Putin atapambana na protest ndani na nje ya nchi na hatimaye anaweza akafa au kuuawa siku za mbeleni.
That’s a very loose angle. Hiyo ni kuzipa ruhusa (blank check) nchi zenye nguvu na viongozi wakorofi kunyanyasa nchi nyonge.
Ni kama US ilipovamia Iraq 2003 bila kibali (sanction) ya UN. Au Germany ilipovamia Poland 1939 kwa kisingizio cha kujilinda kumbe tayari wana mipango ya kufagia hadi Moscow na London!
Kuvamia (kama ilivyo kwa kubaka) ni kuvamia tu. Haijali kafanya nani wapi.Nasema tena; kuvamia kwa nia ya kujilinda ni HAKI, mimi siungi mkono kuvamia kwa madai ya udanganyifu kama alivyofanya George Bush kule Iraq nk.
Samahani Broh, hivi hii inaweza kuwa sababu ya kutosha kujustify uvamizi wa Russia? Marekani hawezi kufanya hivyo kupitia Estonia, Latvia au Turkey? Maana hao wote ni wanachama wa NATO wanalio karibu kabisa na Russia.
Nahitaji kujua Broh, sipo vizuri kwenye masuala haya ya siasa na migogoro ya kimataifa.