Ukraine waanza kushambulia kwa makombora ya masafa marefu yenye maangamizi makubwa

Ukraine waanza kushambulia kwa makombora ya masafa marefu yenye maangamizi makubwa

Haka kainchi kamekua kero, kameua Warusi hadi basi na bado hakakua kameanzisha shughuli ya haya makombora, sasa kameanza kuyarusha na kufanya maangamizi makubwa kwa wavamizi na wadhulumaji wa kutokea Urusi....takbirrrr!!!!

=========================
Ukrainian forces fired three large tactical ballistic missiles at Russian positions, including ammunition depots, as images from Ukraine's military reportedly show.
Three "Tochka" tactical ballistic missiles were fired from mobile missile launch systems deployed in a field somewhere in Ukraine, from what can be seen on the footage.

It is unclear where exactly in Ukraine the images were filmed but the footage was obtained from the Strategic Communications Department of the Armed Forces of Ukraine, who said that it shows the "launch of three 'Tochka' OTRs [tactical ballistic missiles] at the positions of orcs and ammunition depots."

The Ukrainian forces regularly refer to the invading Russian military forces as "orcs."

Zenger News contacted the Strategic Communications Department of the Armed Forces of Ukraine for further comment, as well as the Russian Ministry of Defense, but had not received a reply at the time of writing.

Russia invaded Ukraine on February 24 in what the Kremlin is still calling a "special military operation." Friday marks the 121st day of the invasion.


Warusi wa kwa Mtongole Bongo mpate aibu sana, oneni kainchi kanakowatesa.

where-are-ukraine-&-russia.jpg
🤣🤣🤣 Unamaana kanchi kanapopokea fedha, utaalamu,vifaa na wapambanaji toka NATO ila anakula kichapo na kuonyesha jinsi mlivyo dhaifu wote combined mwashindwa msaidia asizidi poteza maeneo yake bila mafanikio.
 
🤣🤣🤣 Unamaana kanchi kanapopokea fedha, utaalamu,vifaa na wapambanaji toka NATO ila anakula kichapo na kuonyesha jinsi mlivyo dhaifu wote combined mwashindwa msaidia asizidi poteza maeneo yake bila mafanikio.

Kichapo kipi, mlishindwa kukateka, Kyev bado ipo na rais wao ambaye mlimpa masaa bado yupo licha ya hasara yenu hii, hebu waza kama JWTZ ikipoteza vyote hivi bado itakua jeshi tena

FVhKIhAX0AEYpgi.jpg
 
Kichapo kipi, mlishindwa kukateka, Kyev bado ipo na rais wao ambaye mlimpa masaa bado yupo licha ya hasara yenu hii, hebu waza kama JWTZ ikipoteza vyote hivi bado itakua jeshi tena

FVhKIhAX0AEYpgi.jpg
Hivi vita imeisha kwani mkuu?na unadhani sababu ni nni kama si kuwa tukipanga kupigana na Ukraine tunakuta mara kaingia US mara Japan,UK nk,unapangaje mashambulizi eti?ila Russia against 32 and still winning wth their tech combined.
So tutawachakaza badae mtakimbia mkishaona fursa zmeisha kweny nch ile,tutamshikisha adabu na kuchukua kila tunachotaka.
Na kuhusu hizo source,🤣🤣🤣 unadhani me kilaza ama wanajamvi vilaza hvyo kuamini precisely namba ya loss ya Warusi toka kwa Ukraine?nchi yenye akili za propaganda za magharibi,come on bro u got to do beta thn that,thats cheap😏😏
 
Hivi vita imeisha kwani mkuu?na unadhani sababu ni nni kama si kuwa tukipanga kupigana na Ukraine tunakuta mara kaingia US mara Japan,UK nk,unapangaje mashambulizi eti?ila Russia against 32 and still winning wth their tech combined.
So tutawachakaza badae mtakimbia mkishaona fursa zmeisha kweny nch ile,tutamshikisha adabu na kuchukua kila tunachotaka.
Na kuhusu hizo source,🤣🤣🤣 unadhani me kilaza ama wanajamvi vilaza hvyo kuamini precisely namba ya loss ya Warusi toka kwa Ukraine?nchi yenye akili za propaganda za magharibi,come on bro u got to do beta thn that,thats cheap😏😏

Russia against 32??? Hapo Kaukraine kalivyomtoza Urusi makamasi wakiongeza kataifa kengine kamoja si ndio nje nje....
Sweden wenyewe wameshindwa kutoa msaada maana wana ndege za kisasa ambazo hakuna rubani Ukraine mwenye ujuzi wa kuzitumia.
Huyo Urusi siku ajichanganye ashambulie kataifa kamoja ka-NATO ndio aelewe nini maana ya against 32...
 
Urusi na iheshimiwe na nchi zote. Tuseme amina ndugu zangu

Kichapo kipi, mlishindwa kukateka, Kyev bado ipo na rais wao ambaye mlimpa masaa bado yupo licha ya hasara yenu hii, hebu waza kama JWTZ ikipoteza vyote hivi bado itakua jeshi tena

FVhKIhAX0AEYpgi.jpg
Source? Kyiv Independent!! Mtu unategemea nini kutoka kwenye jeshi la ma clown akina Zelensky - maigizo tu 24X7 kwa bahati mbaya na wewe umekwisha kata shauri ku-join band wagon ya waigizaji/wasanii akina Zelensky na Biden!!

FYI jioni ya jana wanajeshi wa Ukraine takribani 2,000 walihamua kutupa silaha chini na kujisalimisha kwa jeshi mahili la Tzar PUTIN,na bado - What does that tell U,come next year Ukraine itakuwa imechukuliwa yote,hakuna cha Biden wala wapambe wake kufanya fyoko - mvua za makombora ya Putin yamewatisha ushirika wote wa NATO pamoja na kiranja wao mkuu, baada ya kubaini kwamba kumbe jeshi la Putin ni maji marefu likihamua kufanya kweli. Sasa subirini Putin a unleash hell on Earth kwenye jiji la Kiev uone kama hata sisimizi atabaki, nawa hakikisheni hutasikia tena inept propaganda za media za magharibi zinazo dai,eti "Jeshi la Urusi lilishindwa kuteka jiji la Kiev/Kyiv!!" uongo mtupu,mwanzo Putin akuwa na nia ya kuteka mji wa Kiev.
 
Russia against 32??? Hapo Kaukraine kalivyomtoza Urusi makamasi wakiongeza kataifa kengine kamoja si ndio nje nje....
Sweden wenyewe wameshindwa kutoa msaada maana wana ndege za kisasa ambazo hakuna rubani Ukraine mwenye ujuzi wa kuzitumia.
Huyo Urusi siku ajichanganye ashambulie kataifa kamoja ka-NATO ndio aelewe nini maana ya against 32...
Na unadhani kanchi kama sweden anazo hizo ndege za ajabu Mrusi hana eti???
hivi misaada anapata kutoka nchi ngapi Ukraine?
 
Source? Kyiv Independent!! Mtu unategemea nini kutoka kwenye jeshi la ma clown akina Zelensky - maigizo tu 24X7 kwa bahati mbaya na wewe umekwisha kata shauri ku-join band wagon ya waigizaji/wasanii akina Zelensky na Biden!!

FYI jioni ya jana wanajeshi wa Ukraine takribani 2,000 walihamua kutupa silaha chini na kujisalimisha kwa jeshi mahili la Tzar PUTIN,na bado - What does that tell U,come next year Ukraine itakuwa imechukuliwa yote,hakuna cha Biden wala wapambe wake kufanya fyoko - mvua za makombora ya Putin yamewatisha ushirika wote wa NATO pamoja na kiranja wao mkuu, baada ya kubaini kwamba kumbe jeshi la Putin ni maji marefu likihamua kufanya kweli. Sasa subirini Putin a unleash hell on Earth kwenye jiji la Kiev uone kama hata sisimizi atabaki, nawa hakikisheni hutasikia tena inept propaganda za media za magharibi zinazo dai,eti"Jeshi la Urusi lilishindwa kuteka jiji la Kiev/Kyiv.
😍
 
Source? Kyiv Independent!! Mtu unategemea nini kutoka kwenye jeshi la ma clown akina Zelensky - maigizo tu 24X7 kwa bahati mbaya na wewe umekwisha kata shauri ku-join band wagon ya waigizaji/wasanii akina Zelensky na Biden!!

FYI jioni ya jana wanajeshi wa Ukraine takribani 2,000 walihamua kutupa silaha chini na kujisalimisha kwa jeshi mahili la Tzar PUTIN,na bado - What does that tell U,come next year Ukraine itakuwa imechukuliwa yote,hakuna cha Biden wala wapambe wake kufanya fyoko - mvua za makombora ya Putin yamewatisha ushirika wote wa NATO pamoja na kiranja wao mkuu, baada ya kubaini kwamba kumbe jeshi la Putin ni maji marefu likihamua kufanya kweli. Sasa subirini Putin a unleash hell on Earth kwenye jiji la Kiev uone kama hata sisimizi atabaki, nawa hakikisheni hutasikia tena inept propaganda za media za magharibi zinazo dai,eti "Jeshi la Urusi lilishindwa kuteka jiji la Kiev/Kyiv!!" uongo mtupu,mwanzo Putin akuwa na nia ya kuteka mji wa Kiev.

Ulitaka source iwe magazeti ya Kibongo au vipi, hebu tupe source yako kama mumeshaiteka Kyev au bado ni ngonjera, supapawa wa hovyo miezi imepita bado anahangaika ameshindwa kufunika kainchi kadogo sana ukilinganisha naye, tena mbaya zaidi ni jirani hapo pembeni mwake...

where-are-ukraine-&-russia.jpg
 
Na unadhani kanchi kama sweden anazo hizo ndege za ajabu Mrusi hana eti???
hivi misaada anapata kutoka nchi ngapi Ukraine?

Ndege zake huyo Mrusi zimeshindwa na wabeba javelin hapo Ukraine, amepoteza zaidi ya ndege mia mbili....

FVhKIhAX0AEYpgi.jpg
 
Kichapo kipi, mlishindwa kukateka, Kyev bado ipo na rais wao ambaye mlimpa masaa bado yupo licha ya hasara yenu hii, hebu waza kama JWTZ ikipoteza vyote hivi bado itakua jeshi tena

FVhKIhAX0AEYpgi.jpg
Hahahahaha ila we jamaa una mahaba au sijui unaamua tu kujitoa fahamu. Wenzako wanalia huko wanapoteza miji kila siku we unang'ang'ana na Kyiv tu. Ile ya Kyiv ilikuwa geresh na NATO wakaingia kingi.
 
Back
Top Bottom