Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Ww unaita vita ya bure wakati wenyewao huko miongoni mwa malengo ya hii vita ni Usalama kwanza [emoji16], na kwa mfano Ukraine angefanikiwa kujiunga na nato mngelikuja na nyuzi za kukejeli kuwa Urusi sasa kazingukwa, kuweni wapole tu sasaivi
 
Askari wa kirusi hovyo sana wanaharibu mji mzima wanaishia kushikilia miji iliyojaa magofu, vifusi na mizoga.
Safi kabisa. Uking'ang'ania kwenye mji, ili usimcheleweshe Mrusi anaulipua mji mzima na wewe unafia humo. Yeye anasonga mbele kibabe zaidi.
 
Urusi ina kazi ngumu yani miezi mi4 sasa hata robo hawajachukua kazi kuuponda ponda miji hii ni hasara Putin kuna wakati huwa anahytia uamuzi wake.
 
Day dream , wakati mwingine najiuliza hivi watu wengine wanatumia nini kufikiri 🤔🤔🤔‼️
 
Hivi Russia iliingia lini lyviv, wewe unafuatilia hii vita kweli au unaota⁉️
 
Wana pro - Russia hebu msimjibu huyu mtoto akili , kujua na elimuyake si ya kumjibu, hakuna anachojua.
 
Iraq wa marekan wanateka mij hai?
 
Alisikika kilaza mmoja wa Nangurukuru.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kinachoangaliwa ni ardhi yenye rotuba,bandari,kutanuka kwenda kaskazini, kuangusha Dola ya marekani na madini ya chuma yanayopatikana kwenye hayo maeneo,na sio majengo ww mjinga!
Smart.
 
Wana pro - Russia hebu msimjibu huyu mtoto akili , kujua na elimuyake si ya kumjibu, hakuna anachojua.
Umeongea pumba zisizoeleweka.
Hueleweki unaongelea nn.
Be specific acha taarabu.
 
Wana pro - Russia hebu msimjibu huyu mtoto akili , kujua na elimuyake si ya kumjibu, hakuna anachojua.
Kinachoongea ni facts siyo taarabu.
Nina elimu mbwa ww hunipati.
KWAHIYO jibu hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…