Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Naona uzee unanisumbua: sina GUTS za ku - "side" upande wowote katika hili kwa kuwa Mungu wangu amenikataza kufanya maovu: AminaUrusi piga Gaykraine hao
Nalog off Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona uzee unanisumbua: sina GUTS za ku - "side" upande wowote katika hili kwa kuwa Mungu wangu amenikataza kufanya maovu: AminaUrusi piga Gaykraine hao
Nalog off Z
Ndio anakaribia soon komediani utamsikia yupo Ufaransa amekimbia nchiKyev aliikimbia baada ya kula za uso.
Takbir ndio nini??Haka kainchi kamekua kero, kameua Warusi hadi basi na bado hakakua kameanzisha shughuli ya haya makombora, sasa kameanza kuyarusha na kufanya maangamizi makubwa kwa wavamizi na wadhulumaji wa kutokea Urusi....takbirrrr!!!!
=========================
Ukrainian forces fired three large tactical ballistic missiles at Russian positions, including ammunition depots, as images from Ukraine's military reportedly show.
Three "Tochka" tactical ballistic missiles were fired from mobile missile launch systems deployed in a field somewhere in Ukraine, from what can be seen on the footage.
It is unclear where exactly in Ukraine the images were filmed but the footage was obtained from the Strategic Communications Department of the Armed Forces of Ukraine, who said that it shows the "launch of three 'Tochka' OTRs [tactical ballistic missiles] at the positions of orcs and ammunition depots."
The Ukrainian forces regularly refer to the invading Russian military forces as "orcs."
Zenger News contacted the Strategic Communications Department of the Armed Forces of Ukraine for further comment, as well as the Russian Ministry of Defense, but had not received a reply at the time of writing.
Russia invaded Ukraine on February 24 in what the Kremlin is still calling a "special military operation." Friday marks the 121st day of the invasion.
MSN
www.msn.com
Warusi wa kwa Mtongole Bongo mpate aibu sana, oneni kainchi kanakowatesa.
![]()
Huyu mtu wetu tunamchapa taratibu ukitaka kuona moto halisi NATO aingie vitaniKomedian mlimpa masaa 24, leo tunapiga miezi miine mumeambulia vimiji vya huko mpakani.
Huyu mtu wetu tunamchapa taratibu ukitaka kuona moto halisi NATO aingie vitani
Acha mikwara jombaa hao Belarusi atatumika kuwachapa na ameshapewa makombora yenye uwezo wa kubeba nukesJikosesheni njia na kujisahau mtume kakombora kamoja tu kwa kataifa kokote ka NATO hapo pembeni, kwa mfano Latvia au estonia wako hapo wanachangia mpaka mmoja na Urusi na wenyewe ni wanachama wa NATO, rusheni hata risasi tu kwao...
Si mnajifanya mnashambulia Ukraine kisa wanataka kujiunga NATO, basi hao hapo mpo nao mpaka mmoja na ni NATO kabisa, wahuseni kidogo tu.
![]()
Chizi wa bangiMmarekani /NATO anayo uwezo wa kuingamiza na kuifuta kabisa Urusi kwenye ramani ndani ya dakika sifuri. Tatizo madhara ya hatua hii kwa dunia nzima hayaelezeki. Hivyo njia pekee ya kumkabili kichaa wa kremlin ni kwenda naye taratibu. African proverb inasema ,why burn a house to flush out a rat? Kremlin rat will be neutralized taratibu.
yaan nyiny ni watu wa ajab sana , yaan Urusi mpk ss hamjiuliz alifer wap kuimaliza vita ? unahis walirud nyuma kwa kupenda ? tuseme ndio , ss kwann hawawez kurud tenaMkuu,naona mwenzetu wala hana habari kwamba takwimu hizo zinapikwa na Zelensky na genge lake kuchota akili S
Hayo no maamuzi yako hakuna anayekupingaNaona uzee unanisumbua: sina GUTS za ku - "side" upande wowote katika hili kwa kuwa Mungu wangu amenikataza kufanya maovu: Amina
Mkopo MKUUSasa Ukraine wana hiyo pesa ya kununuwa silaha kwa Marekani?
Hata harusini watu wanapata hasaraMiezi miine sasa Urusi ameingia hasara kiasi ambacho JWTZ ikiingia inafutika kama jeshi kabisa....
Kabisa MKUU kama walivyoifuta TALEBANMmarekani /NATO anayo uwezo wa kuingamiza na kuifuta kabisa Urusi kwenye ramani ndani ya dakika sifuri. Tatizo madhara ya hatua hii kwa dunia nzima hayaelezeki. Hivyo njia pekee ya kumkabili kichaa wa kremlin ni kwenda naye taratibu. African proverb inasema ,why burn a house to flush out a rat? Kremlin rat will be neutralized taratibu.
Maumivu yakizidi tafta Picha ya PUT IN ichanganye na majiAkbar akbar....leo mnamuabudu Putin kama mtume fulani hivi, mumeingiza udini hasa, watu wa dini ya muarabu huaambii kitu kwa sasa.
TAIFA TEULE LA RUSSIA halipo VITANIyaan nyiny ni watu wa ajab sana , yaan Urusi mpk ss hamjiuliz alifer wap kuimaliza vita ? unahis walirud nyuma kwa kupenda ? tuseme ndio , ss kwann hawawez kurud tena