Jacob kalokola
JF-Expert Member
- Mar 26, 2022
- 893
- 2,721
Propaganda, hakuna chanzo chochote Cha masaa 72, pia alijiandaa na Vita ya Dunia, hivyo msijifarijiHawezi stock ya makombora inamuishia
Alitarajia kumaliza vita ndani ya saa 72 akawa anavurumisha weee.mokombora mfululilizo kila dakika mikombora mia stock inakaribia kumuishia
Kumbe hii strategy ya kubomoa maghorofa haijaanzia hapo UkraineRussia wataijenga upya! Wakati Chechenia walipotaka kujitenga na Russia ,Majeshi ya Russia yalisagasaga kila kitu,lakini waliijenga upya ikarudi katika hali yake! Na leo vikosi vilivyo mstari wa mbele kupigana Ukraine mojawapo ni vikosi vya Russia kutoka Chechenia vilivyowezesha kuuteka mji wa Mariupol.
Nadhani mashambulizi sasa yanapangwa kuelekezwa mji wa Karkiv!
Ndio maelekezo!Askari wa kirusi hovyo sana wanaharibu mji mzima wanaishia kushikilia miji iliyojaa magofu, vifusi na mizoga.
Kharkive lazima itashambuliwaRussia wataijenga upya! Wakati Chechenia walipotaka kujitenga na Russia ,Majeshi ya Russia yalisagasaga kila kitu,lakini waliijenga upya ikarudi katika hali yake! Na leo vikosi vilivyo mstari wa mbele kupigana Ukraine mojawapo ni vikosi vya Russia kutoka Chechenia vilivyowezesha kuuteka mji wa Mariupol.
Nadhani mashambulizi sasa yanapangwa kuelekezwa mji wa Karkiv!
She retreated after destroyed all the targets in Kyive.Hii ni kama Ile ya Urusi alivyoikimbia kyiv baada ya kichapo kikali
Kwenye Vita ya pili ya Chechnya huko 'Gronzy' walifanya uharibifu mkubwa mno, mpaka mji huo ulitangazwa na UN kama mji wa maafa ulioharibiwa zaidi duniani wakati huo....ila baada ya Vita umejengwa upya.Kumbe hii strategy ya kubomoa maghorofa haijaanzia hapo Ukraine
Naomba utambue kuwa pale anapigana Urusi na Nato.Nasisitiza Gaykrania apigwe tu
Nalog off Z
Kinachotekwa ni ARDHI; vilivyo juu yake kama majengo na miundombinu, vitajengwa Kama vilivyokuwa vimejengwa awali hata na kuzidi.Hakuna shule wala hospitali wala masoko wala mahoteli kwenye hiyo miji
Mrusi kabomoa vyote na makombora
Hii vita ni ya kwanza duniani kwa nchi kuteka magofu na kuyakalia
Hata Sisi tulipopigana na Uganda tulipoteka miji ilikuwa miji hai yenye uchumi.na biashara ,mashule,hospitali no
Mrusi bwege anateka miji magofu
Unaota mrusi anashambulia kama mwehu kutumia cruise missile ambazo bei ya kutengeneza moja ni shilingi za kitanzania bilioni 16 na kutengeneza moja kiwandani inachukua minimum Miaka MinnePropaganda, hakuna chanzo chochote Cha masaa 72, pia alijiandaa na Vita ya Dunia, hivyo msijifariji
Ukibomoa hotel.au hospitali au shule au chuo hao wananchi ulitaka eneo lao wanasoma wapi na kutibiwa wapi?Kinachotekwa ni ARDHI; vilivyo juu yake kama majengo na miundombinu, vitajengwa Kama vilivyokuwa vimejengwa awali hata na kuzidi.
Raslimali iliyoko chini ya ardhi, kama madini na gesi, vitabaki kuwa chini ya aliyeiteka.
GO Vladmir Putin; PUT THEM IN.
Imefika mahali nikikutana na comments yako kwenye uzi wowote sijishughulishi kuisoma kwasababu nahisi imeandikwa na mjinga fulani [emoji706][emoji706]Unaota mrusi anashambulia kama mwehu kutumia cruise missile ambazo bei ya kutengeneza moja ni shilingi za kitanzania bilioni 16 na kutengeneza moja kiwandani inachukua minimum Miaka Minne
Yeye Putin anayarusha kama mwehu hajui.stock control kuwa high value silaha ya kivita unatakiwa tutumie kiuangalifu na itumike tu kwenye high value targets
Yeye Anatumia kushambulia maeneo ya raia zikiwemo hospitali,shule barabara nk
Ukraine wakiyatumia hawarushi kama wehu kama Putin wanalenga high value targets kwa kulenga vichwa vya magenerali wa Urusi na kuwaua huku waki manage vizuri stock zao za missiles
Warusi wanarusha hovyo hovyo tu bila kujali value of target wala stock control
NATO wanampelekesha Putin ili stock imwishie halafu wamuonyeshe cha mtema kuni.
Jeshi la Urusi wanapigana kama wehu ndio maana target zao wanalenga maeneo ya kiraia zaidi
Una matatizo ya akili hasa saikolojia yako haipo sawa .Unaota mrusi anashambulia kama mwehu kutumia cruise missile ambazo bei ya kutengeneza moja ni shilingi za kitanzania bilioni 16 na kutengeneza moja kiwandani inachukua minimum Miaka Minne
Yeye Putin anayarusha kama mwehu hajui.stock control kuwa high value silaha ya kivita unatakiwa tutumie kiuangalifu na itumike tu kwenye high value targets
Yeye Anatumia kushambulia maeneo ya raia zikiwemo hospitali,shule barabara nk
Ukraine wakiyatumia hawarushi kama wehu kama Putin wanalenga high value targets kwa kulenga vichwa vya magenerali wa Urusi na kuwaua huku waki manage vizuri stock zao za missiles
Warusi wanarusha hovyo hovyo tu bila kujali value of target wala stock control
NATO wanampelekesha Putin ili stock imwishie halafu wamuonyeshe cha mtema kuni.
Jeshi la Urusi wanapigana kama wehu ndio maana target zao wanalenga maeneo ya kiraia zaidi
Ni haki yako ya kidemokrasia kusoma au kutosoma wala hata huhitaji kunitukana naheshimu haki yako ya kidemokrasia hapa sio Russia kwa Putin.Jamii Forums ni eneo la demokrasiaImefika mahali nikikutana na comments yako kwenye uzi wowote sijishughulishi kuisoma kwasababu nahisi imeandikwa na mjinga fulani [emoji706][emoji706]
Shida yake sio majengo shida yake vitu vilivyopo chinj ya ardhi katika ukanda huo thaman yeke zaidi ya miundo mbinuUrusi sasa kutwaa miji magofu isiyo na shughuli zozote za kiuchumi sababu kabomoa miundombinu, mashule, mahospitali, makazi ya watu, kalipua reli, viwanja vya ndege nk
Hajateka mji kateka magofu kuteka mji unakuwa na watu, viwanda na shughuli za kiuchumi zikiendelea
Mrusi anateka dead cities
Sasa ndugu anae takiwa kujenga Syria ni Russia au wasyria wenyewe. ? Urusi ni msaada tu walienda kumpatia Assad kuwafurusha mashogaSasa kashindwa ijenga Syria....akaiomba Marekani ndo ataweza Ukraine
Zina waharibia siku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] warusi mioyo yetu myeupe sana sasa hivi...acha tukoleze moto vzr
Yehodayachenikov [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Hakuna shule wala hospitali wala masoko wala mahoteli kwenye hiyo miji
Mrusi kabomoa vyote na makombora
Hii vita ni ya kwanza duniani kwa nchi kuteka magofu na kuyakalia
Hata Sisi tulipopigana na Uganda tulipoteka miji ilikuwa miji hai yenye uchumi.na biashara ,mashule,hospitali no
Mrusi bwege anateka miji magofu
Hakuna dalil km atamaliza stock yake mapema kwa sabab mpaka sasa kuna bom ambazo majasus wa nato wana uhakika jamaa anayo na bado hayajatumika hata moja achana na yale mwendokasi ambayo katumia matano tu ilhal inafahamika fika anayo zaid ya mia.Unaota mrusi anashambulia kama mwehu kutumia cruise missile ambazo bei ya kutengeneza moja ni shilingi za kitanzania bilioni 16 na kutengeneza moja kiwandani inachukua minimum Miaka Minne
Yeye Putin anayarusha kama mwehu hajui.stock control kuwa high value silaha ya kivita unatakiwa tutumie kiuangalifu na itumike tu kwenye high value targets
Yeye Anatumia kushambulia maeneo ya raia zikiwemo hospitali,shule barabara nk
Ukraine wakiyatumia hawarushi kama wehu kama Putin wanalenga high value targets kwa kulenga vichwa vya magenerali wa Urusi na kuwaua huku waki manage vizuri stock zao za missiles
Warusi wanarusha hovyo hovyo tu bila kujali value of target wala stock control
NATO wanampelekesha Putin ili stock imwishie halafu wamuonyeshe cha mtema kuni.
Jeshi la Urusi wanapigana kama wehu ndio maana target zao wanalenga maeneo ya kiraia zaidi