Sipendi vita.. Sipendi majeruhi sipendj vifo vya wasio na hatia.. Miji mizuri, historia na kumbukumbu mbali mbali vinaharibiwa kwa dakika tuu.. Miundombinu inavurugwa na kuharibiwa kabisa..SIPENDI vita nakikumbuka ya Sarajevo , Bosnia na Hezgovina sina hamu kabisa na vita
Ujinga ni kuamini kwamba hizo Hypersonic sijui Nuclear weapons anazo Russia pekee, NATO na Russia wakiingia vitamin hawachukui hata mwezi.. Russia haitabaki kitu. Russia hata kwa Germany hachomoki. Hapo tu Ukraine kapewa support ya vifaa sio ya Kijeshi na Russia kambwela.. akipata support ya kijeshi itakuwaje?
Kuwa na common sense kijana.
upo jikoni kabisa pale urusiHivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.
Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
Hivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.
Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
Hapana mkuu niliona kwenye tvMkuu ulikuwepo huko Sarajevo, Bosnia na Herzogovina vita ilipoanza??!![emoji1787]
Naunga mkono hojaMadikiteta most of time hawatumii akili
We jamaa una akili sana watu wanahisi eti NATO au USA wanamuogopa Russia kumbe wao hawataki kukimbizana na kichaaWe ni mpumbavu
Mara ngap amemtaka huyo Putin kichaa wazungumze huyo mshenzi amekataa
Mpumbavu tuu huyo
Dunia ya sasa haitak vita
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] HiiiiiiiiiiiiiiiiiHivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.
Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
Empty head. Kwaiyo awatoe kafara wanajeshi wake ..shuleni ulienda akisoma ujingaRussia alikuwa anatoa vifaa chakavu store....
hajaanza kutumia silaha zake za kisasa
kwa kifupi Russia alikuwa anatafuta shimo la taka akatupe uchafu......
Waeleweshe hao Mike kwa sababu wanacoment wakiwa wapo wanaishi kwq shemeji zao hawajui kama mafuta ya kupikia na fuel vimepanda juu anaeteseka mme wa dadaVita kati ya Russia na The US kamwe haiwezi kuwa na mbabe, hawa wakipigana hawawezi kutumia conventional weapons, watatumia ICBMs, Hypersonic nk, itakuwa ni "press button weapons war" sio infantry war na bila shaka Nuke weapons zitahusika, katika hali hiyo nani ataibuka mshindi??--- hakunaga mshindi katika matumuzi ya Nuke bombs.
Sawa Mtunza Amare wa URUSIRussia alikuwa anatoa vifaa chakavu store....
hajaanza kutumia silaha zake za kisasa
kwa kifupi Russia alikuwa anatafuta shimo la taka akatupe uchafu......
Ukikimbizana na kichaa utaonekana we ndio hamnazo.We jamaa una akili sana watu wanahisi eti NATO au USA wanamuogopa Russia kumbe wao hawataki kukimbizana na kichaa
Correct.Ni hivi huyo Ukraine apigwe na Russia au asiaidiwe na NATO hainuhusu
Kinachonihusu ni huyu mpumbavu putin anavuruga utaratibu wangu wa maisha ya kila siku na tena hata siishi Ukraine,
Hili ndio tatizo kwangu ambalo linanihusu, lakini vichwa mavi vya kibongo wanaomshabikia putin, labda sababu maisha yenyewe kwao ni kubabatiza(choka mbaya) na ameshazoea umasikini kwa hiyo hata haoni gharama za maisha kupanda kutokana na sababu za kijinga za huyu mpuuzi putin.
Usalama wa Russia ni muhimu kuliko maisha yakoNi hivi huyo Ukraine apigwe na Russia au asiaidiwe na NATO hainuhusu
Kinachonihusu ni huyu mpumbavu putin anavuruga utaratibu wangu wa maisha ya kila siku na tena hata siishi Ukraine,
Hili ndio tatizo kwangu ambalo linanihusu, lakini vichwa mavi vya kibongo wanaomshabikia putin, labda sababu maisha yenyewe kwao ni kubabatiza(choka mbaya) na ameshazoea umasikini kwa hiyo hata haoni gharama za maisha kupanda kutokana na sababu za kijinga za huyu mpuuzi putin.
Kkkkk, USA, Canada, Australia wanazo hypasonicHivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.
Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
Kinzhal hypersonic missiles zina uchakavu wa muda gani?Russia alikuwa anatoa vifaa chakavu store....
hajaanza kutumia silaha zake za kisasa
kwa kifupi Russia alikuwa anatafuta shimo la taka akatupe uchafu......
Vifaa vyakujengea nyumba au vifaa vya nn alivyopewa !!!??Ujinga ni kuamini kwamba hizo Hypersonic sijui Nuclear weapons anazo Russia pekee, NATO na Russia wakiingia vitamin hawachukui hata mwezi.. Russia haitabaki kitu. Russia hata kwa Germany hachomoki. Hapo tu Ukraine kapewa support ya vifaa sio ya Kijeshi na Russia kambwela.. akipata support ya kijeshi itakuwaje?
Kuwa na common sense kijana.